Tukio la Bwana Hamza kuwapiga polisi risasi ni matokeo ya mfumo wa utoaji haki kuoza

There is something went wrong ! Hamza is not a criminal but is a victim.


Hicho kichwa cha habari sio kiingereza.. Grammar fake, unaaibisha wahaya. Uwe unaandika kiswahili tu.
Huyo siyo muhaya, hakuna muhaya wa hivyo.
 
She cry! [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Ila nyie kingereza ni kigumu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Tusubiri taarifa rasmi ya polisi.

Hizo story za mitaani hazitujengi kama taifa bali zinatuparaganisha!
Mkuu utakuwa unatania, yaani watu wasubiri taarifa ya polisi kama ile ishu Mo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unatakiwa uwahi kituo cha polisi karibu yako kutoa ushahidi .tusaidie tafadhali.
 
Hamza kaonyesha mfano kwa vitendo
Kama yule kijana wa Tunisia baada ya kunyang'anywa hela zake na kunyanyaswa na polisi kila siku , akaamua kujichoma moto
Lakini moto wake uliofatia hapo ni mpaka Raisi kakimbia nchi
Tanzania kuna watu wengi ambao maisha ni ya duni na pia kupitia manyanyaso ya polisi au maafisa wa serikali ambao hawana cha kupoteza hata akifa na mpaka huamua kujitia kitanzi,
Sasa huyu Mwamba Hamza kafungua ukurasa mpya..........au labda ni exceptional case kwa roho yake kisomali inayojulikana kutokubali kuonewa kijingajinga
Watanzania bado ni mafisi hata anyanyaswe vipi anaona hio ni sawa kwa hali ya maisha yake kwa vile yeye ni masikini............
 
Tunaposema CCM ni chanzo na Magonjwa umasikini maradhi na


CCM ni chanzo cha umasikini TZ, maradhi na ujinga, kama kilivyoshindwq kuleta mageuz in 60 yrs hivo hivo hata kikipewa 200 yrs hakitoweza
 
Polisi ni mtu anaepaswa kuwa msafi asiye na doa. Ni ngumu sana polisi mwenye mawaa kutenda haki kwa raia.
.......... siyo kwa polisi au afisa yeyote wa serikali inayotawala Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…