Tukio gani limewahi kukutokea mpaka ukajisemea kweli Mungu yupo?

Tukio gani limewahi kukutokea mpaka ukajisemea kweli Mungu yupo?

ulimwengu ni vitu vingi ikiwemo hata wewe,muda,nishati na katani kwenye mipaka ya shambani hapo inabadili nini sasa kwamba vimetengenezwa vyote pamoja

broo em vuta hata pumzi uitoe kisha chukua time yako uaminie hayo maujanja nyuma ya uumbaji
Kwa nini unadhani vimetengenezwa?

Kwa nini Hudhani vimekuwepo bila kutengenezwa?

Kama kila kitu lazima kiwe na mtengenezaji basi hata Mungu lazima awe na mtengenezaji.

Lakini kama una amini Mungu alijiumba mwenyewe, Unashindwa vipi kuamini pia Ulimwengu Hauku umbwa?

Kwamba ulimwengu upo tangu mwanzo na hata milele?

Kwa nini unadhani na unalazimisha ulimwengu uwe na mtengenezaji?
 
Ujanijibu swali langu nimekuuliza wewe una akili?
Mimi nina kichwa chenye ubongo.

Na kila binadamu ana kichwa chenye ubongo.

Hiyo Akili, kwanza sijui nini na wala sijui ipoje.

Akili ni dhana ya kufikirika, HAIPO.

Kwenye Kiswahili kuna aina za Nomino, Na mojawapo ya aina za Nomino kuna "Nomino dhahania" kwamba, Nomino hizi ni majina ya kufikirika tu, Yasiyo kuwepo.

Na mifano ya Nomino dhahania ni kama vile: Mungu, shetani, Akili, pumzi, Hasira, kiburi,chuki, tamaa, roho,

Vitu hivi Havipo na Huwezi kuwa navyo Physically, ila vipo kwa kufikirika tu, imaginations just an illusion.
 
Kama msingi wa imani ni kutokuwa na uhakika then its better kuamini kuliko kutokuamini .
That means ni bora anayesema Mungu yupo kwani ikatokea hayupo ana cha kupoteza vipi wewe kwa upande wako unasema hayupo alafu at the end kumbe yupo .?
Kwa nini unadhani ni bora kuamini kuliko kuto kuamini?

Kwanza, Unajuaje kwamba ni bora kuamini kuliko Kuto kuamini?

Ulifanya uchunguzi gani na utafiti upi kubaini kwamba kuamini ni bora kuliko Kuto kuamini?

Na si Hofu zako, wasiwasi na kimuhemuhe chako tu?
 
Mungu yupo aisee ! Ila anajua kututesa Sana huko aliko .
Nakubalii , ila utendaji wake binafsi siulewi kiaina.
Kuna wakati nikiwa napangalama na mishe zangu Mambo hayaendi [emoji16] ila anagalau nakua na amani.
Ila nikijifungamanisha na imani Mambo Ni tofauti Sana . (Ndio kabisa Yana stop)

Nauliza, ndugu washuhuda, ninyi mnaombaje mpaka mnashuhudia na imani zenu kuongezeka na kumfurahia katika majira yote, mkikosa sawa mkipata sawaa.

Mbaya zaidi, ata ndugu , Wanakomaa na Mungu lakini wapii
Umasikini juu ya umasikini [emoji16] , wazee wamezeeka wanategemea Watoto na Watoto nao wapi umasikini hata kusaidiana tu shida .
Kunatukio moja, lilitokea , Ni baya Kila mtu alilia kivyakee [emoji16].

Naulizaa Mungu huyu hamuoni anaupendeleoo ?
(Japo imani inanifundisha Hana upendeleo)
Ilaa inakuajee jamani wengine tunakaribia kuzeeka hatuna hizo shuhuda ?
Zinatoke Ni mbaya mbaya mbayaa .

Watetezi wa Mungu naombeni miongozo .



Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Ni Kwamba huyo Mungu Hayupo.
 
Ni Kwamba huyo Mungu Hayupo.
Mkuu, siwezi kudhibisha kwamba Mungu hayupo .
Ilaa naamini kuwa yupo. Ila najiuliza tu kwa haya yanayo nisibu na ndugu zangu.[emoji16]

Kwanini ? Mfano.
Kuna kipindi , Nilijikita na ufugaji, wekeza nguvu,akili na Mali kwa matarajio Safi kabisa, ukizingatia Ni kipindi najitafuta baada elimu ya chuo huko kuishia njiani [emoji29]

Niliteketeza 1.5m fumba na kufumbua chalii kifo Cha mende [emoji23].(Kwenye maisha yangu sijawahi kuhisi uchungu kwa wakati huo Kama kipindi kile )
Ukizingatia Nilitarajia kutoboaa , na njia nilikua naiona ileee....
Kilichokua kinaumiza hela mshua alijikusanya Sana, takribani mwaka, wakati huo nakula shule ya ufugaji ndani ya huo mwaka, mbaya Sana.

Huo Ni mfano tu, Kati ya mengii, Mimi nauliza tu,
Kwanini huyu Mungu anaupendeleo Sana ?





Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
 
Na wale vipanga ambao walikuwa wanafanya vizuri sana na kujitahidi wanategemea one au two kwa uzembe wa either msahishaji au kuumwa karibia na paper wakapata zero unawashauri / kuwaambia vipi ? Waamini kwamba Mungu ana upendeleo ?
Au wakisema Mungu hayupo watakuwa wanakosea?
 
Kwa nini unadhani ni bora kuamini kuliko kuto kuamini?

Kwanza, Unajuaje kwamba ni bora kuamini kuliko Kuto kuamini?

Ulifanya uchunguzi gani na utafiti upi kubaini kwamba kuamini ni bora kuliko Kuto kuamini?

Na si Hofu zako, wasiwasi na kimuhemuhe chako tu?

Kwa nini unadhani ni bora kuamini kuliko kuto kuamini?

Kwanza, Unajuaje kwamba ni bora kuamini kuliko Kuto kuamini?

Ulifanya uchunguzi gani na utafiti upi kubaini kwamba kuamini ni bora kuliko Kuto kuamini?

Na si Hofu zako, wasiwasi na kimuhemuhe chako tu?
Kwa sababu kuamini ni kukubali uwepo wa hicho unachokiamini lakini kutokuamini ni kukataa
Ikiwa unaamini uwepo wa Mungu ata ikitokea hayupo you have nothing to lose, Lakini kwa kukataa kwako ikatokea yupo you lose everything.
Kwa mantiki hiyo ni bora kuamini
 
Kwa sababu kuamini ni kukubali uwepo wa hicho unachokiamini lakini kutokuamini ni kukataa
Ikiwa unaamini uwepo wa Mungu ata ikitokea hayupo you have nothing to lose, Lakini kwa kukataa kwako ikatokea yupo you lose everything.
Kwa mantiki hiyo ni bora kuamini
Hata Hawa wanaopinga juu ya uwepo wa Mungu, hawana uthibitisho wa kutokuwepo kwa Mungu. Wanatumia logical reasoning kujenga mahitimisho yao.
Ukimwambia athibitishe kutokuwepo kwa Mungu ataanza na sababu za kwakuwa Dunia iko hivi au vile basi haiwezekani huyo Mungu awepo.
Hivyo Imani ya kutokuwepo kwa Mungu mayo haina uthibitisho wa kutokuwepo kwa huyo Mungu.
 
Hata Hawa wanaopinga juu ya uwepo wa Mungu, hawana uthibitisho wa kutokuwepo kwa Mungu. Wanatumia logical reasoning kujenga mahitimisho yao.
Ukimwambia athibitishe kutokuwepo kwa Mungu ataanza na sababu za kwakuwa Dunia iko hivi au vile basi haiwezekani huyo Mungu awepo.
Hivyo Imani ya kutokuwepo kwa Mungu mayo haina uthibitisho wa kutokuwepo kwa huyo Mungu.
Ukimwambia athibitishe kutokuwepo kwa Mungu atakwambia hawezi kuthibitisha negative wakati huohuo anakuambia wewe uthibitishe positive anasahau kuwa hiyo positive anayotaka wewe uthibitishe yeye ndio anaipinga.
Political science inawapeleka vibaya.
 
Hata Hawa wanaopinga juu ya uwepo wa Mungu, hawana uthibitisho wa kutokuwepo kwa Mungu. Wanatumia logical reasoning kujenga mahitimisho yao.
Ukimwambia athibitishe kutokuwepo kwa Mungu ataanza na sababu za kwakuwa Dunia iko hivi au vile basi haiwezekani huyo Mungu awepo.
Hivyo Imani ya kutokuwepo kwa Mungu mayo haina uthibitisho wa kutokuwepo kwa huyo Mungu.
Kisicho kuwepo haki hitaji uthibitisho wa kuto kuwepo kwake, kwa vile hakipo kwa namna yoyote ile ya kuonekana, kusikika au kushikika.

Angalau kitu kinaweza kuwepo kwa namna mojawapo either ya kuonekana, kusikika au kushikika.

Ukisema kitu kipo, lazima uoneshe kipo kwa namna ipi,

Huyo Mungu yupo kwa namna gani?

Na si mawazo yako ya kufikirika tu.
 
Kwa sababu kuamini ni kukubali uwepo wa hicho unachokiamini lakini kutokuamini ni kukataa
Ikiwa unaamini uwepo wa Mungu ata ikitokea hayupo you have nothing to lose, Lakini kwa kukataa kwako ikatokea yupo you lose everything.
Kwa mantiki hiyo ni bora kuamini
Unajua hata Uongo unaweza uka aminiwa vilevile.

Sasa unaposema "kuamini ni kukubali uwepo wa kitu fulani" Hata Uongo unaweza ku kubalika uka aminiwa tu.

Kwa hiyo hata imani ya kuamini Mungu yupo ni uongo tu mna amini.

Ndio maana hamuwezi kuthibitisha uwepo wake kama ni ukweli Mungu yupo.

Nakwambia hivi [emoji116]

Msingi wa imani ni kutokuwa na uhakika, Ukweli hauendani na imani.

Ukweli unaendana na kujua, uthibitisho (proofs), Evidences, facts na Logic.
 
Hata Hawa wanaopinga juu ya uwepo wa Mungu, hawana uthibitisho wa kutokuwepo kwa Mungu. Wanatumia logical reasoning kujenga mahitimisho yao.
Ukimwambia athibitishe kutokuwepo kwa Mungu ataanza na sababu za kwakuwa Dunia iko hivi au vile basi haiwezekani huyo Mungu awepo.
Hivyo Imani ya kutokuwepo kwa Mungu mayo haina uthibitisho wa kutokuwepo kwa huyo Mungu.
Kama imani ya kutokuwepo kwa Mungu, Haina uthibitisho wa kutokuwepo kwa Mungu.

Leta uthibitisho wa uwepo wa Mungu, Unao muonesha Mungu angalau kwa kuonekana, kusikika au kushikika.
 
Mkuu, siwezi kudhibisha kwamba Mungu hayupo .
Ilaa naamini kuwa yupo. Ila najiuliza tu kwa haya yanayo nisibu na ndugu zangu.[emoji16]

Kwanini ? Mfano.
Kuna kipindi , Nilijikita na ufugaji, wekeza nguvu,akili na Mali kwa matarajio Safi kabisa, ukizingatia Ni kipindi najitafuta baada elimu ya chuo huko kuishia njiani [emoji29]

Niliteketeza 1.5m fumba na kufumbua chalii kifo Cha mende [emoji23].(Kwenye maisha yangu sijawahi kuhisi uchungu kwa wakati huo Kama kipindi kile )
Ukizingatia Nilitarajia kutoboaa , na njia nilikua naiona ileee....
Kilichokua kinaumiza hela mshua alijikusanya Sana, takribani mwaka, wakati huo nakula shule ya ufugaji ndani ya huo mwaka, mbaya Sana.

Huo Ni mfano tu, Kati ya mengii, Mimi nauliza tu,
Kwanini huyu Mungu anaupendeleo Sana ?





Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Mkuu,

Pia hata kuthibitisha Mungu yupo Haiwezekani, kwa vile Mungu Hayupo.

Kisicho kuwepo haki hitaji uthibitisho wa kutokuwepo kwake, Kwa vile hakipo kwa namna yoyote ile ya kuonekana, kusikika au kushikika.

Angalau kitu kinaweza kuwepo kwa namna moja ya kuonekana, kusikika au kushikika.

Lakini Mungu Hayupo kwa namna yoyote ile zaidi ya mawazo ya kufikirika.

Hasikiki, Haonekani, Hashikiki.

Mungu Angekuwepo, kusingekuwepo utata wa kuwepo kwake, Maana Mungu mjuzi wa vyote angeweka mfumo wa utambuzi kwa viumbe vyote na binadamu wote kumtambua yeye yupo, Kwa wakati wote.

Lakini Mungu huyo, Hayupo.

Ndio maana kuna utata wa uwepo wake kwa vile uwepo wake Hau thibitishiki kwa namna yoyote ile.
 
Unajua hata Uongo unaweza uka aminiwa vilevile.

Sasa unaposema "kuamini ni kukubali uwepo wa kitu fulani" Hata Uongo unaweza ku kubalika uka aminiwa tu.

Kwa hiyo hata imani ya kuamini Mungu yupo ni uongo tu mna amini.

Ndio maana hamuwezi kuthibitisha uwepo wake kama ni ukweli Mungu yupo.

Nakwambia hivi [emoji116]

Msingi wa imani ni kutokuwa na uhakika, Ukweli hauendani na imani.

Ukweli unaendana na kujua, uthibitisho (proofs), Evidences, facts na Logic.
Sasa nawewe unavyo claim Mungu hayupo siulete uthibitisho kuwa hayupo ili claim yako iwe sahihi.
Na quote kauli yako umesema
"ukweli unaendana na kujua, uthibitisho(proofs), evidences, fact na logic"
Sasa Thibitisha madai yako kwamba Mungu hayupo kwa facts na evidence ili madai yako yawe kweli.
N.B usije sema huwezi thibitisho negative maana ili madai yako yawe kweli yanahitaji proof then prove that God is not exist.
 
Sasa nawewe unavyo claim Mungu hayupo siulete uthibitisho kuwa hayupo ili claim yako iwe sahihi.
Na quote kauli yako umesema
"ukweli unaendana na kujua, uthibitisho(proofs), evidences, fact na logic"
Sasa Thibitisha madai yako kwamba Mungu hayupo kwa facts na evidence ili madai yako yawe kweli.
N.B usije sema huwezi thibitisho negative maana ili madai yako yawe kweli yanahitaji proof then prove that God is not exist.
Dunia yenye uovu, dhambi,mateso ni uthibitisho wa kwamba Mungu mwema, mkamilifu, mwenye huruma na upendo Hayupo.

Dunia yenye ukatili na majanga ya asili kama radi, mafuriko, matetemeko ya ardhi na vimbunga ni uthibitisho wa kwamba Mungu muweza wa yote ambaye angeweza kuyadhibiti majanga haya yasi wadhuru binadamu, Hayupo.

Watu kuangamia licha ya kufunga na kusali kumwomba Mungu huyo awa okoe na kuwasaidia shida zao, Ni uthibitisho wa kwamba Mungu huyo Hayupo.

Watu kufa kwenye Ajali mbalimbali licha ya kusali na kumwomba Mungu awalinde wawapo safarini, Ni uthibitisho wa kwamba Mungu huyo Hayupo.

Walemavu na wagonjwa wanao muomba Mungu kwa kufunga na kusali Mungu huyo awaponye, Lakini wanabaki na magonjwa yao na ulemavu wao pasipo kupona, Ni uthibitisho wa kwamba Mungu huyo wanaye muomba Hayupo.

Watoro wachanga, kuzaliwa na matatizo kama unjiti, vichwa vikubwa, uchizi na kasoro nyingine nyingi, Ni uthibitisho wa kwamba Mungu Mkamilifu anaye umba binadamu wakamilifu kimwili na kiakili Hayupo.

Mungu huyo Hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
 
Back
Top Bottom