Tujuzane mwenzenu nimeponea chupu chupu, je hali hii na kwenu Ipo?

Tujuzane mwenzenu nimeponea chupu chupu, je hali hii na kwenu Ipo?

Mimi na group O na siuguagi ovyo ovyo yaan mafua ni BALAA wiki 3 Mimi pia plus kuharisha Kama Bata yaan nilikua kifua kinauma, mafua naishiwa nguvu, loss appetite's

Mpaka nikaogipa Ila now alhamdudilah naendelea vyema mafua Yana ishilia ishilia.
Blood group haihusiani na kuugua.
 
Huo ugonjwa upo na umesha nipata mara mbili zote nikiwa Daslam hapo ni balaaa huku mkoani naona nafuu kidogo sijawai upata tena.
Unakuondoa huku unajiona usipo pata tiba.
 
Uviko -19 imerudi Mtaani, lakini Mamlaka hazijaruhusu itangazwe.

Kila mmoja achukue tahadhali huko alipo.
Ila huwa wizara wanatoa takwimu kila mwezi za magonjwa ikiwemo UVIKo 19
 
Nadhani serikali iingilie kati hili suala kupitia Wizara ya afya wabaini eneo husika lenye cases hizi, wapige quarantine huku uchunguzi ukiendelea kubaini shida ni nini.

Vinginevyo yanaweza kutokea maafa tukashidwa kuyadhibiti hali ikawa mbaya zaidi.
 
Ndugu zangu Mtaani Kwetu mambo si Mambo hali Inatisha
Mwenzenu ilikuwa ndio Basi tena.
Kuanzia Mwanzo wa Mwezi huu Wa kumi nilianza Kujihisi Uchovu Usio na kipimo.
Nilianza Kusikia Viungo vikiniuma Sana hasa Mabega ,Mgongo,Kiuno,Kichwa mala Mikono Mwanzo Sikuwekea Maanani Kivile Siku zikaenda.

Ghafla naanza kuona kila kukicha hali inazidi nikaona Wacha nikacheki Afya Kulikoni ,
Nilicho Ambiwa Nikama Nilivyo tarajia Nimagonjwa yetu yale yale yasikuzote.
Nikachukua Dozi kama kawaida webwana wee kumbe ndio kama Natia Petrol Mtungi wa Gesi !!
Nikaanza Bubujikwa na Mafua Mepesi, Siwezi Kupumua mara Kifua Kinabana, Kikohoo Kikavu kama Nakatwa katwa Kifuani na Koo.
Usiku nikaomba nikimbizwe Hospital nimekaa siku 3 wapi!

Sijawahi Ugua mafua kama Haya Tokea Nimeletwa Katika Sayari hii.
Wakati nipo hospital Nikaomba nirudi nyumban nakuanza Mapigo yale ya 2019.
View attachment 3134244

Hapa nikaanza kuhisi nipo Duniani.
Familia Yote Mambo yakawa moto kumbe bwana Mtaa mzima ndio kilio Kikuu.
Kuna Familia Mama,Watoto 2 baba Wote Hali ni Tete.

Haya mafua Nikwetu tu
Tuwe makini Nduguzangu.
Nmefatlia kwa kina noidhani umekutwa na jiwe baada ya vipimo, kumbe mafua!
 
Ndugu zangu Mtaani Kwetu mambo si Mambo hali Inatisha
Mwenzenu ilikuwa ndio Basi tena.
Kuanzia Mwanzo wa Mwezi huu Wa kumi nilianza Kujihisi Uchovu Usio na kipimo.
Nilianza Kusikia Viungo vikiniuma Sana hasa Mabega ,Mgongo,Kiuno,Kichwa mala Mikono Mwanzo Sikuwekea Maanani Kivile Siku zikaenda.

Ghafla naanza kuona kila kukicha hali inazidi nikaona Wacha nikacheki Afya Kulikoni ,
Nilicho Ambiwa Nikama Nilivyo tarajia Nimagonjwa yetu yale yale yasikuzote.
Nikachukua Dozi kama kawaida webwana wee kumbe ndio kama Natia Petrol Mtungi wa Gesi !!
Nikaanza Bubujikwa na Mafua Mepesi, Siwezi Kupumua mara Kifua Kinabana, Kikohoo Kikavu kama Nakatwa katwa Kifuani na Koo.
Usiku nikaomba nikimbizwe Hospital nimekaa siku 3 wapi!

Sijawahi Ugua mafua kama Haya Tokea Nimeletwa Katika Sayari hii.
Wakati nipo hospital Nikaomba nirudi nyumban nakuanza Mapigo yale ya 2019.
View attachment 3134244

Hapa nikaanza kuhisi nipo Duniani.
Familia Yote Mambo yakawa moto kumbe bwana Mtaa mzima ndio kilio Kikuu.
Kuna Familia Mama,Watoto 2 baba Wote Hali ni Tete.

Haya mafua Nikwetu tu
Tuwe makini Nduguzangu.
Tuwe makini kwa kweli..
 
Mimi ndio napona, pua zilikua zinatiririka maji ya uvugu vugu
Pole sana na ukiwa unaelekea kupona unavoamka unatoa kohozi zito mithili ya gundi na pua zina zibuka na mafua makali yaliyoziba mithili ya gundi ya maji ya karatasi..
Sasa mafua gani haya kama sio yale ya 2019
 
Back
Top Bottom