Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Sasa hapa Mungu ana Thibitishika vipi yupo tofauti na mawazo yako tu ya kufikirika?Linathibitisha kwasababu nilimuomba yeye, Kama walifanya standardization Basi Mungu alinijibu kupitia wao ili ipatikane sababu.
That's Why Hatukufaulu wote Kama itakuwa walifanya standardization So, in anyway bado inarudi palepale Mungu alinijibu.
Anything else??
Una unganisha hoja mbili tofauti zisizo na uhusiano kupata hitimisho potofu.
Logical non sequitur.