Bless mom
JF-Expert Member
- May 20, 2021
- 948
- 2,040
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabla ya kujuana sehemu huwa za siri,Mimi na Mpenzi wangu tuna miaka 24 ndani ya Ndoa, yeye hana kabisa sehemu za siri lakini wala sijawahi kufikiria kumuacha...labda aanze yeye
Kwanini vijana wa sikuhizi hamna uvumilivu wala siri?
Jidanganye, haya mavitu hayanaga muongozo.Mapenzi kwa nafasi kubwa yanashikiliwa na tendo, kama mnafanya vizuri na kila mtu anaridhika ni ngumu kuachana
Hii kamba na chai nzito....Rudia kusoma ulichoandikaMimi na Mpenzi wangu tuna miaka 24 ndani ya Ndoa, yeye hana kabisa sehemu za siri lakini wala sijawahi kufikiria kumuacha...labda aanze yeye
Kwanini vijana wa sikuhizi hamna uvumilivu wala siri?
😂😂mods hawaelewi haya shauri yakoSasa wewe unaingia kwenye mahusiano unawaza kupiga miti tu😁 siku ina masaa 24 mkit(o)mb(a)n(a) sana ni masaa mmanne hayo mengine 20 mnafanyaje?
Sio Kamba wala Chai MkuuHii kamba na chai nzito....Rudia kusoma ulichoandika
Inategemea lakiniii,Mapenzi kwa nafasi kubwa yanashikiliwa na tendo, kama mnafanya vizuri na kila mtu anaridhika ni ngumu kuachana
Unajitetea tu ila ndo uhalisia mkuuSio Kamba wala Chai Mkuu
So wewe unajua zaidi sio?Unajitetea tu ila ndo uhalisia mkuu
Hakika inaogopeshaIla sasa hivi watu wanaachana sana kwenye mahusiano. Hadi unabaki kushangaa kwasababu huamini walivyokuwa wanapendana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahHakuna sehemu za siri dunianii kwa sababu kila mtu anayo na anajua muundo wa jinsia nyingineeee
Nb:utafiti wangu tu
Fanya kazi wewe.....Ila sasa hivi watu wanaachana sana kwenye mahusiano. Hadi unabaki kushangaa kwasababu huamini walivyokuwa wanapendana.
Au we unasemaje utafiti ni mzuri au nimechochora,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
Mtu ambaye hakuridhishi kabisa kabisa kabisa unaweza kuishi nae vizuri bila kumcheat?Inategemea lakiniii,