Tukiacha ushabiki wa kivyama na Unafiki, Hoja ya Spika haijajibiwa

Hoja kuu ya Spika ilikuwa inatetea kwa nini Bunge lilipitisha hoja ya tozo. Ni kweli kuna sentensi ukizichukulia peke yake zinaonekana kama kumkosoa Serikali lakini hiyo haikuwa hoja yake. Sasa Serikali inasemaje? Kwamba tozo na mikopo vyote viendelee? Hatimaye atakayelipa mikopo ni huyo huyo. anayetozwa!
 
Kuomba msamaha kwake hakuondoi hoja aliyoiweka mezani
Ameshasema mitandao ilikuza alichokiongea na hivyo alikuwa ni kama anajisafisha kuwa hakumaanisha kilichovumishwa na mitandao sasa kwa Hali hiyo msimamo wake ni upi. Huyu Ndugai jina lake lishapatikana wamesema ni lingombe kama yule aliyepkotwa jalalani.
 
Amesema hoja hiyo hakuisema jinsi ilivyonukuliwa kwenye mitandao ya kijamii. Anasema ni vipande vya video zilizotengenezwa na kuungwaungwa ili kumchafua. Sasa wewe ni hoja ipi unayotaka ijibiwe kwamba ni ya Ndugai?
Kwakuwa Rais ameendelea kujaribu kujibu hoja ambayo wewe unasema haipo? Basi hoja hiyo ya Ndugai inaendelea kuwa hai
 
Utawaweza hawa bavicha,, vichwa vyao vizito sana kuchanganua mambo, wanadai ndugai hajajibiwa so walitaka majibu yapi?
Yale yale ya kudai katiba mpya process ikianza wanaweka mpira kwapani,,
Kwao hakuna jema,, lengo lao ni moja tu,, kukamata madaraka, [emoji23] basi
Unadai katiba na huna watu, utaipitishaje?, Au wanadhani Trump atakuja kunya katiba mpya hapa?

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
msamaha wa ndugai ni wanamna mazingira alotumia kuwasilisha hoja yake lakini hakuna mahala popote palipoondoa hoja zake nandomana wanaendelea kutoa majibu yakupaniki,, kila wanapojitokeza kumdhihaki wanajikuta wanazidi kuharibu
 
Majibu yawe wazi kiaje yaani?, Hayo majibu ya siku ile kama hukuelewa hakuna kitu utaelewa maishani mwako

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Kabla serikali haijakopa mkopo wowote lazima ipewe kibali na bunge. Hivyo ndivyo imekuwa ikifanyika?
 
Mikopo inalipwa kila mwezi, ni suala endelevu, mikopo inayomature, inalipwa,,,

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Andamaneni Chadema mumtetee ndugai kenge nyinyi, jitu ambalo limewanyanysa Sana bungeni Leo mnalitetea ,nyie kweli mbwa,


Na hamtokuja mshike Madaraka yoyote hapa Tz,nashauri mama awakazie Kama alivyokuwa anawakomesha dikteta magufuli
Shida ya cdm wako very stressed, maisha magumu sana tangu wakose ubunge,, lakini sasa hawajui wanakosea approach,, kumnanga hangaya eti wanaita supana,, itawacost dearly yaani in a long run...

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Ndugai inabidi mama amuwahi awekwe nje kinyume na hapo ataanzisha songombingo mama awekwe nje ingawaje sina uhakika kama atafanikiwa. ...mama ashauriwe vizuri asimtoe Kasim Kwa kiti ashauriwe pia amuachie Mbowe haraka mwisho tuombe giza naloliona mbele lisiwepo. ....
 
ili hii nchi isikope na tuishi kwa tozo...basi wote tukubali kufanya kazi kweli kwa bidii... Hivi huyo mtanzania wa kufanya kazi kiasi cha nchi kuwa na pato lake na ijitegemee yuko wapi? hawa watanzania wa kidimbwi....kujenga nchi kufikia level ya kujitegemea na kutokuwa na madeni kunataka sacrifice na commitment ya watanzania wote leo hii wakubali kufa njaa kwa manufaa ya vitukuu
 
Ingawa wengi wanaona kuwa ndugai kaonewa na kudhalilishwa mno ila anakosa uhalali kwa vile alikuwa Ni mtu wa. Kiburi na jeuri Sasa anaachwa tu Bila msaada wowote maskin ya mungu mam kamdhliidha haswa Kawaita wakuu wote wa mikoa kuja kumsaidia kumsuta ndugai na kundi lake

Afu kamalizakapanda ndege an kurud ddm muda ule ule
 
Andamaneni Chadema mumtetee ndugai kenge nyinyi, jitu ambalo limewanyanysa Sana bungeni Leo mnalitetea ,nyie kweli mbwa,


Na hamtokuja mshike Madaraka yoyote hapa Tz,nashauri mama awakazie Kama alivyokuwa anawakomesha dikteta magufuli
Sijui kama unaelewa hoja inayojadiliwa hapa....
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
😁😁😁😁😁
 
Hakuna Raisi alikuwa mwongo Kama Magufuli.Ali uaminisha umma kuwa anaedesha serikali kwa fedha za ndani,kumbe ni mkopaji gwiji.leo watu Wana mlaumu mheshimiwa Raisi SSH.Kaazi kweli kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…