Tukifuata dhana ya profesa leo hii Rais Samia angeenda Uganda na ndege ya mkopo

Tukifuata dhana ya profesa leo hii Rais Samia angeenda Uganda na ndege ya mkopo

Katika uislamu mkopo si jambo la heri.
Leo hii namuangalia Mhe. Rais Samia akitua Entebbe na Ndege yetu iliyonunuliwa kwa Cash hivi ingekuwaje kama angesafiri na ndege ya mkopo ambayo inaweza kuzuiliwa Airport na wadai??

Tutafakari
Unaelewa hata Marekani ndege zilipoanzia Rais anasafiri kwa ndege ya serikali Air Firce One lakini serikali ya Marekani haina Shirika la Usafiri wa Ndege la serikali?

Unaelewa kwamba kuendesha nchi leo kwa kuangalia Quran imesema nini ni ujima, unaelewa dunia ya leo imeendelea sana kupita habari za Quran, unaelewa hilo?

Unaelewa Wafalme wa huko Saudi Arabia na vijukuu vya mtume wa huko ilikoanzia Quran wanafanya biashara kubwa za kukopa, wana hisa kwenye mabenki makubwa ya dunia, wewe Mndengereko ambaye hata kuisoma Quran huwezi unakuja kutunadia Quran hapa?
 
Nimesoma kichwa cha taarifa nikaona haujatumia kichwa chako kuwaza vizuri
 
Katika uislamu mkopo si jambo la heri.
Leo hii namuangalia Mhe. Rais Samia akitua Entebbe na Ndege yetu iliyonunuliwa kwa Cash hivi ingekuwaje kama angesafiri na ndege ya mkopo ambayo inaweza kuzuiliwa Airport na wadai??

Tutafakari
Tanzania si kuna ndege rasmi ya rais? Si lazima rais atumie ndege ya ATCL.
 
Katika uislamu mkopo si jambo la heri.
Leo hii namuangalia Mhe. Rais Samia akitua Entebbe na Ndege yetu iliyonunuliwa kwa Cash hivi ingekuwaje kama angesafiri na ndege ya mkopo ambayo inaweza kuzuiliwa Airport na wadai??

Tutafakari
Kwani Mheshimiwa Rais angekwenda na ndege ya kukodi asingefika Uganda? Ndege ya Wagonjwa ya Regional Air iliyompeleka Magufuli Nairobi Hospital na kurudi ilikuwa ya ATCL? MaCCM Masukuma yanasahau Mramba alitulisha Watanzania majani kununua ndege ya Rais, hiyo ndege iko wapi mpaka Rais anasafiri na madege ya Mwendazake? Kwani kati ya Dar es Salaam na Kampala hakuna ndege za abiria zenye Daraja la Kwanza analostahili?
 
Katika uislamu mkopo si jambo la heri.
Leo hii namuangalia Mhe. Rais Samia akitua Entebbe na Ndege yetu iliyonunuliwa kwa Cash hivi ingekuwaje kama angesafiri na ndege ya mkopo ambayo inaweza kuzuiliwa Airport na wadai??

Tutafakari
Kwa nini ndege ya mkopo izuiliwe airport ilhali uko up to date na malipo ya mkopo? Mbona jamani mnakuja hapo na mijadala hata haiingii akilini saw sawa?
 
Katika uislamu mkopo si jambo la heri.
Leo hii namuangalia Mhe. Rais Samia akitua Entebbe na Ndege yetu iliyonunuliwa kwa Cash hivi ingekuwaje kama angesafiri na ndege ya mkopo ambayo inaweza kuzuiliwa Airport na wadai??

Tutafakari
Punguza ujinga kidogo mkuu. Prf. Hajasema ukope kwa masharti ya kukamatwa ndege.kasema inakopa na kulipa taratibu mpaka u.alize kwakuwa ni project ya muda mrefu. Sasa mbona haziendi ulaya?
 
Katika uislamu mkopo si jambo la heri.
Leo hii namuangalia Mhe. Rais Samia akitua Entebbe na Ndege yetu iliyonunuliwa kwa Cash hivi ingekuwaje kama angesafiri na ndege ya mkopo ambayo inaweza kuzuiliwa Airport na wadai??

Tutafakari
Jiwe aliwaweke kwapwani nyie mijitu,hujui kwamba kuna ndege ya Rais executive kuliko hyo midude ya Magu.Mifuas yote ya jiwe ni viazi mbatata
 
Katika uislamu mkopo si jambo la heri.
Leo hii namuangalia Mhe. Rais Samia akitua Entebbe na Ndege yetu iliyonunuliwa kwa Cash hivi ingekuwaje kama angesafiri na ndege ya mkopo ambayo inaweza kuzuiliwa Airport na wadai??

Tutafakari
By the way,kwa hyo ww bwege unaujua zaidi Uislam kuliko Assad na wengine?
 
Katika uislamu mkopo si jambo la heri.
Leo hii namuangalia Mhe. Rais Samia akitua Entebbe na Ndege yetu iliyonunuliwa kwa Cash hivi ingekuwaje kama angesafiri na ndege ya mkopo ambayo inaweza kuzuiliwa Airport
 
Katika uislamu mkopo si jambo la heri.
Leo hii namuangalia Mhe. Rais Samia akitua Entebbe na Ndege yetu iliyonunuliwa kwa Cash hivi ingekuwaje kama angesafiri na ndege ya mkopo ambayo inaweza kuzuiliwa Airport na wadai??

Tutafakari

Utopolo
 
Katika uislamu mkopo si jambo la heri.
Leo hii namuangalia Mhe. Rais Samia akitua Entebbe na Ndege yetu iliyonunuliwa kwa Cash hivi ingekuwaje kama angesafiri na ndege ya mkopo ambayo inaweza kuzuiliwa Airport na wadai??

Tutafakari
Kama hujui ni bora ukae kimya tu si vizuri kuonyesha ignorance yako public,hujui hata tofauti ya ndege ya Rais na ndege za biashara!?
 
Katika uislamu mkopo si jambo la heri.
Leo hii namuangalia Mhe. Rais Samia akitua Entebbe na Ndege yetu iliyonunuliwa kwa Cash hivi ingekuwaje kama angesafiri na ndege ya mkopo ambayo inaweza kuzuiliwa Airport na wadai??

Tutafakari
Tena ameongea Prof.na kisingida usoni
 
Katika uislamu mkopo si jambo la heri.
Leo hii namuangalia Mhe. Rais Samia akitua Entebbe na Ndege yetu iliyonunuliwa kwa Cash hivi ingekuwaje kama angesafiri na ndege ya mkopo ambayo inaweza kuzuiliwa Airport na wadai??

Tutafakari
Ndugu bora usichanganje dini na siasa. Ni nani alokwambia mkopo sio jambo la heri katika uislamu? Kama mkopo sio jambo la heri kwa nini yamewekwa bayana masharti ya kukopa na kukopesha katika Quran na hadithi za mtume?

Tahadhari usije kesho ukaja hapa ukamsema Rais Samia kwa nini anapokea mikono ya wanaume anapowasalimu.
 
Back
Top Bottom