Tukio la Bwana Hamza kuwapiga polisi risasi ni matokeo ya mfumo wa utoaji haki kuoza

Tukio la Bwana Hamza kuwapiga polisi risasi ni matokeo ya mfumo wa utoaji haki kuoza

There is something went wrong ! Hamza is not a criminal but is a victim.


Hicho kichwa cha habari sio kiingereza.. Grammar fake, unaaibisha wahaya. Uwe unaandika kiswahili tu.
Huyo siyo muhaya, hakuna muhaya wa hivyo.
 
Nilikuwa nasikiliza wimbo wa Bob Marley unaitwa Johnny was! Yes Johnny was a good man so is Hamza ! Wore wawili wameuwawa na bullets by the system! Bob aliimba, Woman hold her hands and cry as her son has been shot down in the street and die, just because of the system! She cry!! I know Johnny was a good man!!! Just like Hamza was!! Nna wajua polisi vizuri Sana, mnakumbuka kesi ya Zombe? Ndo haya Sasa! Hamza was a good Man!!
She cry! [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Ila nyie kingereza ni kigumu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Tusubiri taarifa rasmi ya polisi.

Hizo story za mitaani hazitujengi kama taifa bali zinatuparaganisha!
Mkuu utakuwa unatania, yaani watu wasubiri taarifa ya polisi kama ile ishu Mo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Stori kwamba huyu jamaa alidhulumiwa ni stupid kabisa.

Kama alizulumiwa, kaua polisi 2 pale mataa, si angerudi tu nyuma kidogo kuna kituo cha polisi Salenda angeenda kuwakuta wengi tu, alikua anafuata nini ubalozi wa ufaransa?

Kama alikua anataka polisi walikuwepo pale stanbic bank, nyuma kidogo ubalozi wa urusi wamejaa, nyuma yake kidogo salenda polisi post, ubalozini alikua anafuata nini?

Ni watu kutaka ku twist hii habari ila ukweli ni kwamba huyu jamaa ni gaidi, ni mfia dini na sasa hivi yuko na mabikra 72 wanamzunguma wanamshika shida anawapiga mashine non stop kama dini inavyosema.
Unatakiwa uwahi kituo cha polisi karibu yako kutoa ushahidi .tusaidie tafadhali.
 
Hamza kaonyesha mfano kwa vitendo
Kama yule kijana wa Tunisia baada ya kunyang'anywa hela zake na kunyanyaswa na polisi kila siku , akaamua kujichoma moto
Lakini moto wake uliofatia hapo ni mpaka Raisi kakimbia nchi
Tanzania kuna watu wengi ambao maisha ni ya duni na pia kupitia manyanyaso ya polisi au maafisa wa serikali ambao hawana cha kupoteza hata akifa na mpaka huamua kujitia kitanzi,
Sasa huyu Mwamba Hamza kafungua ukurasa mpya..........au labda ni exceptional case kwa roho yake kisomali inayojulikana kutokubali kuonewa kijingajinga
Watanzania bado ni mafisi hata anyanyaswe vipi anaona hio ni sawa kwa hali ya maisha yake kwa vile yeye ni masikini............
 
Tunaposema CCM ni chanzo na Magonjwa umasikini maradhi na
Hamza Hassan Mohammed ni mwanachama wa CCM kutoka Upanga Magharibi na ni mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM wilaya ya Ilala, ambaye ameshiriki hadi kampeni za kumuombea kura JPM mikoa kadhaa mwaka 2020.

Tetesi zilizopo ni kwamba Bwana Hamza amelipiza kisasi baada ya kudhulumiwa madini yake na Polisi kwani ni mfanyabiashara wa madini.

Tukio la leo linahitaji tume huru ya uchunguzi.Jeshi la polisi linalijua tukio hili nje ndani na halitaweza kujichunguza.

Inasemekana kuwa taarifa zilizotolewa na family member ni kuwa tukio limesababishwa na kisasi. Dhuluma ndiyo sababu ya kisasi.

Bwana Hamza amechukua sheria mikononi kwa kuwa misingi ya haki katika nchi kwa sasa imefikia kileleni katika kuoza.Polisi wako busy katika kudhulumu watu,kupora mali za uma na kuitumikia CCM badala ya kuwatumikia wananchi.

Nategemea kuona matukio mengi ya watu kuchukua Sheria mikononi yakiongezeka kwa kuwa mamlaka za haki zimegeuka kuwa mamlaka za kukandamiza haki.

R.I.P HAMZA. Dhahabu zako wamechukua na Uhai wako Pia.

View attachment 1908628View attachment 1908629View attachment 1908630View attachment 1908631View attachment 1908632

View attachment 1908644

Hamza Hassan Mohammed ni mwanachama wa CCM kutoka Upanga Magharibi na ni mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM wilaya ya Ilala, ambaye ameshiriki hadi kampeni za kumuombea kura JPM mikoa kadhaa mwaka 2020.

Tetesi zilizopo ni kwamba Bwana Hamza amelipiza kisasi baada ya kudhulumiwa madini yake na Polisi kwani ni mfanyabiashara wa madini.

Tukio la leo linahitaji tume huru ya uchunguzi.Jeshi la polisi linalijua tukio hili nje ndani na halitaweza kujichunguza.

Inasemekana kuwa taarifa zilizotolewa na family member ni kuwa tukio limesababishwa na kisasi. Dhuluma ndiyo sababu ya kisasi.

Bwana Hamza amechukua sheria mikononi kwa kuwa misingi ya haki katika nchi kwa sasa imefikia kileleni katika kuoza.Polisi wako busy katika kudhulumu watu,kupora mali za uma na kuitumikia CCM badala ya kuwatumikia wananchi.

Nategemea kuona matukio mengi ya watu kuchukua Sheria mikononi yakiongezeka kwa kuwa mamlaka za haki zimegeuka kuwa mamlaka za kukandamiza haki.

R.I.P HAMZA. Dhahabu zako wamechukua na Uhai wako Pia.

View attachment 1908628View attachment 1908629View attachment 1908630View attachment 1908631View attachment 1908632

View attachment 1908644

CCM ni chanzo cha umasikini TZ, maradhi na ujinga, kama kilivyoshindwq kuleta mageuz in 60 yrs hivo hivo hata kikipewa 200 yrs hakitoweza
 
Back
Top Bottom