Tukiachana na tabia, sehemu za siri pia hupelekea sana watu kuachana

Tukiachana na tabia, sehemu za siri pia hupelekea sana watu kuachana

Katika mahusiano watu hushindwana sana kwenye tabia, hapo hupelekea wapenzi kuachana.
Ila sehemu za siri pia ni tatizo kubwa sana hupelekea watu wengi kuachana.

Mfano nishawahi kuachana na msichana mmoja mrembo sababu ya harufu kali sehemu ya uke!

Kuna watu washawahi kuachana sababu mmoja ana maumbile ya siri makubwa au madogo.

Wengine wameachana kutokana na uume kuwa lege lege, embu taja yako ulishawahi muacha mtu wako akiwa na shida gan?
Unakuta unamtongoza mtu, katikat ya mahusiano unagundua anamiliki kadi ya Ccm, aiseeh hiyo kitu inakata sana stimu.
 
Katika mahusiano watu hushindwana sana kwenye tabia, hapo hupelekea wapenzi kuachana.
Ila sehemu za siri pia ni tatizo kubwa sana hupelekea watu wengi kuachana.

Mfano nishawahi kuachana na msichana mmoja mrembo sababu ya harufu kali sehemu ya uke!

Kuna watu washawahi kuachana sababu mmoja ana maumbile ya siri makubwa au madogo.

Wengine wameachana kutokana na uume kuwa lege lege, embu taja yako ulishawahi muacha mtu wako akiwa na shida gan?
Watu hawaelewi hawajui kuchukuliana, kama kuna mtu unaona ana harufu msaidie jaman mbona tatizo linatibika na hata kusahau, wenye maumbile madogo mbona nao wanahitaji kuwa na wapenzi mfano mwenye uume mkubwa kuna stail zake na hata mwenye dyudyu dogo pia tena vibamia vinakuna vzr hadi raha na havilali ovyo kwa kweli
 
Katika mahusiano watu hushindwana sana kwenye tabia, hapo hupelekea wapenzi kuachana.
Ila sehemu za siri pia ni tatizo kubwa sana hupelekea watu wengi kuachana.

Mfano nishawahi kuachana na msichana mmoja mrembo sababu ya harufu kali sehemu ya uke!

Kuna watu washawahi kuachana sababu mmoja ana maumbile ya siri makubwa au madogo.

Wengine wameachana kutokana na uume kuwa lege lege, embu taja yako ulishawahi muacha mtu wako akiwa na shida gan?
Ushiled
 
UZINZI NI HATARI SANA KATIKA DHAMBI ZOTE AMBAZO MUNGU ANACHUKIA NI PAMOJA NA ZINAA ZINAAA ZINAAA ILIMUANGUSHA ADAM NA HAWA ILIFANYA KIFO KIINGIE DUNIANI ZINAA IMEFANYA MUNGU KULETA GHARIKA KIPINDI CHA NUHU ZINAA IMEFANYA MUNGU KUANGAMIZA KWA MOTO SODOMA NA GOMORA

KAMA UNATAKA UELEWE FUATILIA MAHUSIANO YAKO YAPI YAMEISHA VIZURI KATI YA ULIOLALA NAO AMA WALE AMBAO HUJAWAI KULALA NAO

JIULIZE NI MANGAPI YAMETOKEA BAADA YA KULALA NA MTU

ZINAAA NI MBAYA SANA KWASABABU NI TENDO LINALOTENDEKA NDANI YA MWILI

VIJANA OENI OANENI ACHENI UZINZI… MTAKUFA KWA ZINAAA

MUWE NA JUMAPILI NJEMA
unashauri hivyo wewe ukiwa kama nani?
 
kuna wanawake hawana budi kujitambua hasa kipengele cha usafi wa sehemu za siri ,yaani kabla ya tendo jisafisheni sehemu zote ,mlango wa mbele na nyuma kadhalika kwa jinsia ya kuime .Yaani kuna wanawake wame wadisapointi wanaume kwa sehemu kubwa mtu anaonekana very beautiful lakini katika kile kipengele ananuka panya akasome sasa unategemea nini wanaume wenyewe wamesha onjaonja nje wanaexperience ya kutosha.
 
Waafrika bana.

Yaani Kikojeo, kikunyio kinasababisha watu kuachana!
 
Mimi na Mpenzi wangu tuna miaka 24 ndani ya Ndoa, yeye hana kabisa sehemu za siri lakini wala sijawahi kufikiria kumuacha...labda aanze yeye

Kwanini vijana wa sikuhizi hamna uvumilivu wala siri?
Lakn JF kuna watu mnaongea pumba asee🤣🤣
 
Unamuacha mtu kwa sababu ana dudu dogo au dudu kubwa huo ni UTROTRO.

Ni utoto na ujinga kwa sababu mbolo zote ni tamu iwe kubwa au ndogo ni tamu mno....

Japo wadada wengi ni walaku wa MIBORO MIKUBWA, sijui wanataka KUBOMOLEWA VIZAZI?

Ridhikeni jamaniii... khaaaa.... majitu malaku ya MBORO.

Cc: Lamomy Extrovert Poor Brain Mbaga Jr secretarybird
 
Unamuacha mtu kwa sababu ana dudu dogo au dudu kubwa huo ni UTROTRO.

Ni utoto na ujinga kwa sababu mbolo zote ni tamu iwe kubwa au ndogo ni tamu mno....

Japo wadada wengi ni walaku wa MIBORO MIKUBWA, sijui wanataka KUBOMOLEWA VIZAZI?

Ridhikeni jamaniii... khaaaa.... majitu malaku ya MBORO.

Cc: Lamomy Extrovert Poor Brain Mbaga Jr secretarybird
Pialu wapi..
Sio unapita kimya kimya tyuu 😀😀😀😀😀
 
We kaongoo sanaa..... njoo Kinyerezi hapa namtuma boda anakufata utakula pilau mpaka uvimbiwee....

Nimepika masotojo ya kila aina... utajilambaaaa
😀😀😀😀😀 Kudadakeee et masotojo....
Sawa ngoja nifanye mpango tuone..
 
Back
Top Bottom