Tukio hili la leo si la kupuuzia, Mhusika awekwe kiuzuizini, alipe faini ya milioni 2 na kifungo kisichopungua miaka 2

Tukio hili la leo si la kupuuzia, Mhusika awekwe kiuzuizini, alipe faini ya milioni 2 na kifungo kisichopungua miaka 2

Mimi nilishangaa sana...lilikuwa ni konde la kustukiza
 
Suala hili lina kipaumbele cha amani kuliko mambo ya kimpira kushuka daraja, timu inaweza kushuka daraja na kupanda lakini mtu kushambuliwa hivi anaweza kupoteza maisha hakuna kufufuka ama kuwa kilema moja kwa moja na jicho lisiweze kuona tena.

Unahitaji elimu ya ziada kwenye sheria.

Kosa la jinai halina cha mpira wala rede.

Ingekuwa wanapigana tungeelewa lakini hii kavamia mtu

Wewe utakuwa huelewi vizuri Sheria za mpira au hujui kilichowapata kina kaburu?
Huyo jamaa TFF wadela naye Kwa kumfungia maisha kujishughulisha na mpira na pia apandishwe kizimbani .
Kitendo alichokifanya haikubaliki kabisa katika dunia ya kistaarabu ya mpira wa miguu
 
Nilitaka niposti kwenye jukwaa la michezo ila kwa hili lililotokea lina kipaumbele cha amani tuliyonayo kutiwa doa kuzidi sheria za mpira,

Kuna timu kutokea Kigoma inaitwa Mashujaa, leo walikuwa wanacheza mechi yao ya mwisho dhidi ya Mbeya City kufuzu kuingia rasmi kwenye ligi kuu, Mechi imechezwa uwanja wa Sokoine Mbeya.

Timu ya mashujaa ilipofunga goli wakati wakiwa wanashangilia wakapita sehemu ya wapinzani wao kushangilia kwa kuwatambia na ni kawaida tumeshazoea, ila ghafla bin vu! kocha wa makipa wa mashujaa akampiga ngumi nzito ya usoni kocha mkuu wa Mbeya city, Jambo hili lilipelekea kocha wa Mbeya city kutoweza kuinuka kwa dakika kadhaa huku akiwa anapewa huduma ya kwanza.

yule kocha wa makipa wa mashujaa kapewa kadi nyekundu tu.

Adhabu ya uwanjani kashapewa ni vema sasa na vyombo vya ulinzi na sheria viingilie kati.

Mapendekezo.

Kwa kuwa nchi yetu ni ya amani na vitendo hivi havina mwanya wa kuzoeleka, hatua hizi zichukuliwe iwe fundisho wengine wasije kuthubutu.

  • Atafutwe haraka awekwe chini la ulinzi pale central ya polisi Mbeya
  • ahamishwe mahabusu kusubiri kusomewa kesi
  • asomewe mashtaka mahakamani, adhabu iwe faini ya matibabu ya kocha mkuu isiyopungua milioni 2, viboko 10 na afungwe gerezani kifungo kisichopungua mwaka 1.
  • Kwa upande wa TFF nao wasiwe nyuma, wamfungie walau miaka mitano
Suala hili lina kipaumbele cha amani kuliko mambo ya kimpira kushuka daraja, timu inaweza kushuka daraja na kupanda lakini mtu kushambuliwa hivi anaweza kupoteza maisha hakuna kufufuka ama kuwa kilema moja kwa moja na jicho lisiweze kuona tena.


View attachment 2667804
Ni juu ya aliyedhuriwa kufungua mashtaka. Kama ameridhika ni juu yake pia.
 
Nilitaka niposti kwenye jukwaa la michezo ila kwa hili lililotokea lina kipaumbele cha amani tuliyonayo kutiwa doa kuzidi sheria za mpira,

Kuna timu kutokea Kigoma inaitwa Mashujaa, leo walikuwa wanacheza mechi yao ya mwisho dhidi ya Mbeya City kufuzu kuingia rasmi kwenye ligi kuu, Mechi imechezwa uwanja wa Sokoine Mbeya.

Timu ya mashujaa ilipofunga goli wakati wakiwa wanashangilia wakapita sehemu ya wapinzani wao kushangilia kwa kuwatambia na ni kawaida tumeshazoea, ila ghafla bin vu! kocha wa makipa wa mashujaa akampiga ngumi nzito ya usoni kocha mkuu wa Mbeya city, Jambo hili lilipelekea kocha wa Mbeya city kutoweza kuinuka kwa dakika kadhaa huku akiwa anapewa huduma ya kwanza.

yule kocha wa makipa wa mashujaa kapewa kadi nyekundu tu.

Adhabu ya uwanjani kashapewa ni vema sasa na vyombo vya ulinzi na sheria viingilie kati.

Mapendekezo.

Kwa kuwa nchi yetu ni ya amani na vitendo hivi havina mwanya wa kuzoeleka, hatua hizi zichukuliwe iwe fundisho wengine wasije kuthubutu.

  • Atafutwe haraka awekwe chini la ulinzi pale central ya polisi Mbeya
  • ahamishwe mahabusu kusubiri kusomewa kesi
  • asomewe mashtaka mahakamani, adhabu iwe faini ya matibabu ya kocha mkuu isiyopungua milioni 2, viboko 10 na afungwe gerezani kifungo kisichopungua mwaka 1.
  • Kwa upande wa TFF nao wasiwe nyuma, wamfungie walau miaka mitano
Suala hili lina kipaumbele cha amani kuliko mambo ya kimpira kushuka daraja, timu inaweza kushuka daraja na kupanda lakini mtu kushambuliwa hivi anaweza kupoteza maisha hakuna kufufuka ama kuwa kilema moja kwa moja na jicho lisiweze kuona tena.


View attachment 2667804
Na huu ni ushangiliaji? Mnatoka upande wenu mpaka kwa wapinzani?
 
Nilitaka niposti kwenye jukwaa la michezo ila kwa hili lililotokea lina kipaumbele cha amani tuliyonayo kutiwa doa kuzidi sheria za mpira,

Kuna timu kutokea Kigoma inaitwa Mashujaa, leo walikuwa wanacheza mechi yao ya mwisho dhidi ya Mbeya City kufuzu kuingia rasmi kwenye ligi kuu, Mechi imechezwa uwanja wa Sokoine Mbeya.

Timu ya mashujaa ilipofunga goli wakati wakiwa wanashangilia wakapita sehemu ya wapinzani wao kushangilia kwa kuwatambia na ni kawaida tumeshazoea, ila ghafla bin vu! kocha wa makipa wa mashujaa akampiga ngumi nzito ya usoni kocha mkuu wa Mbeya city, Jambo hili lilipelekea kocha wa Mbeya city kutoweza kuinuka kwa dakika kadhaa huku akiwa anapewa huduma ya kwanza.

yule kocha wa makipa wa mashujaa kapewa kadi nyekundu tu.

Adhabu ya uwanjani kashapewa ni vema sasa na vyombo vya ulinzi na sheria viingilie kati.

Mapendekezo.

Kwa kuwa nchi yetu ni ya amani na vitendo hivi havina mwanya wa kuzoeleka, hatua hizi zichukuliwe iwe fundisho wengine wasije kuthubutu.

  • Atafutwe haraka awekwe chini la ulinzi pale central ya polisi Mbeya
  • ahamishwe mahabusu kusubiri kusomewa kesi
  • asomewe mashtaka mahakamani, adhabu iwe faini ya matibabu ya kocha mkuu isiyopungua milioni 2, viboko 10 na afungwe gerezani kifungo kisichopungua mwaka 1.
  • Kwa upande wa TFF nao wasiwe nyuma, wamfungie walau miaka mitano
Suala hili lina kipaumbele cha amani kuliko mambo ya kimpira kushuka daraja, timu inaweza kushuka daraja na kupanda lakini mtu kushambuliwa hivi anaweza kupoteza maisha hakuna kufufuka ama kuwa kilema moja kwa moja na jicho lisiweze kuona tena.


View attachment 2667804
Huyo afungwe tu, iwe fundisho kwa wengine.
 
Umeandika sana ila masuala ya michezo hayapelekwi polisi kama ulivyotushawishi hapo..ndiyo imeisha hiyo..ugulieni tu maumivu ya kushuka daraja.
Hili halipti bure subirini rungu zito sana la TFF muda sio mrefu
 
Nilitaka niposti kwenye jukwaa la michezo ila kwa hili lililotokea lina kipaumbele cha amani tuliyonayo kutiwa doa kuzidi sheria za mpira,

Kuna timu kutokea Kigoma inaitwa Mashujaa, leo walikuwa wanacheza mechi yao ya mwisho dhidi ya Mbeya City kufuzu kuingia rasmi kwenye ligi kuu, Mechi imechezwa uwanja wa Sokoine Mbeya.

Timu ya mashujaa ilipofunga goli wakati wakiwa wanashangilia wakapita sehemu ya wapinzani wao kushangilia kwa kuwatambia na ni kawaida tumeshazoea, ila ghafla bin vu! kocha wa makipa wa mashujaa akampiga ngumi nzito ya usoni kocha mkuu wa Mbeya city, Jambo hili lilipelekea kocha wa Mbeya city kutoweza kuinuka kwa dakika kadhaa huku akiwa anapewa huduma ya kwanza.

yule kocha wa makipa wa mashujaa kapewa kadi nyekundu tu.

Adhabu ya uwanjani kashapewa ni vema sasa na vyombo vya ulinzi na sheria viingilie kati.

Mapendekezo.

Kwa kuwa nchi yetu ni ya amani na vitendo hivi havina mwanya wa kuzoeleka, hatua hizi zichukuliwe iwe fundisho wengine wasije kuthubutu.

  • Atafutwe haraka awekwe chini la ulinzi pale central ya polisi Mbeya
  • ahamishwe mahabusu kusubiri kusomewa kesi
  • asomewe mashtaka mahakamani, adhabu iwe faini ya matibabu ya kocha mkuu isiyopungua milioni 2, viboko 10 na afungwe gerezani kifungo kisichopungua mwaka 1.
  • Kwa upande wa TFF nao wasiwe nyuma, wamfungie walau miaka mitano
Suala hili lina kipaumbele cha amani kuliko mambo ya kimpira kushuka daraja, timu inaweza kushuka daraja na kupanda lakini mtu kushambuliwa hivi anaweza kupoteza maisha hakuna kufufuka ama kuwa kilema moja kwa moja na jicho lisiweze kuona tena.


View attachment 2667804
Wamekuja ligi kuu na ushamba wao wa mwisho wa reli. Mpuuzi sana huyo kocha hajui hilo ni kosa lenye kuweza kumpeleka kifungoni.
 
Umeandika sana ila masuala ya michezo hayapelekwi polisi kama ulivyotushawishi hapo..ndiyo imeisha hiyo..ugulieni tu maumivu ya kushuka daraja.
Tumia akili hicho kitendo kingeweza kusababisha machafuko unadhani Mbeya city Wang's react ingekuaje hapo uwanjani?
 
Back
Top Bottom