Tukidhani ni Binadamu wenzetu, kumbe ni mashetani! Mtu unaombeaje mwenzako afe kwa Corona? Can't believe this wickedness! Huu sio utu, ni ushetani!

Tukidhani ni Binadamu wenzetu, kumbe ni mashetani! Mtu unaombeaje mwenzako afe kwa Corona? Can't believe this wickedness! Huu sio utu, ni ushetani!

Acha hao wanaoombea, hao ni cha mtoto, hao inaonyesha ni wanyonge na hawana cha kufanya hivyo wamebaki wakitegemea maombi tu. Kuna wanao kaa vikao kujadili nani apelekwe gerezani? lini? kwa kesi gani? kisha unapewa kesi. Mbaya zaidi hujadili nani afe? na afe lini? na namna gani? halafu wanakwenda kuua wenyewe.
pasco, hiki ndo kiini cha tatizo. Mtu anapigwa risasi na wanao mwombea apone wanazuiwa!, unategemea nini kutoka upande wa pili??. Ndo reaction zao hizo. They can't retaliate violently kwani hawana nyenzo. Pasco bwana utadhani kaja leo Tz.
 
Acha hao wanaoombea, hao ni cha mtoto, hao inaonyesha ni wanyonge na hawana cha kufanya hivyo wamebaki wakitegemea maombi tu. Kuna wanao kaa vikao kujadili nani apelekwe gerezani? lini? kwa kesi gani? kisha unapewa kesi. Mbaya zaidi hujadili nani afe? na afe lini? na namna gani? halafu wanakwenda kuua wenyewe.
Hata wale wa kuwabambikia kuwapiga risasi kuwapora ushindi wapinzani kwa njia haramu ni wabaya zaidi vipi Paskal mayala hajawaona ?au wale walitangaza corona ni kagonjwa kadogo hajawaona?
 
Pascal Mayalla,
Ukilianza wengine wanamalizia, Kama kiongozi anacheka mtoto wa mwenyekiti wa chama pinzani kupata corona we ulitegemea nini?

Watu wengine wanahisi labda huenda watu wa karibu wa viongozi likiwapata ndipo watajua ukubwa wa hili tatizo, unajua huwezi hisi uchungu wa msiba mpaka ufiwe.

Ila tusiombeane kifo tafadhari
 
Kila siku nacomment humu misukule ina furahia watu kufa Tena inaomba mungu kabisa watu wafe walivyo na roho za kichawi wanalalamika watu wanaokufa ni kidogo itajwe idadi ya kubwa mmeamini Sasa kuwa ni wachawi wakubwa Hawa na nasema Tena chadema ni janga zaidi ya Corona hiki ni kizazi Cha nyoka
Yani mnapingana ni vitu vilivyo obvious, siyo kwamba watu wanaombea watu wafe ila wanachotaka ni namba halisi iwekwe wazi watu waache kuaminishwa ujinga kuwa ni mafua ya kawaida. Ukijua ukweli utachukua hatua thabiti kuliko kutojua ukweli.
Ukijua mpenzi wako malaya hata ukitaka jamiananaye utavaa kinga ...
 
Tundu lissu ni nani Tanzania ? Watu wamefia vitani wakiitetea Tanzania Wewe unatuletea habari za lissu

Endeleeni kumdekeza huko ughaibuni kwa kumtumia kodi za Watanzania
Mlimtibu Tundu Lissu?
Mliufungia nje ya mipaka yetu ugonjwa wa korona usiingie nchini kwetu ili tusife?

You are killing us in return we just WISH YOU DEAD FROM YOUR OWN AMUNITIONS.
 
Mkuu Mayalla, kwanza pole kwa kuwa listed kwenye Jambo Hilo la hovyo. Kumbuka wapo waliosema wanatamani Corona iingie Tanzania(kipindi hicho ilikua bado), pili wamekua wakizurura kwenye majukwaa wakisema Serikali inatangaza idadi chache ya vifo na maambukizi ( as if kuna award tutakosa, au huu ni mpira wa miguu watu wanahitaji kujua matokeo).

Nikutoe hofu kwa mujibu wa imani yangu "halimpati mja lisilokua katika kadari yake".

Na ukiona hivyo zipo qualities zako ambazo hawana uwezo wa kuzifikia au kukunyang'anya na substitution yake huwa ni chuki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani mnapingana ni vitu vilivyo obvious, siyo kwamba watu wanaombea watu wafe ila wanachotaka ni namba halisi iwekwe wazi watu waache kuaminishwa ujinga kuwa ni mafua ya kawaida. Ukijua ukweli utachukua hatua thabiti kuliko kutojua ukweli.
Ukijua mpenzi wako malaya hata ukitaka jamiananaye utavaa kinga ...
Paskal mayala kawasema CCM kijanja kawambia CCM kuficha taarifa kupunguza idadi ya wanaokufa ni sawa na kuombea watu wafe kwa Corona kitu ambacho ni kweli, CCM wakijua Paskal kawasema wao cha moto atakiona
 
Uongo mbaya mimi kuna watu nawaombea korona hata kama korona imianza na mimi ila nitakuwa nachekelea nikisikia wakifukiwa

Tanzania lazima iwe huru kutoka katika makucha ya Watu wenye roho mbaya

😂😂 Bongo bhana. Keyboard warriors.

Na that mentality mnahisi hata mkipata power kutakuwa na change? The answer is no. Why? Coz unapita Mulemule adui yako alikopita.

Hao wenye roho Mbaya unaowasema walianza kama wewe kuanza kuwaombea wenzao mabaya in the name of revenge and mob psychology.Kwani Mchawi anaanzaje si hivo hivo.

Kama mnajiandaa Kuchukuwa nchi msiact Kama mboga mboga.
 
Pascal Mayalla,
Mkuu, unaweza kuwa umeangazia upande mmoja kufikia hukumu hiyo.

Ili kufikia hukumu ya haki ni muhimu sana kuangazia pande zote mbili yaani upande wa mlalamikaji na mlalamikiwa. Huu ndiyo ustaarabu na ndivyo inavyokuwa mahakamani.

Pita kwenye uzi huu:

Mwanahamisi ‘Mishy’ Singano: Kilio changu kwako Rais Magufuli - JamiiForums

Pia kwenye mabandiko yenye machungu mazito yaliyosababishiwa watu kwa makusudi hata kwa kupangwa tu - kujiridhisha kuwa kweli wickedness, kukosa utu na ushetani viko wapi.
 
Acha hao wanaoombea, hao ni cha mtoto, hao inaonyesha ni wanyonge na hawana cha kufanya hivyo wamebaki wakitegemea maombi tu. Kuna wanao kaa vikao kujadili nani apelekwe gerezani? lini? kwa kesi gani? kisha unapewa kesi. Mbaya zaidi hujadili nani afe? na afe lini? na namna gani? halafu wanakwenda kuua wenyewe.
Umemaliza kila kitu mkuu, nilitaka na mm kumjibu bt umemaliza,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom