Tujuzane sehemu za bata zinazobamba kwa sasa Dar

Tujuzane sehemu za bata zinazobamba kwa sasa Dar

Hahaha, yule dada aisee hapana! sie flat screen ukienda na bae unaeza jikuta unasonya sonya tu bila sababu [emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ishakuwa ijumaa Leo, nahisi kukutana viwanjani na warembo wa humu ndani japo hatujuani
 
Element ni ile ya sinza?
Hapana hii hapa
5f54008fa0f681774a0e680d85a1214e.jpg
 
Back
Top Bottom