secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
Yaani ukishokuwa mtu wa watu kupitiloza vijana wanatumia fursa hiyo kukumaliza. Wakati mwingine ukali unahitajika Sana mkuu.Sichek mkuu yaan kwanza now takua mkaksi na hawa vijNa maana navocheka nao wananiona mi bwege sasa hv ni mwendo wa kunyoosha tuu
ahahahaha me perfume nilikua hata sijui majina yake nilivoanza kupuliza napuliza mpaka kwenye viatu mpaka mdomoni alooh [emoji1787]Sintosahau ushamba nilioufanya nilipokuwa darasa la tatu niliingia chumbani kwa bimkubwa, maana kuna perfum alikuwa akijipulizia nilipenda harufu yake nikavizia siku hayupo nikachukua namimi nijipulizie sasa nimejipulizia akili ikanituma bado kwenye macho nayo yanahitaji kunukia nikapulizia, ebwanaee haikupita dakika macho yakaanza kuniwasha mara pu bimkumkubwa kaingia palikuwa hapatoshi..kweli ushamba mzigo.
Mkuu mi nimekua mtu wa fursa kwa wenzNgu.Yaani ukishokuwa mtu wa watu kupitiloza vijana wanatumia fursa hiyo kukumaliza. Wakati mwingine ukali unahitajika Sana mkuu.
Inabidi hiyo huruma uipunguze, wakati mwingine huruma iliyovuka mipaka haijengi, inabomoaMkuu mi nimekua mtu wa fursa kwa wenzNgu.
Mybe hiki walichokufanya ni fursa pia daaah nimechoka aiseee.
Inamana niwe nabeba kila kitu naweka ndani sasa jamn
Sasa mkuu nasemaje do or dieInabidi hiyo huruma uipunguze, wakati mwingine huruma iliyovuka mipaka haijengi, inabomoa
Mtu usipomsaidia anakuona bahili, ukimsaidia anakuona mshamba, mteremko na mtu asiyejielewa.Sasa mkuu nasemaje do or die
Muhimu ukishajua pale ni Kwa diara timu imeanza upande huu ukajua na offside baaaasi inatosha[emoji3]cha msingi ujue namba 1 anapokaa
Enzi hizo mwaka 1992 nilipoenda kujifunza gereji sitasahau pale nilipoambiwa nipige jeki ili tutoe tairi nikashindwa sitosahau ile siku nilijiona mshamba kupita kiasiHabari wakuu
Mara ya kwanza kujiunga na huduma za kibenki nilienda kwenye tawi la benki wakanisajili ikafika mda wa kufanya kadi iwe active.
Nimeenda kwenye ATM na yule mhudumu akaiweka kadi ndani ya ATM ananiambia chagua lugha, me hapo hata sijui wanabonyeza wapi, akanionesha zile button za pembeni nikachagua, akanambia bonyeza hapa nikabonyeza, akasema weka namba ya siri nikaanza kuijaza.
Sasa yeye akatoka nimemaliza akakawia kuja. Namsubiri mara nashangaa kadi inamezwa nikamuita nikamuuliza mbona kadi imedumbukia tena, akasema aisee ungeitoa dah, me nikamwambia sasa hukuniambia, nilikaa pale saa zima nasubiri wailete dah!
Mara ya pili, nimeenda ATM pekeangu kufika kumbe ile ATM ni ya touchscreen haina buttons za pembeni zipo za namba tu maandishi yale ya pembeni kumbe unatouch, duh nikadata nje kuna bonge la foleni wanasubiri nitoke, naweka kadi naweka PIN nasubiri hola! duh nikaona nitoke hapa nishatolewa ushamba, hata nikaona kuuliza watanicheka nikaenda kutoa kwa wakala, haha dah!
ushamba mzigo
Halaf ilikuwa chuo huko mikoani mm nilitoka dar walikuwa wananichukulia mjanja ila tangu siku hyoπ€£π€£π π π hahahah wooii my ribs hahaha wakawa wanakucheki tu
Kutokuzaliwa unajua ndio ushamba huo.Sijaona ushamba hapa!,yaan kutokujua kitu ndio ushamba?! Hata hao wahudumu wenyewe walifundishwa jinsi ya kutumia hizo ATM hakuna aliyezaliwa anajua