Just Distinctions
JF-Expert Member
- May 5, 2016
- 3,230
- 6,742
Kupenya kwenye usaili ambao hata mmoja wa top management kwenye taasisi husika aliniambia aisee una bahati sana, sijui una imani gani ila katoe zaka huko popote unaposali
Siku naripoti HR anashangaa CV chenga , experience ya kulenga kwa manati, na skills za mchongo ila ndio ivyo nipo Taasisini tayari, wakahisi nina connection kubwa na serikali kuu kumbe hata sekretari tu simjui😂
Nyie acheni Mungu aitwe Mungu, ule muujiza siamini mpaka leo ila nasadiki kweli alifanya njia pasipo na njia.
Siku naripoti HR anashangaa CV chenga , experience ya kulenga kwa manati, na skills za mchongo ila ndio ivyo nipo Taasisini tayari, wakahisi nina connection kubwa na serikali kuu kumbe hata sekretari tu simjui😂
Nyie acheni Mungu aitwe Mungu, ule muujiza siamini mpaka leo ila nasadiki kweli alifanya njia pasipo na njia.