Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Mh unaniombes mabaya etySiku ugua Ndio maana Naona Hiikitu ni Hatari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mh unaniombes mabaya etySiku ugua Ndio maana Naona Hiikitu ni Hatari
Kwahiyo Ukiwa na Group 0 Ndio Hupatwi na MagonjwaMimi na group O na siuguagi ovyo ovyo yaan mafua ni BALAA wiki 3 Mimi pia plus kuharisha Kama Bata yaan nilikua kifua kinauma, mafua naishiwa nguvu, loss appetite's
Mpaka nikaogipa Ila now alhamdudilah naendelea vyema mafua Yana ishilia ishilia.
Sio kila Jambo Lazima Serikali Itangaze mangine nikujiongeza maana Kutiana Hofu nako TatizoPole sana mkuu. Hali ni mbaya sana mtaani lakini serikali ya chifu Hangaya inajitahidi kuficha ukweli.
Homa yake ni kali sana halafu inakupiga usiku.Nimepona aisee last week nilikuwa Hoi
Na yanaambatana na Homa kali sana...nilijifukiza na mint ndo kupata nafuu
Naijua niliitumia sana 2020 kipindi corona imetaradadi ninayo hadi leoHoma yake ni kali sana halafu inakupiga usiku.
Unaijuwa Almint weye?
Uko Vizuri, ila usipake uko chini kwa bibi.Naijua niliitumia sana 2020 kipindi corona imetaradadi ninayo hadi leo
Inasaidia vingi sana
Tafadhali msiturudishe tena Misri. Ule upepo ulishapita.Hili sio kwako tu
Watu wanaugua Kimya kimya
Na Vifo Vingine hawajajua kua hali hii Inachangia
Asikudanganye mtu hata sisi wa mikoani tunakiona cha mtema kuniYes,
Dar es salaam.
Ni covid 19-2 hivyo?!Ndugu zangu Mtaani Kwetu mambo si Mambo hali Inatisha
Mwenzenu ilikuwa ndio Basi tena.
Kuanzia Mwanzo wa Mwezi huu Wa kumi nilianza Kujihisi Uchovu Usio na kipimo.
Nilianza Kusikia Viungo vikiniuma Sana hasa Mabega ,Mgongo,Kiuno,Kichwa mala Mikono Mwanzo Sikuwekea Maanani Kivile Siku zikaenda.
Ghafla naanza kuona kila kukicha hali inazidi nikaona Wacha nikacheki Afya Kulikoni ,
Nilicho Ambiwa Nikama Nilivyo tarajia Nimagonjwa yetu yale yale yasikuzote.
Nikachukua Dozi kama kawaida webwana wee kumbe ndio kama Natia Petrol Mtungi wa Gesi !!
Nikaanza Bubujikwa na Mafua Mepesi, Siwezi Kupumua mara Kifua Kinabana, Kikohoo Kikavu kama Nakatwa katwa Kifuani na Koo.
Usiku nikaomba nikimbizwe Hospital nimekaa siku 3 wapi!
Sijawahi Ugua mafua kama Haya Tokea Nimeletwa Katika Sayari hii.
Wakati nipo hospital Nikaomba nirudi nyumban nakuanza Mapigo yale ya 2019.
View attachment 3134244
Hapa nikaanza kuhisi nipo Duniani.
Familia Yote Mambo yakawa moto kumbe bwana Mtaa mzima ndio kilio Kikuu.
Kuna Familia Mama,Watoto 2 baba Wote Hali ni Tete.
Haya mafua Nikwetu tu
Tuwe makini Nduguzangu.
Sikuwahi Kujua kuna mafua Makali kiasi hikiMimi ndiyo naelekea kupona hapa nilipata shida kuanzia jmosi nikaanza kupiga chafya mara koo linawasha usiku ilikuwa kashkash nikatumia dawa ya mchanganyiko wa tangawizi, limao, pilipili za mwendokasi nikanywa kikohozi kikaachia na mafua yakapungua sasa hivi yanaishia
Kweli tenaHatutishani ila Tunapeana Tahadhari
Sio pao kabisa