Tujuzane mwenzenu nimeponea chupu chupu, je hali hii na kwenu Ipo?

Tujuzane mwenzenu nimeponea chupu chupu, je hali hii na kwenu Ipo?

Mimi na group O na siuguagi ovyo ovyo yaan mafua ni BALAA wiki 3 Mimi pia plus kuharisha Kama Bata yaan nilikua kifua kinauma, mafua naishiwa nguvu, loss appetite's

Mpaka nikaogipa Ila now alhamdudilah naendelea vyema mafua Yana ishilia ishilia.
Kwahiyo Ukiwa na Group 0 Ndio Hupatwi na Magonjwa
 
Mimi ndiyo naelekea kupona hapa nilipata shida kuanzia jmosi nikaanza kupiga chafya mara koo linawasha usiku ilikuwa kashkash nikatumia dawa ya mchanganyiko wa tangawizi, limao, pilipili za mwendokasi nikanywa kikohozi kikaachia na mafua yakapungua sasa hivi yanaishia
 
Formular ni ilele, chemsha tangawizi halafu changanya kidogo sana na almint inauzwa kwenye maduka ya dawa za asili, mnywe na antibiotic pia ampricrox.

Mimi kwa mara ya kwanza ilibidi niwe nalala na kopo la kutemea makohozi, maana makohozi mazito na ukikohowa tu maumivu yake si ya kitoto.
 
Ndugu zangu Mtaani Kwetu mambo si Mambo hali Inatisha
Mwenzenu ilikuwa ndio Basi tena.
Kuanzia Mwanzo wa Mwezi huu Wa kumi nilianza Kujihisi Uchovu Usio na kipimo.
Nilianza Kusikia Viungo vikiniuma Sana hasa Mabega ,Mgongo,Kiuno,Kichwa mala Mikono Mwanzo Sikuwekea Maanani Kivile Siku zikaenda.

Ghafla naanza kuona kila kukicha hali inazidi nikaona Wacha nikacheki Afya Kulikoni ,
Nilicho Ambiwa Nikama Nilivyo tarajia Nimagonjwa yetu yale yale yasikuzote.
Nikachukua Dozi kama kawaida webwana wee kumbe ndio kama Natia Petrol Mtungi wa Gesi !!
Nikaanza Bubujikwa na Mafua Mepesi, Siwezi Kupumua mara Kifua Kinabana, Kikohoo Kikavu kama Nakatwa katwa Kifuani na Koo.
Usiku nikaomba nikimbizwe Hospital nimekaa siku 3 wapi!

Sijawahi Ugua mafua kama Haya Tokea Nimeletwa Katika Sayari hii.
Wakati nipo hospital Nikaomba nirudi nyumban nakuanza Mapigo yale ya 2019.
View attachment 3134244

Hapa nikaanza kuhisi nipo Duniani.
Familia Yote Mambo yakawa moto kumbe bwana Mtaa mzima ndio kilio Kikuu.
Kuna Familia Mama,Watoto 2 baba Wote Hali ni Tete.

Haya mafua Nikwetu tu
Tuwe makini Nduguzangu.
Ni covid 19-2 hivyo?!
 
Mimi ndiyo naelekea kupona hapa nilipata shida kuanzia jmosi nikaanza kupiga chafya mara koo linawasha usiku ilikuwa kashkash nikatumia dawa ya mchanganyiko wa tangawizi, limao, pilipili za mwendokasi nikanywa kikohozi kikaachia na mafua yakapungua sasa hivi yanaishia
Sikuwahi Kujua kuna mafua Makali kiasi hiki
Kama kweli huu ugonjwa wakutengenezwa na Mwanadamu basi Alaaniwe
 
Back
Top Bottom