Tukiachana na tabia, sehemu za siri pia hupelekea sana watu kuachana

Tukiachana na tabia, sehemu za siri pia hupelekea sana watu kuachana

Katika mahusiano watu hushindwana sana kwenye tabia, hapo hupelekea wapenzi kuachana.
Ila sehemu za siri pia ni tatizo kubwa sana hupelekea watu wengi kuachana.

Mfano nishawahi kuachana na msichana mmoja mrembo sababu ya harufu kali sehemu ya uke!

Kuna watu washawahi kuachana sababu mmoja ana maumbile ya siri makubwa au madogo.

Wengine wameachana kutokana na uume kuwa lege lege, embu taja yako ulishawahi muacha mtu wako akiwa na shida gan?
Sehemu zenu za siri zikipatana mnamuachia nani sasa 😂😂ila upwiru ni mbaya snaa
 
Katika mahusiano watu hushindwana sana kwenye tabia, hapo hupelekea wapenzi kuachana.
Ila sehemu za siri pia ni tatizo kubwa sana hupelekea watu wengi kuachana.

Mfano nishawahi kuachana na msichana mmoja mrembo sababu ya harufu kali sehemu ya uke!

Kuna watu washawahi kuachana sababu mmoja ana maumbile ya siri makubwa au madogo.

Wengine wameachana kutokana na uume kuwa lege lege, embu taja yako ulishawahi muacha mtu wako akiwa na shida gan?
Mamdogo Amehlo, your comments please..!!
Shemela Evelyn Salt, sema neno tu na akili yangu ielewe..!!
Kwani we Bantu Lady unasemaje kwenye hili?
Rahabu embu sema kitu hapa.
 
Katika mahusiano watu hushindwana sana kwenye tabia, hapo hupelekea wapenzi kuachana.
Ila sehemu za siri pia ni tatizo kubwa sana hupelekea watu wengi kuachana.

Mfano nishawahi kuachana na msichana mmoja mrembo sababu ya harufu kali sehemu ya uke!

Kuna watu washawahi kuachana sababu mmoja ana maumbile ya siri makubwa au madogo.

Wengine wameachana kutokana na uume kuwa lege lege, embu taja yako ulishawahi muacha mtu wako akiwa na shida gan?
Huyo anayenuka K Ni mgonjwa, ungempeleka hospitali tatizo lingeisha.
 
Kwani nini maana ya siri??
Okay, Neno "siri" lina maana kadhaa kulingana na muktadha. Kimsingi, siri inarejelea jambo au taarifa ambayo haijulikani kwa watu wengi au ambayo inapaswa kufichwa .........kulingana na chat gpt

Sasa siri gani kila mtu anaijua ya mwenzakeee
 
Back
Top Bottom