Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wejamaa Kila Unacho Kiongea ndio Uhalisia Nilio kuwa naoMkuu jaribu dose niliyotumia hata kipindi kile ilisaidia wengi. Kwenye vita huwa hatuchagui silaha, kinachotakiwa ni kupambania uzima. Hata mimi sisumbuliwagi na mafua, naweza kukaa hata miaka 10 au zaidi ila haya ya zamu hii balaa. Nilikuwa naogopa kulala nashindwa kupumua vizuri nilihisi nikifumba macho siamki tena😄
. Dar population ni kubwa sana, milipuko ya magonjwa ni rahisi kupata..Hapa Bwana Pengine sichomi aisee
+astrazeneca ,pfizerInabidi tuagize SINOPHARM Mapema, Watu muaze kudungwa 💉💉💉
Pole sana chief...Mimi wiki ya 3 na mafua makali Sanaa na tangu jumamosi nimekua naharisha Kama Bata mpaka naogopa
Kwa Sasa mafua yamepungua na kuhara kumepungua Ila Kuna mafua makali Sanaa Sanaa ni BALAA Sanaa nakubaliana na wewe
Pembeni yangu hapa Kuna watu nimekaa nao wanakohoa Sanaa
Asante Sanaa mkuu now nimeponaaPole sana chief...
Hadi hapo mjini?ni kila sehemu mkuu
Ni kweli mafua ,vifua,kikohozi kwa Sasa imeshika Kasi.Mkuu jaribu dose niliyotumia hata kipindi kile ilisaidia wengi. Kwenye vita huwa hatuchagui silaha, kinachotakiwa ni kupambania uzima. Hata mimi sisumbuliwagi na mafua, naweza kukaa hata miaka 10 au zaidi ila haya ya zamu hii balaa. Nilikuwa naogopa kulala nashindwa kupumua vizuri nilihisi nikifumba macho siamki tena😄
Yeah mkuu.... Wazungu wapige hela kwa Round nyingine tena 💰💵+astrazeneca ,pfizer
Wiki 3 nyuma yalinitia adabuAisee sio mafua yakawaida
Umekaa kimyaPole.
Mafua yaliondoka na Papa mmoja hivi.
Ni ugonjwa mbaya.
Take care yourself.
Yes sir kwisha habar yetuHadi hapo mjini?
Pole sana mkuu. Hali ni mbaya sana mtaani lakini serikali ya chifu Hangaya inajitahidi kuficha ukweli.Ndugu zangu Mtaani Kwetu mambo si Mambo hali Inatisha
Mwenzenu ilikuwa ndio Basi tena.
Kuanzia Mwanzo wa Mwezi huu Wa kumi nilianza Kujihisi Uchovu Usio na kipimo.
Nilianza Kusikia Viungo vikiniuma Sana hasa Mabega ,Mgongo,Kiuno,Kichwa mala Mikono Mwanzo Sikuwekea Maanani Kivile Siku zikaenda.
Ghafla naanza kuona kila kukicha hali inazidi nikaona Wacha nikacheki Afya Kulikoni ,
Nilicho Ambiwa Nikama Nilivyo tarajia Nimagonjwa yetu yale yale yasikuzote.
Nikachukua Dozi kama kawaida webwana wee kumbe ndio kama Natia Petrol Mtungi wa Gesi !!
Nikaanza Bubujikwa na Mafua Mepesi, Siwezi Kupumua mara Kifua Kinabana, Kikohoo Kikavu kama Nakatwa katwa Kifuani na Koo.
Usiku nikaomba nikimbizwe Hospital nimekaa siku 3 wapi!
Sijawahi Ugua mafua kama Haya Tokea Nimeletwa Katika Sayari hii.
Wakati nipo hospital Nikaomba nirudi nyumban nakuanza Mapigo yale ya 2019.
View attachment 3134244
Hapa nikaanza kuhisi nipo Duniani.
Familia Yote Mambo yakawa moto kumbe bwana Mtaa mzima ndio kilio Kikuu.
Kuna Familia Mama,Watoto 2 baba Wote Hali ni Tete.
Haya mafua Nikwetu tu
Tuwe makini Nduguzangu.