Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

2015 nilikuwa masasi vijiji vya mpakani na msumbiji,,story kama hii nadhani nilisikia sikia kuna watu wamekufa msumbiji...pole sana mkuu
 
Bado hujamaliza tu, kukata gogo?
 
Umesahau na ukimwi mzee.
Popote palipo na machimbo ukimwi ndio nyumbani kwake.
 
Sawa mkuu

Kwanza hatuna chaguo lingine isipokuwa kuvumilia tu

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23]

Hata Mimi ninajiuliza swali hilo na amesema kwamba walipo rudi porini walikuwa wakizipekua maiti na kupata madonge ya dhahabu,Sasa hizo dhahabu hazikutosha kuwatajirisha?vinginevyo hii ni hadithi ya kutunga.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tumefanana mawazo
 
Ohooo mmnaenda kuingia kwenye vita nyingine baada ya kusurvive vita vya ugonjwa (laana)?
Aisee angalia tusije kukosa mwendelezo wa story. Hivi hakuna vituo vya ulinzi na usalama hilo eneo?
 
Poleni sana. Huyo mrundi bado yupo hapo polini?
 
Wanagombea simu ya wizi.
Alie umizwa alienda kudai ganji kuona kwa mtuhumiwa, hivyo walikosana kuelewana nakupelekea mapigano ya kawaida tu.

Mrundi alivyo ona kazidiwa akaenda kuchukua shoka, na majeuri akaenda kuchukua panga.

Hiyo ilikua asubuhi ya jana.
Kufika jioni wakakutana kila mmoja akiwa na silaha, ila mrundi aliwahi kurusha shoka lililo mpata mshikaji mbavuni.

Nakuna wengine wanadai mshikaji kapigwa kisu nasio shoka, kwani inadaiwa shoka walisha nyang'anywa.

Kwahiyo mpaka sasa sina habari kamili, maana kwenye tukio sikuwepo, na mpaka sasa sijafanikiwa kumuona mgonjwa.

Ila jamaa mpaka sasa hali yake si nzuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…