Tukifuata dhana ya profesa leo hii Rais Samia angeenda Uganda na ndege ya mkopo

Tukifuata dhana ya profesa leo hii Rais Samia angeenda Uganda na ndege ya mkopo

Katika uislamu mkopo si jambo la heri.
Leo hii namuangalia Mhe. Rais Samia akitua Entebbe na Ndege yetu iliyonunuliwa kwa Cash hivi ingekuwaje kama angesafiri na ndege ya mkopo ambayo inaweza kuzuiliwa Airport na wadai??

Tutafakari
Muislamu anashadadia riba hatwari na ni mtihani pia!
 
Katika uislamu mkopo si jambo la heri.
Leo hii namuangalia Mhe. Rais Samia akitua Entebbe na Ndege yetu iliyonunuliwa kwa Cash hivi ingekuwaje kama angesafiri na ndege ya mkopo ambayo inaweza kuzuiliwa Airport na wadai??

Tutafakari
Kwani ndege ya raisi ilikufaga au...mkopo tutakopa za kibiashara sio binafsi ya ikulu hyo tutalipa
 
Katika uislamu mkopo si jambo la heri.
Leo hii namuangalia Mhe. Rais Samia akitua Entebbe na Ndege yetu iliyonunuliwa kwa Cash hivi ingekuwaje kama angesafiri na ndege ya mkopo ambayo inaweza kuzuiliwa Airport na wadai??

Tutafakari

Tanzania Raisi ana ndege sita Nyerere aliacha mbili Mkapa akaongeza tatu Mkwere moja Magufuli akatoa mbili Kwa ATCL zikabaki nne
 
Katika uislamu mkopo si jambo la heri.
Leo hii namuangalia Mhe. Rais Samia akitua Entebbe na Ndege yetu iliyonunuliwa kwa Cash hivi ingekuwaje kama angesafiri na ndege ya mkopo ambayo inaweza kuzuiliwa Airport na wadai??

Tutafakari
Angesafiri na ile ndege ya raisi iliyonunuliwa wakati wa Mkapa. Au ulikuwa bado mtoto mdogo wakati inanunuliwa?
 
Naona airbus tangu zimeingia JPM alipenda kuzitumia hizi naona Mama nae anaendelea kuzitumia inawezekana hawataki kutumia zile za kizamani hasa hiyo yenye maadishi ya Dodoma hapa kazi tu inapendwa kwelikweli
 
  • Thanks
Reactions: Uda
Katika uislamu mkopo si jambo la heri.
Leo hii namuangalia Mhe. Rais Samia akitua Entebbe na Ndege yetu iliyonunuliwa kwa Cash hivi ingekuwaje kama angesafiri na ndege ya mkopo ambayo inaweza kuzuiliwa Airport na wadai??

Tutafakari
Wewe zwazwa ndege ya rais ilishanunuliwa tokea kipindi cha mkapa.....njoo na hoja mfu nyingine kuhalalisha upigaji kwenye hiyo midori yenu...
 
Wewe zwazwa ndege ya rais ilishanunuliwa tokea kipindi cha mkapa.....njoo na hoja mfu nyingine kuhalalisha upigaji kwenye hiyo midori yenu...
unaijua ndege iliyonunuliwa kipindi hiko au unajishebedua tu.zwazwa ×2 wewe
 
Katika uislamu mkopo si jambo la heri.
Leo hii namuangalia Mhe. Rais Samia akitua Entebbe na Ndege yetu iliyonunuliwa kwa Cash hivi ingekuwaje kama angesafiri na ndege ya mkopo ambayo inaweza kuzuiliwa Airport na wadai??

Tutafakari
Hata la 4B anakuzidi kufikiri. Kilaza kweli kweli
 
Katika uislamu mkopo si jambo la heri.
Leo hii namuangalia Mhe. Rais Samia akitua Entebbe na Ndege yetu iliyonunuliwa kwa Cash hivi ingekuwaje kama angesafiri na ndege ya mkopo ambayo inaweza kuzuiliwa Airport na wadai??

Tutafakari
Ndege ya rais alinunu basil mramba
 
Ivi aliyebadili ndege ya Rais kuwa mali ya shirika la Atcl ni nani?
 
Back
Top Bottom