Tukidhani ni Binadamu wenzetu, kumbe ni mashetani! Mtu unaombeaje mwenzako afe kwa Corona? Can't believe this wickedness! Huu sio utu, ni ushetani!

Tukidhani ni Binadamu wenzetu, kumbe ni mashetani! Mtu unaombeaje mwenzako afe kwa Corona? Can't believe this wickedness! Huu sio utu, ni ushetani!

Mkuu P. heshima kwako? Umeshajiuliza swali kwanini mambo hayo yanatokea sasa sio miaka ya nyuma?

Inawezekana mimi na wewe tunawaombea pia wenzetu wafe lakini hatujijui tu. Kama sijakosea kuombea maanake, kutaka/ tamani/wish someone die. Hii inaweza kuwa kwa kutamka, andika, mawazo au kutotekeleza wajibu wako ambao utahatarisha au wafanya watu wafe.

Wewe ni mkristo, kiimani unaweza tenda dhambi kwa kukusudia au kutokukusudi. Je, mfamo wewe kwa kutoelewa ukipinga post humu kwa kutokukusudia au elewa siutakuwa umewatakia walengwa wafe?

Je, wenye mamlaka ambao walitakiwa wachukue hatua kunusulu maisha ya wananchi mfano Cotona hawa hawawatakii wananchi kifo?

Je, anaetamka namwombea fulani afe kwa sababu hajanunua ventilator na yule mwenye mamlaka wa kununua Ventilator then hanunui yupi hasa anaemwombea mwezake afe?

Wakati mwingine sisi wananchi masikini tunaombea wenye mamlaka wafe kwa maandishi au kusema kwa hasira tu tena kwa kugafirika tu lakini wenye mamlaka wao hawaombei tu ila wanaua wananchi intentionally kwa kutochukua hatua ambazo ziko ndani ya uwezo wao. Mungu ibariki Afrika, Mungu ibariki Tanzania.
 
Hahahaha umeandika kwa kirefu sana but Kuna Watu wanakera sana!! Hasa CCM to be specific! Unakumbuka issue ya akina Halima Mdee na Esther Bulaya? Unakumbuka zile kebehi? It pains na kama kweli kama hao watu wapo basi CCM ndio waasisi wa hayo mambo na wanavuna walichokipanda KARMA
Wapo watu on record wametamka bungeni na kushangiliwa eti zitto apotezwe. Pasikali amesahau hili.
 
Hahahaha umeandika kwa kirefu sana but Kuna Watu wanakera sana!! Hasa CCM to be specific! Unakumbuka issue ya akina Halima Mdee na Esther Bulaya? Unakumbuka zile kebehi? It pains na kama kweli kama hao watu wapo basi CCM ndio waasisi wa hayo mambo na wanavuna walichokipanda KARMA
Huyu paskali hayuko sawa kabisa seriously.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuna standard discipline za kuendesha nchi kama Rais.

Discipline ambazo Unahisi wewe mwenyewe ndo unazifahamu. Wengine wote kuanzia mahakama, Jeshi n.k hawazijui ila wewe peke yako mtumiaji wa JF ndo unazijua?

Sasa kama hazifuati hizo discipline si mkashtaki? Hizo discipline zinapatkana ibara ya ngapi?
 
Ndugu Pascal Mayalla
Biblia inasema hivi;

Wagalatia 6:7
"Msidanganyike,Mungu hadhihakiwi;kwa kuwa chochote apandacho mtu,ndicho atakachovuna"

2 Wakorintho 9:6

"Lakini nasema neno hili,Apandaye haba atavuna haba;apandaye kwa ukarimu atavuna kwa ukarimu"

Ukiona mtu anavuna chuki,ujue
alipanda chuki.
Ukiona mtu anavuna unafki ujue
alipanda unafki.
Mungu mwenyewe atusaidie!!
 
Vyama Pinzani ndo wana tabia hiyo.

Kuna kile kipindi TBC ilisemekana wamepata Corona yaaani watu walikuwa wanashabikia kabisa oooh wakome, wajifunze maneno kibao, tena wakasema bora wapate maana ake Lissu alivyopigwa risasi TBC hawakuripoti.

Kinachoshangaza zaidi mtu anayesema hivyo nae anaenda kwa nyumba ya ibada au kabla ya kuingia kitandani anasali. Pathetic.
Uongo mbaya mimi kuna watu nawaombea korona hata kama korona imianza na mimi ila nitakuwa nachekelea nikisikia wakifukiwa

Tanzania lazima iwe huru kutoka katika makucha ya Watu wenye roho mbaya
 
Hakuna nini walla nini adui muombee kifo hata kama ni cha Corona, vaa viatu vya mzazi wa ben saa8 au Tundu Lissu na tena vikutoshe nadhan apo ndiyo utajua namaanisha nini, yaani nyie kuutua sisi mnaoji ona mpo sawa kabisa lakini sisi kuwaombea mabaya mna ng'aka, aloooo.
 
Karma ichukue mkondo wake

😂😂 Unaamini kwenye Karma? Sasa kama ndo hivo mbona ccm ingekuwa ishatoka madarakani mda mrefu Sana kama ndo hivo. Yaani Hii nchi ingekuwa inaendeshwa na Chama kingine kabisa.

Mkuu mwanaccm akipata Corona hata wewe wa upinzani hauko Salama. Kwani hao mboga mboga wanasehemu Yao kwamba wamejitenga hivyo wataambukizana wenyewe tu.

Corona Haichagui Chama. Anapata Yoyote. Sasa kama mtu yeyote ni Vulnerable I don't understand Kwanini unashabikia ccm apate alafu Wewe unajiona uko Salama.
 
Mimi ni sociopath and psychopath wala sihitaji unafiki. Ni kweli nina list ya watu ninaowaombea wapate Corona tena ile strain ambayo ni severe. Hata kama maombi ni unscientific na wanaweza wasipate lakini wazo tu kwamba wanaweza kupata linanipa matumaini makubwa.


Comment nzuri sana hii..strong one! One love!
 
Mbona unawaogopa kuwataja Chadema kuwa Ndio wapo mstari wa mbele kuombea Tanzania mabaya?

Itakuwa ni maajabu Rais Magufuli akiwasiliza Chadema, nakuomba Rais Magufuli kaa mbali na Chadema
 
Back
Top Bottom