Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

Basi siku ya sita sikuoga ile dawa na nilishadharau, natoka seminar room (kwa mliosoma au mnaopafahamu Udsm ukishamaliza vimbweta vya hapa chini ya UDLS ili nivuke barabara kwenda hall 1) nikamuona yule mzee mbele yangu kama mita 30 hivi amesimama akiniangalia. Aisee nilitimuwa mbio kurudi SR nikawa napishana na wenzangu wanaorudi hostel, wengi waliniona kama nimechanganyikiwa, kufika SR niliyokuwa ninajisomea nikaingia na kujikausha huku nikitetwa. Rafiki zangu ambao niliwaacha wakanishangaa vipi mbona umerudi na ulisema hujisikii kusoma leo? Nikawaambia nawasubiri mmalize twende wote. Nikawa nasali kimoyo moyo na kunuia yale maneno aliyotuambiaga shekhe. Nilirudi SR kwasababu kuna room mate wangu wawili kwahiyo wakati wakutoka tutaongozana pamoja kwa moja mpaka room. Nikampigia simu mzee na kumweleza, pia nikampigia na shekhe. Shekhe akaniambia nisiogope kwasababu ameshadhibitiwa yule hawezi kunifanya chochote hata nikimwona tena niseme tu yale maneno na kesho niende kwake.
Nikampigia simu mdogo wangu kama kuna kitu kimemtokea, akanijibu hakuna chochote na anafurahia kesho yake anamalizia Ile dawa. Nikamwambia mi sijaoga Ile dawa na nimemuona yule mzee akiniangalia kwahiyo aombe ili lisije linamtokea huko nyumbani maana yeye ndiye aliileta Ile pete ingawa mawazo ya kuiuza nilitoa mimi.
Story yako inaboa Bora ungeanzisha tu Uzi wako
 
Hivyo vitu vitatu hata ktk Maisha ya kawaida ukiachilia Mbali Machimboni.. havifai kbs.. hasahasa Pombe na wanawake..

Hivyo vitu vitatu hata ktk Maisha ya kawaida ukiachilia Mbali Machimboni.. havifai kbs.. hasahasa Pombe na wanawake.. Laana.
Imeandikwa katika Biblia Kitabu cha Hosea 4:11 "Uzinzi na divai na divai mpya huondoa fahamu za wanadamu."

Ndugu unayesoma ujumbe huu nakuomba ikimbie dhambi ya uzinzi/Uasherati, pamoja na Ulevi (divai) jitenge mbali na dhambi hiyo na usifanye dhambi hiyo tena.
Mpokee YESU KRISTO Mwokozi kwa upya, utubu na utengeneze na MUNGU
 
hahahahahahahahaaa mkuu naona umekusudia kunivunja mbavu tena.....yan scene ya huyo kamanda kufunua kwenye neti eti aingie na yeye imenichekesha sana.....halafu nimevuta taswira jamaa alivyomdandia mdogo wake aisee...

Mie pia nilicheka sana.... pale aliposema izo kelele walopiga hazikuwa na mfano.Mie kwenye matukio ya hatari hata sauti huwa siipati, hapo sanasana ningejiziba uso tu nikasubiri khatma [emoji1787]
 
Nitamalizia baadae, kimebaki kisehemu kidogo tu. Sijaona kama hii stori Ina sifa ya kuwa uzi maana si ndefu. Ubize tu na shuguuri za ofisi
Mkuu naomba nikuulize hivi huyo jini alikuaje?, alikua anatisha au alikua na umbo la kibinadamu (usoni)? najua umesema ulikua unamuona mzee means alikua binadamu ila usoni vipi yani alikuaje,
 
Basi siku ya sita sikuoga ile dawa na nilishadharau, natoka seminar room (kwa mliosoma au mnaopafahamu Udsm ukishamaliza vimbweta vya hapa chini ya UDLS ili nivuke barabara kwenda hall 1) nikamuona yule mzee mbele yangu kama mita 30 hivi amesimama akiniangalia. Aisee nilitimuwa mbio kurudi SR nikawa napishana na wenzangu wanaorudi hostel, wengi waliniona kama nimechanganyikiwa, kufika SR niliyokuwa ninajisomea nikaingia na kujikausha huku nikitetwa. Rafiki zangu ambao niliwaacha wakanishangaa vipi mbona umerudi na ulisema hujisikii kusoma leo? Nikawaambia nawasubiri mmalize twende wote. Nikawa nasali kimoyo moyo na kunuia yale maneno aliyotuambiaga shekhe. Nilirudi SR kwasababu kuna room mate wangu wawili kwahiyo wakati wakutoka tutaongozana pamoja kwa moja mpaka room. Nikampigia simu mzee na kumweleza, pia nikampigia na shekhe. Shekhe akaniambia nisiogope kwasababu ameshadhibitiwa yule hawezi kunifanya chochote hata nikimwona tena niseme tu yale maneno na kesho niende kwake.
Nikampigia simu mdogo wangu kama kuna kitu kimemtokea, akanijibu hakuna chochote na anafurahia kesho yake anamalizia Ile dawa. Nikamwambia mi sijaoga Ile dawa na nimemuona yule mzee akiniangalia kwahiyo aombe ili lisije linamtokea huko nyumbani maana yeye ndiye aliileta Ile pete ingawa mawazo ya kuiuza nilitoa mimi.
Jimena
mkuu hii story yako ni comedy tosha..
 
Mkuu naomba nikuulize hivi huyo jini alikuaje?, alikua anatisha au alikua na umbo la kibinadamu (usoni)? najua umesema ulikua unamuona mzee means alikua binadamu ila usoni vipi yani alikuaje,
majini wana uwezo wa kujibadili sura kuwa nyoka, binadamu, paka, mbwa mweusi n.k lakini kwa umbo lake humuoni kamwe..
 
hahahaha thubutu yako.....usubiri hatma na unamuona mzee anapangusa miguu anapanda kitandani acha utani wewe...
Mie pia nilicheka sana.... pale aliposema izo kelele walopiga hazikuwa na mfano.Mie kwenye matukio ya hatari hata sauti huwa siipati, hapo sanasana ningejiziba uso tu nikasubiri khatma [emoji1787]
 
Back
Top Bottom