Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni marehem Dogo Chiko.
R I P
E meu deus seu.
Asua alma vai discansar em Paz.
Amen View attachment 1625139
Kaondoka Bado mdogo....R.I.PHuyo ni marehem Dogo Chiko.
R I P
E meu deus seu.
Asua alma vai discansar em Paz.
Amen View attachment 1625139View attachment 1625140
Mkuu yale maisha ya ajabu mno uwezi amini unaweza pata na usiondoke kabisa.[emoji23][emoji23][emoji23]
Hata Mimi ninajiuliza swali hilo na amesema kwamba walipo rudi porini walikuwa wakizipekua maiti na kupata madonge ya dhahabu,Sasa hizo dhahabu hazikutosha kuwatajirisha?vinginevyo hii ni hadithi ya kutunga.
Kuna mwana anaitwa kamuzu sasa hivi dereva wa magari naye huwa anatupa story za msumbiji sijui kama utakuwa unamjua alikuwaga ana duka huko yeye zile vurugu za mara ya kwanza za kuua wabongo ndo alirudigiHapana huyo anaitwa Malume.
Aliyevaa kofia nyekundu ni nani?Wamisunjo ni huyo alie jishika kichwa mwenye rasta.
Unaweza shangaa mbona kwa mbele kuna ukuta umeandikwa kiswahili, hilo lilikua duka la mbongo kabla hatujatimuliwa.
Hapo ni Nanhupo.View attachment 1625136
Ulimpenda sana?Huyo ni marehem Dogo Chiko.
R I P
E meu deus seu.
Asua alma vai discansar em Paz.
Amen View attachment 1625139View attachment 1625140
Aah ana udogo gani?Kaondoka Bado mdogo....R.I.P
Hapo mna hirizi zenu viunoniWanaume kazini. View attachment 1625144
Asiejua maana haambiwi maana.... Asante kwa kunielewaAah ana udogo gani?
Kesho nitanunua hiyo energy drink dragon Kisha nitaipiga nipo kwa marehem babu mzee madiba ili huyo anaebisha ajiridhishe vizuriInge kua mchana ning'e nunua nilipige picha kopo la dragon kisha nikutumie.
Hii inatoka kwa Madiba.
Papaa gx ana ban ya maisha [emoji3][emoji3][emoji3]Ahaaaa, wekibonde wa Cheltako.
Mpe HI PAPAA GX.
Ni mdogo wangu ambae alikua hapingi.Ulimpenda sana?
Kwanini?