Tukate mahusiano na Israel kama walivyofanya Afrika ya kusini

Tukate mahusiano na Israel kama walivyofanya Afrika ya kusini

kmbwembwe

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
10,892
Reaction score
7,780
Binafsi nimefarijika na kufurahi Afrika ya Kusini kushusha hadhi ya ubalozi wa Israel kutoka mahusiano ya ubalozi kamili na kuwa mahudiano ya kiwango cha chini.

Ukweli kinachoendelea Israel ni utawala kama ule uliokuwepo Afrika ya Kusini enzi ya Makaburu.

Walowezi wa Kiyahudi kwenye maeneo waliyovamia ya Wapalestina wanawanyima haki na uhuru wao Wapalestina na kuwaua ovyo huku jeshi la Kizayuni likiwalinda hao 'skin heads' wa Mayahudi. Ukiwaona wakirandaranda maeneo ya Wapalestina wamevaa bunduki za rashasha huku wakipewa sapoti na askari wa Israel hakika utahuzunika.

Israel nje imekuwa ikijinadi kama nchi ya kidemokrasia sawa na nchi za Magharibi, lakini kwa uhakika utawala wao wa Kizayuni ni sawa na ule wa ki apartheid uliokuwa wa Makaburu Afrika ya Kusini.

Israel kwa kufahamu inafaidika kwa Wakristo wakereketwa kufikiri Mayahudi waliyobarikiwa na kutamkwa kwenye Biblia ni sawa na hawa maharamia wanaoongozwa na kina Netanhahu. Wala Wakristo wengi hawataki kuamini Mayahudi sio Wakristo. Ili mradi Biblia iliyoandikwa na Mayahudi wenyewe wa enzi ya zamani kila mahali imewataja Mayahudi, basi Wakristo wanapata upofu kuona uovu wa hawa wanajiita Mayahudi leo.

Kwa maoni yangu, ningependa kushauri Tanzania na nchi za Kiafrika kufuata mfano wa Afrika ya Kusini na kuvunja kabisa uhusiano wa kibalozi na Israel.

Katika kikao cha wakuu wa Umoja wa Afrika kilichopita, ilitia moyo kuona uwakilishi kama watazamaji wa Israel wakitimuliwa. Inaelekea walipewa hadhi hiyo kwa kutumia hila enzi ya uenyekiti wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
 
Hoja yako inaweza kuwa na mantiki, lakini presentation yako ina walakini mkubwa. Umetumia lugha isiyo nzuri, kitu kinachoonyesha wazi kabisa ndani yako kuna ile chuki ya upande ule mwingine.
Ukitaka hoja yako iguse watu wengi, mara nyingine epuka maneno ya chiki na yenye ukakasi kwa hadhira yako.
 
1. Mbona hukutaja yanayotokea Darfur ya Sudan kwa watu weusi?
2. Usiingize Ukristo kwenye jambo hili, na Wakristo wanajua kuwa Wayahudi sio Wakristo wala hao Wayahud hawakuandika Bibilia kama unavyodai.
3. Mateso ya Palestina yanasikitisha, lakini nchi za Waarabu ndio zinashindana kurejesha uhusiano na Israel-hata kuruhusu ndege za Israel kupitia anga zao. Umesikia kitu kinaitwa "Abraham Accords"?
Issue hili ya Waisrael na Wapelestina ni complicated sana.
 
Binafsi nimefarijika na kufurahi Afrika ya Kusini kushusha hadhi ya ubalozi wa Israel kutoka mahusiano ya ubalozi kamili na kuwa mahudiano ya kiwango cha chini.

Ukweli kinachoendelea Israel ni utawala kama ule uliokuwepo Afrika ya Kusini enzi ya Makaburu.

Walowezi wa Kiyahudi kwenye maeneo waliyovamia ya Wapalestina wanawanyima haki na uhuru wao Wapalestina na kuwaua ovyo huku jeshi la Kizayuni likiwalinda hao 'skin heads' wa Mayahudi. Ukiwaona wakirandaranda maeneo ya Wapalestina wamevaa bunduki za rashasha huku wakipewa sapoti na askari wa Israel hakika utahuzunika.

Israel nje imekuwa ikijinadi kama nchi ya kidemokrasia sawa na nchi za Magharibi, lakini kwa uhakika utawala wao wa Kizayuni ni sawa na ule wa ki apartheid uliokuwa wa Makaburu Afrika ya Kusini.

Israel kwa kufahamu inafaidika kwa Wakristo wakereketwa kufikiri Mayahudi waliyobarikiwa na kutamkwa kwenye Biblia ni sawa na hawa maharamia wanaoongozwa na kina Netanhahu. Wala Wakristo wengi hawataki kuamini Mayahudi sio Wakristo. Ili mradi Biblia iliyoandikwa na Mayahudi wenyewe wa enzi ya zamani kila mahali imewataja Mayahudi, basi Wakristo wanapata upofu kuona uovu wa hawa wanajiita Mayahudi leo.

Kwa maoni yangu, ningependa kushauri Tanzania na nchi za Kiafrika kufuata mfano wa Afrika ya Kusini na kuvunja kabisa uhusiano wa kibalozi na Israel.

Katika kikao cha wakuu wa Umoja wa Afrika kilichopita, ilitia moyo kuona uwakilishi kama watazamaji wa Israel wakitimuliwa. Inaelekea walipewa hadhi hiyo kwa kutumia hila enzi ya uenyekiti wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

Jifunze kuandika vizuri kwanza

Weka paragraph, weka space,

Unaongea mambo makubwa hata kuandika Kwa mpangilio uwezi
 
Binafsi nimefarijika na kufurahi Afrika ya Kusini kushusha hadhi ya ubalozi wa Israel kutoka mahusiano ya ubalozi kamili na kuwa mahudiano ya kiwango cha chini.

tumia hila enzi ya uenyekiti wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
Yaani Tanzania iache kuwaza kupata teknolojia mpya kutoka kwa Israeli kisa ugomvi uliotokea huko middle east?

Tulikuwa watu wa huruma hivihivi enzi za Mwalimu na hatuna maendeleo yanayoeleweka.
Mungu atawatetea Wapalestina, sisi sio kazi yetu kwanza hatuko upande wowote (NAM)
 
MK254 njoo sasa huku ndo mahali pake hasa pa kuwatukana maustadh na mashekhe sio kule kwenye uzi wa vita ya Ukraine/urusi, Kule unawaonea bure mashekhe na maustadh hawahusiki hata kidogo,, uwanjani wako sasa watukane
 
Binafsi nimefarijika na kufurahi Afrika ya Kusini kushusha hadhi ya ubalozi wa Israel kutoka mahusiano ya ubalozi kamili na kuwa mahudiano ya kiwango cha chini.

Ukweli kinachoendelea Israel ni utawala kama ule uliokuwepo Afrika ya Kusini enzi ya Makaburu.

Walowezi wa Kiyahudi kwenye maeneo waliyovamia ya Wapalestina wanawanyima haki na uhuru wao Wapalestina na kuwaua ovyo huku jeshi la Kizayuni likiwalinda hao 'skin heads' wa Mayahudi. Ukiwaona wakirandaranda maeneo ya Wapalestina wamevaa bunduki za rashasha huku wakipewa sapoti na askari wa Israel hakika utahuzunika.

Israel nje imekuwa ikijinadi kama nchi ya kidemokrasia sawa na nchi za Magharibi, lakini kwa uhakika utawala wao wa Kizayuni ni sawa na ule wa ki apartheid uliokuwa wa Makaburu Afrika ya Kusini.

Israel kwa kufahamu inafaidika kwa Wakristo wakereketwa kufikiri Mayahudi waliyobarikiwa na kutamkwa kwenye Biblia ni sawa na hawa maharamia wanaoongozwa na kina Netanhahu. Wala Wakristo wengi hawataki kuamini Mayahudi sio Wakristo. Ili mradi Biblia iliyoandikwa na Mayahudi wenyewe wa enzi ya zamani kila mahali imewataja Mayahudi, basi Wakristo wanapata upofu kuona uovu wa hawa wanajiita Mayahudi leo.

Kwa maoni yangu, ningependa kushauri Tanzania na nchi za Kiafrika kufuata mfano wa Afrika ya Kusini na kuvunja kabisa uhusiano wa kibalozi na Israel.

Katika kikao cha wakuu wa Umoja wa Afrika kilichopita, ilitia moyo kuona uwakilishi kama watazamaji wa Israel wakitimuliwa. Inaelekea walipewa hadhi hiyo kwa kutumia hila enzi ya uenyekiti wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
Post yako imepoteza maana na kuwa ya kipumbavu kwa kuwa umeitumia mada kama kivuli ilhali ulicholenga ni kuishambulia na kuinanga dini ya Kikristo(Christian religion), relevance ya thread umeibomoa mwenyewe kwa sababu ya chuki zako za kidini.

Watu kama nyinyi ndiyo huwafanya watu wengine wai-support Israel hata kama hawafurahishwi na namna wanavyowasulubu Palestinians.
 
Binafsi nimefarijika na kufurahi Afrika ya Kusini kushusha hadhi ya ubalozi wa Israel kutoka mahusiano ya ubalozi kamili na kuwa mahudiano ya kiwango cha chini.

Ukweli kinachoendelea Israel ni utawala kama ule uliokuwepo Afrika ya Kusini enzi ya Makaburu.

Walowezi wa Kiyahudi kwenye maeneo waliyovamia ya Wapalestina wanawanyima haki na uhuru wao Wapalestina na kuwaua ovyo huku jeshi la Kizayuni likiwalinda hao 'skin heads' wa Mayahudi. Ukiwaona wakirandaranda maeneo ya Wapalestina wamevaa bunduki za rashasha huku wakipewa sapoti na askari wa Israel hakika utahuzunika.

Israel nje imekuwa ikijinadi kama nchi ya kidemokrasia sawa na nchi za Magharibi, lakini kwa uhakika utawala wao wa Kizayuni ni sawa na ule wa ki apartheid uliokuwa wa Makaburu Afrika ya Kusini.

Israel kwa kufahamu inafaidika kwa Wakristo wakereketwa kufikiri Mayahudi waliyobarikiwa na kutamkwa kwenye Biblia ni sawa na hawa maharamia wanaoongozwa na kina Netanhahu. Wala Wakristo wengi hawataki kuamini Mayahudi sio Wakristo. Ili mradi Biblia iliyoandikwa na Mayahudi wenyewe wa enzi ya zamani kila mahali imewataja Mayahudi, basi Wakristo wanapata upofu kuona uovu wa hawa wanajiita Mayahudi leo.

Kwa maoni yangu, ningependa kushauri Tanzania na nchi za Kiafrika kufuata mfano wa Afrika ya Kusini na kuvunja kabisa uhusiano wa kibalozi na Israel.

Katika kikao cha wakuu wa Umoja wa Afrika kilichopita, ilitia moyo kuona uwakilishi kama watazamaji wa Israel wakitimuliwa. Inaelekea walipewa hadhi hiyo kwa kutumia hila enzi ya uenyekiti wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
Biblia unayotaka ikuunge mkono kwenye hii mada yako iatakukaanga labda ungejenga hoja kutumia kurani
 
Binafsi nimefarijika na kufurahi Afrika ya Kusini kushusha hadhi ya ubalozi wa Israel kutoka mahusiano ya ubalozi kamili na kuwa mahudiano ya kiwango cha chini.

Ukweli kinachoendelea Israel ni utawala kama ule uliokuwepo Afrika ya Kusini enzi ya Makaburu.

Walowezi wa Kiyahudi kwenye maeneo waliyovamia ya Wapalestina wanawanyima haki na uhuru wao Wapalestina na kuwaua ovyo huku jeshi la Kizayuni likiwalinda hao 'skin heads' wa Mayahudi. Ukiwaona wakirandaranda maeneo ya Wapalestina wamevaa bunduki za rashasha huku wakipewa sapoti na askari wa Israel hakika utahuzunika.

Israel nje imekuwa ikijinadi kama nchi ya kidemokrasia sawa na nchi za Magharibi, lakini kwa uhakika utawala wao wa Kizayuni ni sawa na ule wa ki apartheid uliokuwa wa Makaburu Afrika ya Kusini.

Israel kwa kufahamu inafaidika kwa Wakristo wakereketwa kufikiri Mayahudi waliyobarikiwa na kutamkwa kwenye Biblia ni sawa na hawa maharamia wanaoongozwa na kina Netanhahu. Wala Wakristo wengi hawataki kuamini Mayahudi sio Wakristo. Ili mradi Biblia iliyoandikwa na Mayahudi wenyewe wa enzi ya zamani kila mahali imewataja Mayahudi, basi Wakristo wanapata upofu kuona uovu wa hawa wanajiita Mayahudi leo.

Kwa maoni yangu, ningependa kushauri Tanzania na nchi za Kiafrika kufuata mfano wa Afrika ya Kusini na kuvunja kabisa uhusiano wa kibalozi na Israel.

Katika kikao cha wakuu wa Umoja wa Afrika kilichopita, ilitia moyo kuona uwakilishi kama watazamaji wa Israel wakitimuliwa. Inaelekea walipewa hadhi hiyo kwa kutumia hila enzi ya uenyekiti wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
Nitambaliki Kila atakae mbaliki islael na nitamlaani Kila atakae mlaani islael. Asema bwana MUNGU wa majeshi
 
Waarabu/waislam mngekuwa na uwezo mngewasafisha hao waisrael na kuwafuta kwenye uso huu wa dunia, mlijaribu ile Six Day War ili kumaliza wayahudi once and for all lakini kilichofuata kila mtu anajua, leo mnataka wayahudi wawamini kwa kipi wakati nia yenu mwanzo ilikuwa ni kuwasafisha , wote wadini na wakabila piganeni mpaka wote mfe au mpate akili, mwenye nguvu na akili ashinde, sina upande wowote
 
Jifunze kuandika vizuri kwanza

Weka paragraph, weka space,

Unaongea mambo makubwa hata kuandika Kwa mpangilio uwezi
Wee comment kuhusu hoja. Hayo ya taaluma ya lugha au uandishi jf sio shule.
 
Post yako imepoteza maana na kuwa ya kipumbavu kwa kuwa umeitumia mada kama kivuli ilhali ulicholenga ni kuishambulia na kuinanga dini ya Kikristo(Christian religion), relevance ya thread umeibomoa mwenyewe kwa sababu ya chuki zako za kidini.
Watu kama nyinyi ndiyo huwafanya watu wengine wai-support Israel hata kama hawafurahishwi na namna wanavyowasulubu Palestinians.
Mimi wala sio muislaam. Hoja yako ina prove usahihi wa dhana kwamba wakristo wanaiunga mkono israel kwa upofu wao kuhusu wayahudi... Kwamba ni taifa teule la mungu na huku leo hii ni maharamia tu wabaguzi wa rangi na kikabila sawa na makaburu enzi za apartheid.
 
Back
Top Bottom