The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,805
- 14,181
ccm ilegeze uchumi jamaniUkiwa na njaa bhanaa
Sent from my iPhone using JamiiForums
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ccm ilegeze uchumi jamaniUkiwa na njaa bhanaa
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kolekole pia mtamu sana hasa akikutana na tui la naziKolekole je?
Kuna samaki wapo Ziwa Victoria kwa majina ya kilugha wanaitwa,Salam kwenu.
Si mjuzi sana katika nyanja hizi..hivyo naomba kujua
Je, ni samaki gani mtamu kuliko wote? Mtaje !
1. Changu
2. Sato
3. Kibua
4. Sangara
5. Kambare
6. Perege
7. Migebuka
8. Pweza
9. ________
Nilishawahi kwenda Umasaini...Wengi hawali Samaki wanasema wana Shombo na kwao si chakula.Sisi Masai hatuli samaki. Ni aibu kwa Moran kula singiri.
Kwanini mkuu?Sisi Masai hatuli samaki. Ni aibu kwa Moran kula singiri.
Hapo ni sawa na kulinganisha papuchi hautopata mahindi, maana utamu unatokana na mlaji mwenyewe, mfano mm naona Kamongo ndo samaki mtamu kuliko woteSalam kwenu.
Si mjuzi sana katika nyanja hizi..hivyo naomba kujua
Je, ni samaki gani mtamu kuliko wote? Mtaje !
1. Changu
2. Sato
3. Kibua
4. Sangara
5. Kambare
6. Perege
7. Migebuka
8. Pweza
9. ________
Bora umefanya hivyo..Ahahaha tyri
Maisha ya Masai halisi yanategemea Ng'ombe. Ng'ombe ndio kila kitu kwa Masai. Masai anakula ng'ombe (sio kila siku ni kwa matukio maalum), asali, anakunywa damu ng'ombe, maziwa, nyumba yake inajengwa kwa mavi ya ng'ombe.Kwanini mkuu?
Hawa ni kiboko, hasa ningu. Tatizo upatikanaji wakeKuna samaki wapo Ziwa Victoria kwa majina ya kilugha wanaitwa,
1. NEMBE
2. NINGU
3. NG'HUYU
Ni watamu kuzidi wote uliowataja hapo juu, wanazidi hata sato kwa mbali sana! Na kuna wengine pia wanaitwa GOGOGO
Hawa samaki unawajua?
Sangara ndiye aliyeharibu deal. Tangu aingie sokoni, hawa samaki wameadimika sana. Nasikia mwalo wa Magu Nembe wanapatikana kipidi mto Simiyu ukiwa na maji. Huwa wanafuata mkondo wa maji ya mto Simiyu. Halafu kitu nilikuwa sijui kumbe samaki huwa wana uwezo pia wa kuogelea upstream, yaani wanaogelea kuelekea kule ambao maji yanatoka. Huwa wanafanya hivyo kipindi mto Simiyu ukiwa na maji, wanatoka Ziwa Victoria kuelekea mtoni