MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Mkuu pombe sinywi ila nakula mmea,, sababu ya kusema hivi,,, huyu jamaa MK254 ana chuki na uislam na waislam kwa ujumla sijui hata walimfanya nini,,, so kila uzi hata usiohusisha mambo ya dini basi yeye lazima atukane, akashifu uislam na uislam, hasa kwenye ule uzi wa vita ya Ukraine/urusi,, na ndio maana nikamwita hapa makusudi kwenye uzi huu kwa kuwa una viashiria vya kidini ili yale matusi yake,kashfa, na kejeli dhidi ya uislam na uislam avimalizie hapa,, na kama ulivyomuona kaja kweli kutukana. Yani kifupi huyu jamaa hamnazo. Na kumwita kwangu hapa ilikuwa kama joking lkn si umeona coment yake ilivyokuwa ya kipuuzi.. sijui hata maustadh walimfanya nini huyu jamaa.
Hamna sehemu nimetukana, huwa nawaambia mlivyo, kuabudu mwarabu aliyegegeda katoto, ni kitu imeandikwa kwenye vitabu vyenu wenyewe kisha mkikumbushiwa mnalialia kutukanwa, na pia kuua waafrika wenzenu kisa huyo mwarabu.