Tukio gani ulishawahi kufanya ukajiona mshamba sana?

hahaha [emoji1787]uwe unalainisha koo kwanza hata na kajuice
 
Bwashee unazingua 😂 😂
 
Mara ya kwanza kuoa, kwenye usiku wa kwanza wa fungate mke wangu alilala na kanguo kafupi kepesi...alinikwaza sana maana nilikua namheshimu sana na hakuwahi nivalia nguo fupi kabla.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…