EP MEDICS COSMETICS STORE
JF-Expert Member
- Oct 18, 2015
- 2,826
- 4,593
Afu ndio miezi yake hii. Juzijuzi hapa Nilipata na mafua kidogo tu yale ya kuchirizika ila ndani ya siku mbili yakaisha yenyewe tuu. Sijaona dalili zingine zaidi. Labda sababu nilichanjaga.Sikuwahi Kujua kuna mafua Makali kiasi hiki
Kama kweli huu ugonjwa wakutengenezwa na Mwanadamu basi Alaaniwe