Wachungaji na mapadre mbona wengi tu wana miradi binafsi ya biasharaWewe ulishasikia hayo makanisa yanayofanya hivyo mchungaji au padre kajenga hotel ya nyota tatu au ana walinzi binafsi hao unaowatetea wanafanya kwa manufaa yao wala sio jamii iliyowazunguka.
Ananua kwa bei ndogo anauza kwa bei ya juu,hiyo faida anayopata ndiyo ikatwe kodi, simple!!!!hivi kwani yeye anachukua bure kiwandani
Mimi nimemuuliza,ina maana Jimbo la Arusha liko juu ya TEC? Maqna anavyoelezea utadhani Jimbo la Arusha lina utaratibu wake tofauti kabisa na Majimbo mengine yote Tanzania yaliyo chini ya TECArusha ingependeza ungetaja hilo kanisa linalofanya hivyo, lakini kutaja mkoa mzima kwa ujumla, kama jimbo, naamini unakosea, kwasababu sina hakika kama hayo maamuzi yalikuwa makubaliano yaliyohusisha makanisa yote ya jimbo husika..
Kama ndivyo, unamaanisha jimbo la Arusha lina uwezo wa kujiamulia mambo yake lenyewe, tofauti na majimbo mengine, kitu ambacho sikubaliani nacho.
Mvinyo unauzwa kama kawaida,mzee wangu huwa anaenda kununua Lita 5 anakaa nayoMvinyo sijui, ila hivyo vingine unanunua
Ambayo wanalipa kodi za Serikali.Wachungaji na mapadre mbona wengi tu wana miradi binafsi ya biashara
Je mafuta na chumvi ? Na yenyewe ana kiwanda cha kutengeneza ambacho kinalipa kodi?Wew una uhakika kuwa kiwanda hicho hakilipi Kodi au nabwabwaja tuu maneno?
Hapa hakiongelewi kiwanda kinacho jadiliwa ni Yale maji yakisha fika kanisani baada ya kuwa yamesha lipiwa Kodi kiwandani ndipo watu wanataka waumini wakiyachukua Kodi ilipwe tena.
Ni sawa na wew muumini umeamua kupeleka vitu vyako kanisani ili vinadiwe kwajili ya kusaidia huduma halafu anatokea kibwetele fulani anataka ulipe Kodi baaada ya mnada.
Nakubali mapadre na wachungaji wako wenye miradi binafsi ya biashara tuje sasa kwenye mitaji ya hizo biashara zao wamepata toka wapi? Chanzo cha mitaji yao nini? Tuanze na Mapadre katoliki wenye miradi binafsi ya biashara tena wanazolipia kodi mitaji ya hiyo miradi pesa walipatia wapi?Ambayo wanalipa kodi za Serikali.
Sijawahi kuona Kanisa kwa maana ya Parokia or Jimbo likisema waumini mtatoa kila mmoja mfano laki 3 kwa mwaka.Wewe unachanganya na kupangiwa na Jumuiya unasema ni Parokia/Jimbo.Upo sahihi sana. Catholic Church imetengeneza mfumo wake wakupata pesa na Mwamposa naye anatengeneza mfumo wake. Wote ni walewale tu.
Kuna dada mmoja alifika hapa kwangu (Arusha) anaomba nimsaidie mchango anadaiwa kanisani (catholic). Nilimuuliza how much? Akaniambia kiasi alichopangiwa ni karibu laki tatu hivi, na document ya church alinionyesha. Nikasema well nimpatie kiasi, lakini nikajiuliza hii si biashara hii? Huyu dada masikini atapata wapi hii pesa? Si atakuwa anasumbua watu wamchangie?
Jambo lakushangaza yeye mwenyewe anatetea kiasi alichopangiwa nakanisa, ambacho hana.
Mwisho tunarudi palepale Catholics na mwamposa wote macho yao ni kwenye fedha. Kila mtu anatumi mbinu zake.
Eti kisa yana lebo yake ndiyo amekuwa na Kiwanda.Kumbe ni Order tu anapeleka pale Hill water wanampakia maji na lebo zake.Asilimia kubwa ya maji anayotumia Mwamposa kwenye mambo yake kiimani ni ya Hill Water, na hicho kiwanda kipo Mapinga, Bagamoyo..
Wewe kama unajua hicho kiwanda chake, weka hapa jina lake, maji anayotengeneza yanaitwaje, na wapi hicho kiwanda kilipo?
Kwenye makanisa mengine hukuti wakiuza ila Mwamposa&Co wao wanauza nje nje yale maji ya Hill 1ltr anauza Tsh 5,000/= wakati dukani kwa mangi unayapata 500/=.SASA NIAMBIENI MODALITIES YA HIYO SHERIA ITAKAAJE KIASI KWAMBA ITAMKAMATA MWAMPOSA IACHE SADAKA ZA KAWAIDA KANISANI na Msikitini
Mishahara yaoNakubali mapadre na wachungaji wako wenye miradi binafsi ya biashara tuje sasa kwenye mitaji ya hizo biashara zao wamepata toka wapi? Chanzo cha mitaji yao nini? Tuanze na Mapadre katoliki wenye miradi binafsi ya biashara tena wanazolipia kodi mitaji ya hiyo miradi pesa walipatia wapi?
kwakweli tutaendelea kupaza sauti hadi manabii,mitume,makuhani na wainjilisti matapeli watokomed au wajirekebishe na walipe kodi.Kafungue na wewe uuze na utoe kodi kama ni rahisi. Kuwa weka watu na kuwa na furaha ya moyon ni zaid ya kodi
Ningekutaka uthibitishe ila tutaamsha malumbano yasiyo na maana sababu usingeweza kuthibitisha hayaUpo sahihi sana. Catholic Church imetengeneza mfumo wake wakupata pesa na Mwamposa naye anatengeneza mfumo wake. Wote ni walewale tu.
Kuna dada mmoja alifika hapa kwangu (Arusha) anaomba nimsaidie mchango anadaiwa kanisani (catholic). Nilimuuliza how much? Akaniambia kiasi alichopangiwa ni karibu laki tatu hivi, na document ya church alinionyesha. Nikasema well nimpatie kiasi, lakini nikajiuliza hii si biashara hii? Huyu dada masikini atapata wapi hii pesa? Si atakuwa anasumbua watu wamchangie?
Jambo lakushangaza yeye mwenyewe anatetea kiasi alichopangiwa nakanisa, ambacho hana.
Mwisho tunarudi palepale Catholics na mwamposa wote macho yao ni kwenye fedha. Kila mtu anatumi mbinu zake.
Ulipaswa kwanza kuelewa tulianzia wapi na niliyekuwa namjibu,usingekuja na hili swali maana hata siwezi kujibu kwakuwa umerukia kati kati.Mkuu kwani ni lazima kila dhehebu lifuate sheria za Wakatoliki?
Mkuu hayo Maji ananunua kwa bei ya jumla hata Lori Zima linaagizwa so sheria itake hao wanaofanya bulk purchase for resale value walipie kodi kama retailer mwingine yoyote.Kodi inatozwa kwenye mapato ya:
1. Business
3. Employment
3. Investment
Sasa tukija kwenye tafsiri business income as per Income Tax Act (ITA) unakuta akina mwamposa and co, wako nje ya wigo wa hiyo tafsiri ( out of scope)
Kodi haitozwi kwa hisia...Kodi inatozwa kwa sheria ambazo ziko challenged mpaka kwenye court of appeals kama kuna mzozo.
Sasa wakati wa utunzi na utafsiri wa sheria ya Kodi words must strictly construed and clearly stated.nje ya hapo hiyo sheria haitafanya kazi.
SASA NIAMBIENI MODALITIES YA HIYO SHERIA ITAKAAJE KIASI KWAMBA ITAMKAMATA MWAMPOSA IACHE SADAKA ZA KAWAIDA KANISANI na Msikitini
Unadhani wafanyakazi wanalipwa na nini?. Channel za Tv Kama azam, chan. Ten, radio mpaka mikoa mbali mbali wanatakiwa walipwe. Na anajaribu kutafuta fedha ili kulipia gharama zote za uendeshaji. Siku moja alisema kwa azam wanalipia milion 22 kwa mwezi au zaidi.Wacheni kupotosha ili kumlinda huyo jamaa yenu.
Makanisa hufanya harambee kwa kuuza vitu kwa lengo la kupata pesa zitakazotumika kwa shughuli fulani hapo kanisani, kama ujenzi, ukarabati wa jengo, hakuna harambee inayofanywa bila sababu.
Kwa mantiki hiyo, sasa hebu tuambie, Mwamposa akiuza maji na mafuta, hizo pesa huwa anazipeleka wapi?na kufanyia kitu gani?
Nani alikuuzia mvinyo Kanisani?Rozali,misalaba,mvinyo vinagawiwa bure?
Mbona makumbi ya disco wanalipa Kodi.Kafungue na wewe uuze na utoe kodi kama ni rahisi. Kuwa weka watu na kuwa na furaha ya moyon ni zaid ya kodi
Alter wine inatengenezwa Dodoma na huwa inapelekwa moja kwa moja Majimboni na Parokia zote wanakwenda kuchukulia pale Jimboni.Sasa hiyo ya kuuziwa 5lts nani anamuuzia? Pale Jimboni au Parokiani?Mvinyo unauzwa kama kawaida,mzee wangu huwa anaenda kununua Lita 5 anakaa nayo