Tukio kwenye mataa ya Mwenge: Tofauti ya Wazungu na Waafrika

Umetukuza wazungu sana kiasi ni kama unakufuru. Si kwamba wazungu walizaliwa hivyo. Homosapien alitokea Afrika na kwenda kumaliza kizazi cha Neanderthal ulaya. Baadae akaenea dunia nzima.
Ustaarabu wa wazungu umejengwa kwa miaka mingi iliyopita na sasa ni kama utamaduni tu. Hata sisi waafrika tulishastaarabika ila kwa vile mzungu alikuwa na nguvu akaja kumanipulate aina ya maisha yetu kiasi tumebaki na ushenzi mwingi.
Usimsifie sana mzungu kwa kutoa elfu 10 kama vile hakuna mtanzania ambae amewai kutoa kiasi kama hicho au zaidi na kama vile hakuna wazungu wanaokausha tu bila kutoa hata senti baada ya kusafishiwa vioo vyao.
Wewe unaabudu wazungu.


Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Watu wana roho mbaya sana kaka. Mtu yupo radhi anunue pombe anywe na kimada kuliko kusaidia wasiojiweza. Kuna shida gani kumpa 1,000 au hata 5,000 kayika mamilioni ukiyonayo?!

Ubarikiwe sana mkuu.
 
Hawa madogo nilikuwa nawapenda zamani, ila baada ya kuniibia wiper ya dirisha la boot (nyuma), nikawa nimewachukia.

Wiper zote wanazotumia, uwe na uhakika wamekuwa wameng'oa kutoka kwenye magari ya watu na hasa viwiper vya nyuma ya gari.
 
Watu wana roho mbaya sana kaka. Mtu yupo radhi anunue pombe anywe na kimada kuliko kusaidia wasiojiweza. Kuna shida gani kumpa 1,000 au hata 5,000 kayika mamilioni ukiyonayo?!

Ubarikiwe sana mkuu.
Nadhani wengi awaelewi kanuni za dunia thus ufanya hivi
 
Wakati mwingine uchumi ni tatizo unataka umpe pesa ukicheki mfukoni unabalance ya mkate tu kwa mangi unaitoaje si kila anayendesha gari anaweza kuwa na akiba mfukoni.mbaya ni kumtukana na kumdhalilisha.
 
Sumtime muache kuchemkia Watu,Habari ndeefu Sijui Mzungu wa wapi mara mzungu kafanya nini Acheni kushobokea Wazungu,Usipojithamini wewe mwenyewe ujuwe hakuna atakayekuthamini.
 
Sumtime muache kuchemkia Watu,Habari ndeefu Sijui Mzungu wa wapi mara mzungu kafanya nini Acheni kushobokea Wazungu,Usipojithamini wewe mwenyewe ujuwe hakuna atakayekuthamini.
Uwezo wako wa kufikiri unafanana kabisa na uwezo wa binti yangu, yule anaesoma darasa la Pili C.
 
Mimi naahidi kulifanya hili

Nilinunua tenzi za Rohoni hapo hapo mwenge kwa mchungaji,, nikatoa 10,000 sasa jamaa alikua ananipa chenji 8'500 nikamwqmbia sadaka


Aisee aliniombea yule mchungaji mpaka taa zinawaka
 
Watu wana roho mbaya sana kaka. Mtu yupo radhi anunue pombe anywe na kimada kuliko kusaidia wasiojiweza. Kuna shida gani kumpa 1,000 au hata 5,000 kayika mamilioni ukiyonayo?!

Ubarikiwe sana mkuu.
Amina mkuu
 
Kwanza hao watu wanaofanya kazi za hivyo ni kupoteza muda. Waje huku mikoani kuna mashamba kibao waje walime. Waache uvivu, na kupenda kukaa mijini.
 
Acha kukariri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…