Utajua ujui
JF-Expert Member
- Aug 3, 2023
- 268
- 894
Usengelema tunataka ushuhuda na matendo makuu ya Mungunwewe unaleta mapenzi ...Nilikuta msg za mapenz anachat na rafiki yangu akaninyakua cm akafuta ushahidi akakataa hana mahusiano nae, Mungu alivyomkuu baada ya wiki 1, wakajirecord wanaongea mambo ya mapenz na jinsi mechi ilivyokua na hawakujua kama cm inarecord....nikaja sikiliza kilakitu