DuuuAcha hao wanaoombea, hao ni cha mtoto, hao inaonyesha ni wanyonge na hawana cha kufanya hivyo wamebaki wakitegemea maombi tu. Kuna wanao kaa vikao kujadili nani afe na afe lini na namna gani, halafu wanakwenda kuua wenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app