Tukio gani limewahi kukutokea mpaka ukajisemea kweli Mungu yupo?

Tukio gani limewahi kukutokea mpaka ukajisemea kweli Mungu yupo?

Who told you that ukweli hauendani na imani?
Na kama ukweli unaendana na logic , evidences Vipi utajua kuwa ulichokijua ni kweli?
Na vipimo gani unatumia kujua kuwa jambo ni kweli? Na baada ya kupima utathibitishaje kuwa hiyo kweli ndio kweli?.
Imani inabeba mambo mengi yanayothibitika kwa milango ya fahamu na yanayothibitika kwa akili yaani logic na mengine hayayhibitiki kwa milango ya fahamu ila kwa imani yenyewe so tunarudi palepale Mungu athibitiki kwa milango ya fahamu kwa sababu yeye sio maada( Matter) Kwa hiyo kutumia dimension ya logic sijui fact na matakataka mengine huwezi kumpata mungu. So, usipompata usi conclude hayupo, Mungu yupo ila wewe umetumia mzani wa uzito kupima urefu my friend huwezi pata urefu ila sio kwamba hicho unachokipima hakina urefu kinacho ila umetumia kipimo sicho.
Sasa ili kumpata Mungu badili kipimo na vipimo vya mwanzo vipo ndani ya imani bad enough unapinga imani so sina msaada na wewe maana umejiwekea mipaka katika kujifunza .
Toka katika hiyo mipaka ya logic, sijui fact utajua vingi ila ukiishia kwenye hizo mambo tu ni kama upo stage ya mwanzo ya kujifunza There is more beyond logic.
Imani yako hiyo ina thibitisha vipi uwepo wa Mungu?

Kama unasema kwamba, Mungu Hathibitishiki kwa vipimo vya kibinadamu,

Kwamba huitaji kutumia evidences, proofs na facts kumthibitisha Mungu,

Wewe ulitumia vipimo gani, ulifanya uchunguzi gani na ulifanya utafiti upi kubaini huyo Mungu Yupo?

Kisicho kuwepo haki hitaji uthibitisho wa kutokuwepo kwake, kwa vile hakipo kwa namna yoyote ile ya kuonekana, kusikika, au kushikika.

Hivyo, Ukisema Mungu yupo onyesha huyo Mungu yupo kwa namna gani, Na ulifanya uchunguzi gani kutambua huyo Mungu ni Mungu kweli na si mawazo yako tu.
 
Daah! Mbona unajichanganya sana mkuu, Sasa Mungu akiumba dunia isiyo na mateso, dhambi na machukizo mengine si utasema tena Mungu gani hawezi kuumba mabaya.
Ndio maana Kaumba yote na yote yanatokea katika dunia. Hii nikumaanisha kuwa anaweza yote .
Akiumba mema tu utahoji why mema tu? Na akiumba mabaya utahoji why mabaya tu? So ilikufunga hoja zote mbili akaumba mema na mabaya you get the point?
Any doubt if you have please tell me!
Basi tuseme kwamba huyo Mungu ni katili, mbaya na muovu sana.

Huwezi kusema na kila siku mnahubiri kwamba, Mungu ni mwenye upendo, Mungu ni mwenye huruma, Mungu ni mwema sana, Mungu ni Muweza wa yote, Mungu ni mwenye kujua yote.

Sasa kwa sifa hizo Mnazo mpa Mungu kwenye Dunia iliyo jaa uovu, mateso, dhambi na ukatili wa kila aina,
Hai make sense.

Hizo sifa zingeleta maana sana kama,

Dunia isingekuwa na uovu wowote ule kwa vile Mungu mwenye kujua yote, Angejua mapema kwamba anapaswa kuumba Dunia isiyo na uovu,

Badala yake dunia ya uovu ipo.

Kwa hiyo tuseme kwamba Mungu huyo pia ni muovu sana.
 
Kwani na wewe unavyopinga uwepo wa Mungu si ndio imani yako hiyo mkuu!.
Vipi kama nikakuambia usiingilie imani za watu.
Mimi si ingilii imani ya mtu,

Mimi najenga hoja, kwa vile umeleta imani yako hapa JF.

Usinge ileta hapa, hata nafasi ya kuingiliana imani yako nisinge pata.

Ukitaka imani yako isi ingiliwe, baki nayo moyoni huko huko.

Ila uki anza kuweka imani yako kwenye sehemu ya jamii ya watu wengi,

Basi huna budi kujenga hoja za kuonesha ukweli wa hiyo imani yako, Na si mawazo yako ya kufikirika.
 
Imani yako hiyo ina thibitisha vipi uwepo wa Mungu?

Kama unasema kwamba, Mungu Hathibitishiki kwa vipimo vya kibinadamu,

Kwamba huitaji kutumia evidences, proofs na facts kumthibitisha Mungu,

Wewe ulitumia vipimo gani, ulifanya uchunguzi gani na ulifanya utafiti upi kubaini huyo Mungu Yupo?

Kisicho kuwepo haki hitaji uthibitisho wa kutokuwepo kwake, kwa vile hakipo kwa namna yoyote ile ya kuonekana, kusikika, au kushikika.

Hivyo, Ukisema Mungu yupo onyesha huyo Mungu yupo kwa namna gani, Na ulifanya uchunguzi gani kutambua huyo Mungu ni Mungu kweli na si mawazo yako tu.
Nimekwambia kupitia imani.
 
Mimi si ingilii imani ya mtu,

Mimi najenga hoja, kwa vile umeleta imani yako hapa JF.

Usinge ileta hapa, hata nafasi ya kuingiliana imani yako nisinge pata.

Ukitaka imani yako isi ingiliwe, baki nayo moyoni huko huko.

Ila uki anza kuweka imani yako kwenye sehemu ya jamii ya watu wengi,

Basi huna budi kujenga hoja za kuonesha ukweli wa hiyo imani yako, Na si mawazo yako ya kufikirika.
Kwani na wewe unavyopinga sini mawazo yako ya kufikirika.
Unaweza ku prove kuwa Mungu hayupo?
 
Kwani na wewe unavyopinga sini mawazo yako ya kufikirika.
Unaweza ku prove kuwa Mungu hayupo?
Nakwambia hivi [emoji116]

Kisicho kuwepo Haki hitaji uthibitisho wa kuto kuwepo kwake, Kwa vile hakipo kwa namna yoyote ile ya kuonekana, kusikika au kushikika.

Angalau kitu kinaweza kuwepo kwa namna mojawapo either ya kuonekana, kusikika au kushikika.

Sasa Mungu yupo kwa namna gani?
 
Honestly binafsi bado sijamuona.
nimeomba sana katika maisha yangu ila haikusaidia kutatua matatizo yangu. Nilichokuja kugundua Maisha ni effect after effect.
Ukiwa na shida usikimbilie kuomba, shirikisha watu utapata msaada.
kuamini kwamba mungu anasaidia,
for me is just betting.
God is real
 
Basi tuseme kwamba huyo Mungu ni katili, mbaya na muovu sana.

Huwezi kusema na kila siku mnahubiri kwamba, Mungu ni mwenye upendo, Mungu ni mwenye huruma, Mungu ni mwema sana, Mungu ni Muweza wa yote, Mungu ni mwenye kujua yote.

Sasa kwa sifa hizo Mnazo mpa Mungu kwenye Dunia iliyo jaa uovu, mateso, dhambi na ukatili wa kila aina,
Hai make sense.

Hizo sifa zingeleta maana sana kama,

Dunia isingekuwa na uovu wowote ule kwa vile Mungu mwenye kujua yote, Angejua mapema kwamba anapaswa kuumba Dunia isiyo na uovu,

Badala yake dunia ya uovu ipo.

Kwa hiyo tuseme kwamba Mungu huyo pia ni muovu sana.
Mtu akivunja nyumba yake aliyeijenga mwenyewe anakuwa muovu?
Binadamu wote tumeumbwa na Mungu sasa Mungu akiua viumbe wake kuna shida gani?
Ndio ujue yupo na kama unapinga zuia watu wasife au ajitokeze mtu aseme mimi siwezi kufa au mimi naweza zuia watu wasife.
Kitendo cha mwanadamu kushindwa kuzuia maovu na mabaya ni uthibitisho tosha kuwa nguvu ya kuyazuia mabaya haipo kwake bali ipo kwa Mungu na kwakuwa nguvu hiyoo ipo kwa Mungu basi Mungu anaitumia anavyotaka and we have nothing to do with his power.
 
Nakwambia hivi [emoji116]

Kisicho kuwepo Haki hitaji uthibitisho wa kuto kuwepo kwake, Kwa vile hakipo kwa namna yoyote ile ya kuonekana, kusikika au kushikika.

Angalau kitu kinaweza kuwepo kwa namna mojawapo either ya kuonekana, kusikika au kushikika.

Sasa Mungu yupo kwa namna gani?
Sasa kama kisichokuwepo hakihitaji uthibitisho vipi ambacho kipo kihitaji uthibitisho?.
Kitu tayari kipo uthibitisho wa nini tena wakati tayari kipo.
Nije kwenye hoja yako sio lazima kitu kionekane, kishikike au kisikike ndio ithibitike kipo. Nikuulize swali kwani wewe una akili? Kama jibu ni ndiyo, vipi Ulishawahi zigusa akili zako, Ulishawahi zinusa Ulishawahi zishika?.
 
Sasa kama kisichokuwepo hakihitaji uthibitisho vipi ambacho kipo kihitaji uthibitisho?.
Kitu tayari kipo uthibitisho wa nini tena wakati tayari kipo.
Nije kwenye hoja yako sio lazima kitu kionekane, kishikike au kisikike ndio ithibitike kipo. Nikuulize swali kwani wewe una akili? Kama jibu ni ndiyo, vipi Ulishawahi zigusa akili zako, Ulishawahi zinusa Ulishawahi zishika?.
Hivi niki kwambia wewe Lidafo haupo, utakubali kwamba wewe haupo?

Uta kataa kwe vile unajiona na kujishuhudia kwamba Upo.

Sasa hapa tayari upo angalau kwa namna fulani, una onekana, una sikika na una shikika.

Kwa namna zote tatu, upo.

Upepo hauonekani ila upo kwa kusikika na angalau kwa namna moja ya kusikika, tunatambua kwamba Upepo upo.

Sasa Mungu Yupo kwa namna gani?

Unathibitishaje Mungu yupo na si mawazo yako tu ya kufikirika?
 
Imani ni kukubali uwepo wa kitu kipo na ni kweli whether you have proof or not.
Tangu mwanzo pale, Nilikwambia kwamba,

Msingi wa imani ni kutokuwa na uhakika.

Ukisha pata proofs, evidences na uthibitisho wowote ule kuhusu kitu fulani, Hiyo inakuwa si imani tena bali ni ukweli.

Labda nikupe mfano...

Mwanafunzi akifanya mtihani na akaweka lengo la kupata Alama "A" Hapa anakuwa na imani kwamba mtihani huu anaweza akapata alama "A" kwa vile, Hana uhakika wa jinsi gani majibu ya mtihani yatakuja.

Pengine anaweza kupata alama "B" kwa vile hakuwa na uhakika.

Ila mwanafunzi huyu huyu baada ya kurudishiwa mtihani na akawa amepata alama "A" Hapa Haitaji awe na imani kujua kwamba amepata alama "A" kwa vile ni ukweli na anaona kabisa, ushahidi upo kwamba ana alama "A"

Kwa hiyo imani ina endana na kutokua na uhakika juu ya jambo fulani.

Hata kusema Mungu yupo bila uthibitisho wa kuonekana angalau kwa namna fulani ni mawazo ya kufikirika tu.
 
Mungu muweza wa yote, Alishindwaje kuumba Dunia isiyo na kifo?

Mungu muweza wa yote, Alishindwaje kuumba Dunia isiyo na Uovu wala mabaya?

Mungu muweza wa yote, Alishindwaje kuumba Dunia isiyo na Mateso, dhambi,ukatili, Majanga ya asili kama radi, mafuriko, matetemeko ya ardhi, vimbunga, yanayo ua maelfu ya watu kila mara?

Mungu muweza wa yote, Alishindwaje kuumba binadamu wema tu, Wasioweza kutenda dhambi na uovu wowote ule?

Huyo Mungu anaweza yote kweli?
kifo,mafuriko,njaa,vita na majanga yote yakiwemo tetemeko la ardhi yapo kwenye uweza wa yote wa Mungu na ndio maana inatajwa ni Muweza ya yote, juu ya linalokupata ushukuru ama usande.

au we fikra zako zinakupelekaje kwamba yalio negative upande wako yanatokana na nini?
 
Sasa kama kisichokuwepo hakihitaji uthibitisho vipi ambacho kipo kihitaji uthibitisho?.
Kitu tayari kipo uthibitisho wa nini tena wakati tayari kipo.
Nije kwenye hoja yako sio lazima kitu kionekane, kishikike au kisikike ndio ithibitike kipo. Nikuulize swali kwani wewe una akili? Kama jibu ni ndiyo, vipi Ulishawahi zigusa akili zako, Ulishawahi zinusa Ulishawahi zishika?.
Akili kama ipo, ipoje?

Thibitisha Akili ipo.
 
kifo,mafuriko,njaa,vita na majanga yote yakiwemo tetemeko la ardhi yapo kwenye uweza wa yote wa Mungu na ndio maana inatajwa ni Muweza ya yote, juu ya linalokupata ushukuru ama usande.

au we fikra zako zinakupelekaje kwamba yalio negative upande wako yanatokana na nini?
Basi tuseme kwamba Mungu huyo pia ni muovu na katili sana.

Kama Mungu ni muweza wa yote na alijua kwamba anaweza yote ila aka amua kuumba Dunia yenye kifo, mafuriko, vita, vimbunga, matetemeko ya ardhi na mateso yote, Basi Mungu huyo ni Mkatili sana.
 
Natamani Jf waweke option ya muanzisha thread kuweza kublock wachangiaji asiowataka katika thread yake. kuna baadhi ya mada huwa zinaanza vizuri, ila bahati mbaya ikiambukizwa virus wa ubishani hufia njiani, na hali hiyo inapunguza wingi/uwanda wa maarifa ambayo yalitegemewa kupatikana.
Hii ni jamii forums Where we dare to talk openly.

Kila mtu ana haki ya kuona, kutazama na kuchambua mawazo yako unayo yaleta kwenye jamii.

Hii sio Whatsupp ya kwamba Messages are end- to- end encrypted.[emoji1][emoji1][emoji1]

Hii ni jamii forums sio ma group ya Whatsupp.

You get the point..!
 
Basi tuseme kwamba Mungu huyo pia ni muovu na katili sana.

Kama Mungu ni muweza wa yote na alijua kwamba anaweza yote ila aka amua kuumba Dunia yenye kifo, mafuriko, vita, vimbunga, matetemeko ya ardhi na mateso yote, Basi Mungu huyo ni Mkatili sana.
hapo umepatia mkuu maana hata maandiko ya kale yanakubali binaadam ni aidha ataziona neema za Muumba na kushukuru ama ataona vinginevyo atakufuru. Lakini haibadili kitu juu ya uwepo wake.. chagua chochote kinachokuudhi na useme kimetokea kwakua hakuna Muumba wake kisha unijijibu mwenyewe kimetokanaje sasa kisha ukipata kilipotokea jiulize tena nani yupo nyuma ya jibu ulopata, Yupo ambae hana mwanzo wala mwisho Mwenye kuweza vyote ili vyote viwepo.
 
Back
Top Bottom