Tukibadili mtizamo pale Kivukoni Kigamboni tutaondoa kero ya kudumu na kuzalisha Masaki mpya kama hivi

Tukibadili mtizamo pale Kivukoni Kigamboni tutaondoa kero ya kudumu na kuzalisha Masaki mpya kama hivi

Kwanini pasijengwe daraja linalofunguka na kufunga?View attachment 2250347View attachment 2250348
Hili linaweza kuwa wazo zuri japo pia mtoa mada amewaza vyema. Changamoto hapa nazoziona mimi ni mbili

i. Umeme wetu sio wa uhakika na pia utunzaji na usimamizi wa miundombinu kwetu sio kipaumbele. Si ajabu mtu kung'oa kibao cha jina la mtaa ili akauze chuma chakavu. Pia si ajabu askari wa barabarani (sijaweka neno usalama kwa kuwa siamini kuwa salama mikononi mwa askari mbele ya pesa) akang'oa kibao hichohicho ili tu apige faini raia. Daraja hilo litahitaji umeme ili kufanya kazi wakati Tanesco inajulikana sana.

ii. Kivuko ni mradi wa watawala hivyo kujenga barabara ama daraja ni kupunguza faida. Nchi yetu haiendelei kwakuwa mabwanyenye yamekalia uchumi hivyo unafuu kwa mwananchi wa chini ni kujifilisi wao.
 
Dar ni mji mkubwa wa kibiashara, dar ina idadi kubwa ya watu, miundombinu inafuata kuokoa wingi wa watu, idadi ya wananchi wanaovuka pale kigamboni ni sawa jumla ya watu wa mikoa miwili huko Nyantakala!
Hivyo kwasababu zoezi la wakulima linahitaji liwe la kitaifa linaweza kufanyika kidogo kidogo
Mkoa mmoja una watu zaidi ya 1.5m
 
Hili linaweza kuwa wazo zuri japo pia mtoa mada amewaza vyema. Changamoto hapa nazoziona mimi ni mbili

i. Umeme wetu sio wa uhakika na pia utunzaji na usimamizi wa miundombinu kwetu sio kipaumbele. Si ajabu mtu kung'oa kibao cha jina la mtaa ili akauze chuma chakavu. Pia si ajabu askari wa barabarani (sijaweka neno usalama kwa kuwa siamini kuwa salama mikononi mwa askari mbele ya pesa) akang'oa kibao hichohicho ili tu apige faini raia. Daraja hilo litahitaji umeme ili kufanya kazi wakati Tanesco inajulikana sana.

ii. Kivuko ni mradi wa watawala hivyo kujenga barabara ama daraja ni kupunguza faida. Nchi yetu haiendelei kwakuwa mabwanyenye yamekalia uchumi hivyo unafuu kwa mwananchi wa chini ni kujifilisi wao.

Kuhusu wasiwasi wa umeme nakubaliana na wewe. Lakini utatuzi walioutumia kwenye SGR utatumika hapo pia. Ikumbukwe SGR inahitaji umeme muda wote, sifikirii Hilo hawajalizingatia kuja na mbadala.

Shida yangu hizo spiral pande mbili zitahitaji eneo kubwa sana. Itabidi maeneo yabomolewe na sioni uwazi wa kutosha bila kuathiri stand ya mwendo Kasi, ya daladala au huko ikulu ya Dar.

Yote Kwa yote, penye Nia Pana njia.
 
Hizo mambo zinataka mtu mmoja mwenye kufanya maamuzi magumu, vinginevyo itaendelea kuwa simulizi.
 
Kuhusu wasiwasi wa umeme nakubaliana na wewe. Lakini utatuzi walioutumia kwenye SGR utatumika hapo pia. Ikumbukwe SGR inahitaji umeme muda wote, sifikirii Hilo hawajalizingatia kuja na mbadala.

Shida yangu hizo spiral pande mbili zitahitaji eneo kubwa sana. Itabidi maeneo yabomolewe na sioni uwazi wa kutosha bila kuathiri stand ya mwendo Kasi, ya daladala au huko ikulu ya Dar.

Yote Kwa yote, penye Nia Pana njia.
Eneo linatosha sana mkuu! Umeme wa Ku opareti hapo siyo mwingi, ni Transifoma moja la KVA 300 Linatosha kabisa kutoa umeme wa kutosha hapo na ukabaki umeme mwingi tu, hata ikihitajika kufungwa stand by jenereta bado yapo ya kutosha!
Umeme mwingi pale ni taa tu na compyuta, n.k
 
Eneo linatosha sana mkuu! Umeme wa Ku opareti hapo siyo mwingi, ni Transifoma moja la KVA 300 Linatosha kabisa kutoa umeme wa kutosha hapo na ukabaki umeme mwingi tu, hata ikihitajika kufungwa stand by jenereta bado yapo ya kutosha!
Umeme mwingi pale ni taa tu na compyuta, n.k

Kuhusu umeme nilikua namaanisha upatikanaji wa uhakika. Hapo kwenye eneo nawaza kipenyo Cha mzunguko au diameter ya spiral inawezakuwa na urefu kiasi Gani?

Na Je, haiwezi kuwa soura kwenda juu? Badala ya kupita chini zikazunguka kwenda juu meli zikapita chini? Hii ni tofauti kimuundi na like la kufunika na kufunga. Itarahisisha maintenance kuliko ikiwa chini ya maji.

Mwisho wa siku kama nilivyosema awali, penye Nia Pana njia.
IMG_20220606_104957.jpg
 
Kuhusu umeme nilikua namaanisha upatikanaji wa uhakika. Hapo kwenye eneo nawaza kipenyo Cha mzunguko au diameter ya spiral inawezakuwa na urefu kiasi Gani?

Na Je, haiwezi kuwa soura kwenda juu? Badala ya kupita chini zikazunguka kwenda juu meli zikapita chini? Hii ni tofauti kimuundi na like la kufunika na kufunga. Itarahisisha maintenance kuliko ikiwa chini ya maji.

Mwisho wa siku kama nilivyosema awali, penye Nia Pana njia.View attachment 2251923
Eneo ni kubwa mno pale linatosha hata ukichukua kipenyo kikubwa kabisa cha mita 100 nafas linatosha!
Sasa wanaweza kufanya pungufu ya kipenyo hiko.
Pia kuhusu umeme unatosha kutokana na kwamba hakuta kuwa na mitambo mikubwa zaidi ya taa!
Hivyo hata kama umeme ukikatika taa hizo zinawezwa kuwashwa kwa backup ya jenereta na maisha yakaendelea!
Ikumbukwe kwa huko chini kutakuwa na mwanga wa taa pia magari yana taa in case of imegence ukikatika ghafla hautazuia magari kukwama hivyo uhitaji wa taa sanasana ni kwa pedestrian
 
Historia ya mji wa kigamboni ilikuwa shamba, kama ilivyokuwa mbezi beach na maeneo mengine yaliyokuwa pembezoni mwa mzizima (dar)
Mawazo ya kuleta kivuko pale kigamboni yalilenga tiba ya dharula kwa wakati huo teknolojia ilikuwa haijasambaa duniani!

Hivyo matumizi ya kivuko siyo usafili wa kudumu pale kigamboni bali ni kama ARV ya kujipanga kutatua tatizo enzi hizo!

Wangapi mmewahi kujiuliza hatima ya kivuko itakoma lini? Wangapi mmewahi kuwaza hadi kitokee nini ndipo tubadili mtizamo wa ARV kivuko?

Nchi yetu siyo changa, inaweza kubadili mtizamo huu sasa, Naomba serikali iwaoondolee mzigo wa kutumia ARV kivuko kila siku wadau wa vivuko pale kigamboni.

Uwepo wa daraja la mwalimu nyerere kule kurasini hautoshi kuondoa tatizo pale kivukoni! (Pale kivukoni ni njia fupi hivyo lazima suluhisho la kudumu lipatikane palepale)

Ebu kila mmoja atafakali, ulishaonea wapi chombo kinachofanya kazi saa 24 kila siku (January hadi December) kikaondoa tatizo la kudumu?
Kama binadamu tu huhitaji kupumzika, je hivi vivuko mapumziko yake ni lini?

Tunaweza kuwalaumu Temesa kwa huduma mbovu lakini ni nani anaeweza kuvaa nguo moja kila siku na asibaki mtupu wakati nguo ikiwa imekwisha au kufuliwa?

Utupu wa temesa pale kivukoni unaweza kuleta maafa makubwa siku moja na dunia nzima ikasikitika kwa kushindwa kuamua sasa!
Ukiachana na hatari ya kivuko kuzama, hata ile kuwarundika abiria kwenye banda ni hatari kubwa mno (Mungu aepushie mbali!) Yale Mabanda ya abiria yapo karibu sana na maisha mengine ya kijamii ambapo mtu anaweza kurusha chochote hatari kwa mkono na kikafika, hata hizo bar maeneo ya kivuko hazikustahili kuwepo pale kubana nafasi!

Najua afrika hatujui kubadili paa la nyumba hadi nyumba nzima iungue moto!

Lakini tukumbuke pesa pasipo usalama wa wananchi haina maana!
NINI KIFANYIKE?
Ni muda muafaka pale kivukoni kigamboni tujenge daraja la chini ya maji kama ninavyoshauri kwenye mchoro huu hapa chini!

Gharama yake inaweza ikawa kati ya billion 280 hadi 350 kulingana na design ya wizara!

Design ya kwanza ya Barabara inaweza kuanzia pale maeneo ya hoteli ya kempiski na barabara ikaaambaaa na kingo ya fukwe ya bahari kuelekea chini ya bahari na kuibukia kigamboni minazi mikinda katika njia iliyonyooka!
AU
Design ya pili ni spiral way inajengwa pale ilipo stendi ya mwendokasi kivukoni, panakuwa na barabara ya mzunguko (spiral) kuelekea chini halafu then inanyoosha chini ya bahari hadi kigamboni ambako itaibuka na kunganishwa na barabara zingine!

Stendi ya mwendo kasi pale magogoni inakufa itabaki kituo kidogo cha kushusha na stend itahamishiwa kigamboni

Wakati wa mradi madadala yataishia posta ya zamani, na vivuko vitabeba abiria wa miguu tu ambao watashuka palepale kwenye gati na kutembea sambamba na bahari hadi maeneo ya hotel ya kimpisk ilipo au watashushwa posta ya zamani kwa kujengwa gati la muda!

Faida ya mradi!
1. Tutakuwa tumetatua tatizo la kudumu
2. Usalama wa watu ni mkubwa
3. Tutakuwa tumezalisha mji mwingine kama masaki au pengine kama ilivyo dubai
4. Uwekezaji, ofisi na hoteli za kitalii zitajengwa kigamboni n.k
5. Gharama za ukarabati ni rahisi zaidi kuliko ilivyo daraja la juu ya maji
6. Ni salama na rahisi kutumia
7. Pantoni zinaweza kugeuzwa kuwa boti za utalii

VIONGOZI MNAWEZA HILI, AMUENI SASA
View attachment 2250307
Kuna mktaba hapa tumesaini na kampuni ya kihindi ya kutupatia software ya kufuatilia umeme unapokatika. Tumetumia Kama 69bilioni na bado tunahitaji tuzunguke na helcopter nchi nzima tucheki kina Cha maji mana kinapungua.
Bwawa la nyerere haliwezi kukamilika ili kuwe na umeme nafuu wakati inahitajika tutumie gesi Kuna perse ya wajanja wachache tuliotangulia kuiona dunia. Subirieni Kwanza mnyonywe mpaka mavi yaaishe.
Nchi kubwa hii Ina raslimali nyingi sema anayezi control hawazidi hata watano ama kumi.hebu waza aliyeleta suala la nchi Kama Ana akili nzuri ama Bora tungeishi kabla ya ukoloni.
Nani alikuambia mwanasiasa yupo kwa akili ya manufaa ya Taifa sio kukunyonya mpaka update akili.
Watu wanataka kuweka utajiri kizazi Chao millele wewe umelala. Utawala wa sultani seyyid said huko uarabuni mpaka saivi wanaeendelea kuwa matajiri so ndio target zetu.
Utaendelea kuwa mtumwa milele.
If you don't political affairs in your country you're doomed to be lunder embicile leaders.
Huyu Ni Plato alisema sio mie Sasa wewe ni Nani ukamzidi Plato mtizamo
 
Kuna mktaba hapa tumesaini na kampuni ya kihindi ya kutupatia software ya kufuatilia umeme unapokatika. Tumetumia Kama 69bilioni na bado tunahitaji tuzunguke na helcopter nchi nzima tucheki kina Cha maji mana kinapungua.
Bwawa la nyerere haliwezi kukamilika ili kuwe na umeme nafuu wakati inahitajika tutumie gesi Kuna perse ya wajanja wachache tuliotangulia kuiona dunia. Subirieni Kwanza mnyonywe mpaka mavi yaaishe.
Nchi kubwa hii Ina raslimali nyingi sema anayezi control hawazidi hata watano ama kumi.hebu waza aliyeleta suala la nchi Kama Ana akili nzuri ama Bora tungeishi kabla ya ukoloni.
Nani alikuambia mwanasiasa yupo kwa akili ya manufaa ya Taifa sio kukunyonya mpaka update akili.
Watu wanataka kuweka utajiri kizazi Chao millele wewe umelala. Utawala wa sultani seyyid said huko uarabuni mpaka saivi wanaeendelea kuwa matajiri so ndio target zetu.
Utaendelea kuwa mtumwa milele.
If you don't political affairs in your country you're doomed to be lunder embicile leaders.
Huyu Ni Plato alisema sio mie Sasa wewe ni Nani ukamzidi Plato mtizamo
Kazi kwelikweli
 
Kuna mktaba hapa tumesaini na kampuni ya kihindi ya kutupatia software ya kufuatilia umeme unapokatika. Tumetumia Kama 69bilioni na bado tunahitaji tuzunguke na helcopter nchi nzima tucheki kina Cha maji mana kinapungua.
Bwawa la nyerere haliwezi kukamilika ili kuwe na umeme nafuu wakati inahitajika tutumie gesi Kuna perse ya wajanja wachache tuliotangulia kuiona dunia. Subirieni Kwanza mnyonywe mpaka mavi yaaishe.
Nchi kubwa hii Ina raslimali nyingi sema anayezi control hawazidi hata watano ama kumi.hebu waza aliyeleta suala la nchi Kama Ana akili nzuri ama Bora tungeishi kabla ya ukoloni.
Nani alikuambia mwanasiasa yupo kwa akili ya manufaa ya Taifa sio kukunyonya mpaka update akili.
Watu wanataka kuweka utajiri kizazi Chao millele wewe umelala. Utawala wa sultani seyyid said huko uarabuni mpaka saivi wanaeendelea kuwa matajiri so ndio target zetu.
Utaendelea kuwa mtumwa milele.
If you don't political affairs in your country you're doomed to be lunder embicile leaders.
Huyu Ni Plato alisema sio mie Sasa wewe ni Nani ukamzidi Plato mtizamo
 
Historia ya mji wa kigamboni ilikuwa shamba, kama ilivyokuwa mbezi beach na maeneo mengine yaliyokuwa pembezoni mwa mzizima (dar)
Mawazo ya kuleta kivuko pale kigamboni yalilenga tiba ya dharula kwa wakati huo teknolojia ilikuwa haijasambaa duniani!

Hivyo matumizi ya kivuko siyo usafili wa kudumu pale kigamboni bali ni kama ARV ya kujipanga kutatua tatizo enzi hizo!

Wangapi mmewahi kujiuliza hatima ya kivuko itakoma lini? Wangapi mmewahi kuwaza hadi kitokee nini ndipo tubadili mtizamo wa ARV kivuko?

Nchi yetu siyo changa, inaweza kubadili mtizamo huu sasa, Naomba serikali iwaoondolee mzigo wa kutumia ARV kivuko kila siku wadau wa vivuko pale kigamboni.

Uwepo wa daraja la mwalimu nyerere kule kurasini hautoshi kuondoa tatizo pale kivukoni! (Pale kivukoni ni njia fupi hivyo lazima suluhisho la kudumu lipatikane palepale)

Ebu kila mmoja atafakali, ulishaonea wapi chombo kinachofanya kazi saa 24 kila siku (January hadi December) kikaondoa tatizo la kudumu?
Kama binadamu tu huhitaji kupumzika, je hivi vivuko mapumziko yake ni lini?

Tunaweza kuwalaumu Temesa kwa huduma mbovu lakini ni nani anaeweza kuvaa nguo moja kila siku na asibaki mtupu wakati nguo ikiwa imekwisha au kufuliwa?

Utupu wa temesa pale kivukoni unaweza kuleta maafa makubwa siku moja na dunia nzima ikasikitika kwa kushindwa kuamua sasa!
Ukiachana na hatari ya kivuko kuzama, hata ile kuwarundika abiria kwenye banda ni hatari kubwa mno (Mungu aepushie mbali!) Yale Mabanda ya abiria yapo karibu sana na maisha mengine ya kijamii ambapo mtu anaweza kurusha chochote hatari kwa mkono na kikafika, hata hizo bar maeneo ya kivuko hazikustahili kuwepo pale kubana nafasi!

Najua afrika hatujui kubadili paa la nyumba hadi nyumba nzima iungue moto!

Lakini tukumbuke pesa pasipo usalama wa wananchi haina maana!
NINI KIFANYIKE?
Ni muda muafaka pale kivukoni kigamboni tujenge daraja la chini ya maji kama ninavyoshauri kwenye mchoro huu hapa chini!

Gharama yake inaweza ikawa kati ya billion 280 hadi 350 kulingana na design ya wizara!

Design ya kwanza ya Barabara inaweza kuanzia pale maeneo ya hoteli ya kempiski na barabara ikaaambaaa na kingo ya fukwe ya bahari kuelekea chini ya bahari na kuibukia kigamboni minazi mikinda katika njia iliyonyooka!
AU
Design ya pili ni spiral way inajengwa pale ilipo stendi ya mwendokasi kivukoni, panakuwa na barabara ya mzunguko (spiral) kuelekea chini halafu then inanyoosha chini ya bahari hadi kigamboni ambako itaibuka na kunganishwa na barabara zingine!

Stendi ya mwendo kasi pale magogoni inakufa itabaki kituo kidogo cha kushusha na stend itahamishiwa kigamboni

Wakati wa mradi madadala yataishia posta ya zamani, na vivuko vitabeba abiria wa miguu tu ambao watashuka palepale kwenye gati na kutembea sambamba na bahari hadi maeneo ya hotel ya kimpisk ilipo au watashushwa posta ya zamani kwa kujengwa gati la muda!

Faida ya mradi!
1. Tutakuwa tumetatua tatizo la kudumu
2. Usalama wa watu ni mkubwa
3. Tutakuwa tumezalisha mji mwingine kama masaki au pengine kama ilivyo dubai
4. Uwekezaji, ofisi na hoteli za kitalii zitajengwa kigamboni n.k
5. Gharama za ukarabati ni rahisi zaidi kuliko ilivyo daraja la juu ya maji
6. Ni salama na rahisi kutumia
7. Pantoni zinaweza kugeuzwa kuwa boti za utalii

VIONGOZI MNAWEZA HILI, AMUENI SASA
View attachment 2250307
Mkimalizana na hapo Kigamboni, tunataka daraja kwenda Zanzibar. Tunawaachia muamue lipite chini ya maji au juu ya maji, kazi kwenu.
 
Hiyo itakuwa gharama sana na issue ni ndogo sana. Pale inachapwa flyover moja simple tu ya line nane. Story inaisha. Hiyo spiral ni gharama sana halafu kipande chenyewe cha maji kina upana mfupi hauzidi hata kilometers 2.
 
Back
Top Bottom