Tujuzane na kushauriana ipi gesi bora kwa matumizi ya nyumbani

Tujuzane na kushauriana ipi gesi bora kwa matumizi ya nyumbani

Nilikuwa natumia Manji's inakaa vizuri sna nikaona oryx inaweza kuwa bora zaidi, sikufurahishwa na ukaaji wake nikarudi mbio Manji's. Hii kwangu ndio bora zaidi, hao mihan, lake nawaangalia tu wala sina mzuka wa kubadilika tena. Jaribu mpenzi hutojuta.
And that's my sweetheart mwasu...nitainunua mpenzi.
Tena ngoja nianze kutafuta inapopatikana maeneo karibu na hapa ili hii Mihan ikiisha tu nikaichukue fastaaaa.
[emoji39][emoji39][emoji39]
Nitakupa mrejesho dear.
 
Hapo kuna kitu lazima ukiangalie...,
1.Model ya Jiko lako
2. Rate pressure ya jiko kama jiko lako limezidi 2800Pa.,utabadili sana mitungi ukiamini haijazwi ipasavyo.
3. Ni Gas Consumption ya Jiko lako kiwango kizuri ni chini ya 265g/hrs.,ikizidi hapo ni majanga tupu.
Na hapa ndio unapokuja umakin wa kuchagua jiko liwe na plate ngapi.,Kila plate inauwezo wake wa kula gas..,ni bora pia kununua jiko lenye plate kubwa na ndogo.,ili pale unapolitumia kupikia vitu vinavyohitaji moto wa taratibu au moto kias utumie plate ndogo.
Tatizo umeongelea kitaalamu sana mkuu.
Hayo yote naona nyotanyota tu...
Aaarrrggghhh [emoji13][emoji13][emoji13]
 
Kama unamjua mtu anaefanya kazi TPDC
waulize
wana gesi yao ya mtwara nafuu kuliko zote na safe
wafanyakazi wao hasa wanaoishi nyumba za TPDC mikocheni wanaitumia
Aiseeeee naona unataka kunishawishi lakini upatikanaji wake ukoje mkuu?
Maana gas inaweza kuninogea itakapoisha kama ni adimu kitakuwa kimbembe.
Maana nishati kuu niitumiayo ni gas,na ikiisha siwezi kupitisha siku sijanunua tena maana ni shida tupu.
Kama unamjua hata mmoja niunganishe nae pls.

Au kama kuna mfanyakazi wa TPDC aliyeko humu anicheki PM jama [emoji120] ...
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Leo siku yangu imekuwa nzuri sana,I love JF!

Halafu kweli...uzuri sijawahi kuishiwa katikati ya upishi.
Nitaja adhirika hivihivi!
Bora mboga au chochote kile lakini sio ugali...nitafeli.
Huwa ikitaka kuisha naistukia mapema nanunua kabisa wa emergence maana unaweza kuumbuka walah!

Aisee nami nimeshawishika na Manjis, hii ikiisha najaribu Manjis.
 
Aiseeeee naona unataka kunishawishi lakini upatikanaji wake ukoje mkuu?
Maana gas inaweza kuninogea itakapoisha kama ni adimu kitakuwa kimbembe.
Maana nishati kuu niitumiayo ni gas,na ikiisha siwezi kupitisha siku sijanunua tena maana ni shida tupu.
Kama unamjua hata mmoja niunganishe nae pls.

Au kama kuna mfanyakazi wa TPDC aliyeko humu anicheki PM jama [emoji120] ...

Pale ubungo linapoishia treni wana kituo chao
anzia hapoo kuuliza
watu wa TPDC kama wanafanya siri
ila Sea Cliff hotel nimesikia pia wanatumia hiyo gas kupikia
 
Huwa ikitaka kuisha naistukia mapema nanunua kabisa wa emergence maana unaweza kuumbuka walah!

Aisee nami nimeshawishika na Manjis, hii ikiisha najaribu Manjis.
Kweli wewe mzoefu,mimi huwa nashtuka imeshapungua nikiitumia kidogo tu inaisha.
Nakimbiaje sasa?

Mwenzangu tuhamie Manjis...japo namsikiliza The Boss hapa naweza kujaribu huko.
 
Pale ubungo linapoishia treni wana kituo chao
anzia hapoo kuuliza
watu wa TPDC kama wanafanya siri
ila Sea Cliff hotel nimesikia pia wanatumia hiyo gas kupikia
Yarabiiiiiii itabidi nipande treni nikawatafute...nitakupa mrejesho mkuu.

Au wapo kwenye majaribio nini?Mbona wanafanya siri?
Hiyo inaonekana itakuwa nzuri.
Maana kibongobongo wakishaanza kupata jina na wateja wengi wanaanza kuchakachua.
 
Kweli wewe mzoefu,mimi huwa nashtuka imeshapungua nikiitumia kidogo tu inaisha.
Nakimbiaje sasa?

Mwenzangu tuhamie Manjis...japo namsikiliza The Boss hapa naweza kujaribu huko.
Huko kwa mtwara khaaaah!! Wanauziana kiukoo au!!
 
Yarabiiiiiii itabidi nipande treni nikawatafute...nitakupa mrejesho mkuu.

Au wapo kwenye majaribio nini?Mbona wanafanya siri?
Hiyo inaonekana itakuwa nzuri.
Maana kibongobongo wakishaanza kupata jina na wateja wengi wanaanza kuchakachua.

Wewe nenda watu 'wanafaidi kimyakimya'
nasikia inauzwa kilo sh 600 ...wafanyakazi wa TPDC hadi magari yao wameyabadilli
wanatumia hiyo gesi
wanatu enjoy tu sisi wengine

mimi kila siku nasema ntaenda huko nasahau
ukienda wewe utanipa feedback
 
Wewe nenda watu 'wanafaidi kimyakimya'
nasikia inauzwa kilo sh 600 ...wafanyakazi wa TPDC hadi magari yao wameyabadilli
wanatumia hiyo gesi
wanatu enjoy tu sisi wengine

mimi kila siku nasema ntaenda huko nasahau
ukienda wewe utanipa feedback
Mkuu The Boss acha masikhara bwana...
Kwahiyo mtungi wa kg 15 kuujaza ni 9,000?
Sasa kununua mpya (complete) si utakuwa 20,000 jamani?
Uwiiiiii hebu ngoja niende nikacheki mie.
Hii sijawahi kuisikia kokote!
 
Mkuu The Boss acha masikhara bwana...
Kwahiyo mtungi wa kg 15 kuujaza ni 9,000?
Sasa kununua mpya (complete) si utakuwa 20,000 jamani?
Uwiiiiii hebu ngoja niende nikacheki mie.
Hii sijawahi kuisikia kokote!

Wewe nenda halafu unipe feedback
ukiteremka na treni fuata tu zile reli hadi zinapoanza
kuingia barabarani utaona petrol station
na ina kibao kabisa kituo cha kujaza gesi
ukifika hapo uliza halafu uniambie PM
labda wapandishe tu kiubishi
sababu project ilikuwa ya majaribio kabla haijasambaza kwa wanancho wote
but siku niliyouliza mimi niliambiwa yeyote anaruhusiwa kununua...
 
Wewe nenda halafu unipe feedback
ukiteremka na treni fuata tu zile reli hadi zinapoanza
kuingia barabarani utaona petrol station
na ina kibao kabisa kituo cha kujaza gesi
ukifika hapo uliza halafu uniambie PM
labda wapandishe tu kiubishi
sababu project ilikuwa ya majaribio kabla haijasambaza kwa wanancho wote
but siku niliyouliza mimi niliambiwa yeyote anaruhusiwa kununua...
Usijali mkuu,nitakwenda.
Kesho ratiba yangu hairuhusu...keshokutwa ndio nitalifanyia kazi hilo.

Asante kwa kushare nasi...nitakujuza bila shaka.
 
Huku ni Orxy,Mihan,O gas na Lake.
Nyingine ni adimu sana.

Sasa sijui nifanyeje na Manji's ndio hasa lengo langu kwa sasa.

Duh,pole sana mkuu.
Mkuu kwani upo wapi mpaka Manjis ziwe adimu?
 
Manjis ni kampuni ya Arusha ndo nyumbani kwao hadi vichochoroni wapo,wameenea sana Arusha hakuna kampuni inayowashinda wao kwa Arusha hata hao Oryx kwa Manjis Arusha wanaisoma namba,pia ni wazuri
kwani mitungi yao inajaa wala hawapunji.
Uko sahihi sana mkuu, kila sehemu lazima uikute.
 
Back
Top Bottom