Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

Dah story yako ni ya kwel. Mm naish Cabo del gado. Baada ya kumaliza chuo SAUT 2015 coz ya education nilipitia maisha magum sana kulingana na background yang so nkajiingiza kwenye biashara ndogo ndogo hatimae 2019 mwez wa 6 nkafika mozambique. Hapo nikiwa na ml 5 sawa na MT 160000 ya huku. Nkaanza kununua gold kwa wachimbaji nauza Jimbo la nampula ambako soko nizur, sometimes Pemba, Tz pia. Now na mshukuru Mung sana maake pamoja na degree yang hata ningepata ajira nisingekua na mtaji mkubwa huu nilio nao kwa sasa. Nauwezo wakuchagua niishi wapi na ni furahie vp na nmekua msaada kwa ndg hata na marafk zang. Ml 100 huku usipokua mlevi na mvivu ni suara la mwaka tu mambo yakikunyokea ukianza na mtaji tajwa hapo juu. So kwa story hii nikwel coz eneo hlo now watu wanaliita MOCHWARI coz mifupa ya watu kitu cha kawaida eneo hlo n hakuna anaejar. Mtu anajar kilichofikisha huku sio anachokutana nacho mtu mwingne. Mtoa maada ntakutafta tuonane. MAPAMBANO YA NAENDELEA
Mkuu nipe muongozo Mimi mwenyewe nimegraduate mwaka huu sioni mbelee
 
Sijajua kwa upande huo sijabahatika kuwajua jamii hizo, hata hawa huwa mara nyingi wanalalamika kuvamiwa na majini wa baya kwenye ngome yao na kutokea vita baina yao.
Naunga mkono hoja zako kuwa ni kweli wapo majini wazuri wacha Mungu na wengine wabaya. Nilishapiga stori na mmoja akiwa ndani ya mwili mwa mtu aliyepandisha majini. Alikua mpole japo wenzake wawili ndio walikua waleta fujo.
Wana uwezo mkubwa sana hawa viumbe. Aliniambia mambo mengi ya ajabu kuhusu uso wa hii dunia, sisi tunaona juujuu tu.
Nakumbuka aliniambia anifunulie nione ya dunia kwa muda lakini alinipa sharti la kutokuogopa wala kushituka, kusikia hizo habari za masharti nikamwambia acha tu nibaki kujua hayahaya nayoona hayo mengine yasiyoonekana kwa macho ya nyama tuachane nayo.
 
DADECK. ..

Nilikua nauchukulia poa huu Uzi, maana nilisomaga post ya kwanza post ya pili nikaitafuta wee nikaikosa so nikaamua kuachana nao, Leo nimesoma wooote. MAZEE hii dunia ni zaidi ya ujuavyo nimesoma hapo mikasa ya majini n.k daaaah moyo umeingia baridi sana.

Sisi watoto wa maskani tunaona kama movie vile lakini kiukweli watu mmepitia msoto. Binafsi sijawai kuona mchawi wala jini.

scenario ya kichawi ninayo kumbuka labda kukututana na vitu njia panda vimepasuliwa, picha linaanza nimeamka nawai shule Mimi na dogo flani mida ya asubui tayari jua limechomoza tumefika njia panda tukakuta mayai, Nazi na vitu vingine vimepasuliwa pia kulikua na shilingi kama 20 zilikua nyingi nyingi, so watu walikua wanapita wanaogopa nilipofika na yule dogo tukachukua zile chenchi zilizokuepo (zile shillingi 20)....Siku hiyo ilikua murua tulikula mandazi na barafu za kutosha pale Pamba primary......kila Siku tulikua tunapita hiyo njia tuone nani mwingine ataweka hela hapo.

Scenario ya pili nilipokua Chuo na mshikaji wangu tumetoka club, pikipiki ikaogopa kuendelea so tukaamua tutembee kwa mguu mida ya saa 9 kasoro usiku, kwa mbele njia panda tukamuona mtu hivi so kwasababu kulikua kuna vichaka tukapitia vichakani huku tunanyata. Dah kumbe alikua ni mwanamke anaoga alikua anapasua na nazi kitu kama hicho, mshikaji wangu akanambia hapa tusiondoke tuangalie mpaka mwisho (nadhani lile umbo la Yule mama lilichanganya). Daah kwa upande wangu nilitamani nimuibukie yule mwanamke pale sema uoga pia ulichangia, alimaliza mambo yake akasepa na sisi tukasepa nikaenda kupiga nyeto kwa kupitia taswira ya yule mwanamke.

Scenario ya tatu nimemaliza kucheck movie Nipo geto nataka kulala (nilipokua Chuo ) Mara nasikia juu ya bati kishindo Mara paka wanalia nje nikaona huu ni udwanzi, nilikua na Panga langu nikatoka nalo nje nikaanza kujiongelesha huku nikiwa nimejaa uoga ""oyaa acheni ungese kama mnajiweza jitokezeni tukutane" nikarudi ndani huku uoga umejaa nikasali nikalala sikuwai kusikia tena mpaka nimegraduate.

Kitu ambacho Baba alinambia katika maisha kuna nguvu mbili zina operate ni Nuru pamoja na Giza it depend na wewe huko wapi lakini vyote vinanguvu na vinafanya kazi.

Kuna kipindi mzee wangu alinihadhitia tulipokua wadogo aliamka asubui akakuta mtu kapasua Nazi mlangoni pamoja na karatasi ina maandishi ya kiarabu hakuwaza wala hakujipa time kufatilia tafsiri yake, alichoma hicho kikaratasi then akapiga ombi na mpaka leo anadunda na anao uwezo wa kufanya mambo yake ya maendeleo.

Mwisho, nitaogopa usiku nikikutana na mwizi au jambazi maana nitatumia akili nyingi kumzuia physically na sijui amebeba nini, ila siwezi muogopa mchawi maana yeye awezi kukupiga anafanya kunitisha . Ikitokea siku endapo nikipigwa kofi na mchawi na nisione kofi limetokea wapi hapo ndipo nitatoka barutiiiiiiii....
Nahisi hiyo njia panda uliyopata sarafu ni ile ya MBUGANI PRIMARY nyuma ya Thaqaafa au ni nyingine?
 
Naunga mkono hoja zako kuwa ni kweli wapo majini wazuri wacha Mungu na wengine wabaya. Nilishapiga stori na mmoja akiwa ndani ya mwili mwa mtu aliyepandisha majini. Alikua mpole japo wenzake wawili ndio walikua waleta fujo.
Wana uwezo mkubwa sana hawa viumbe. Aliniambia mambo mengi ya ajabu kuhusu uso wa hii dunia, sisi tunaona juujuu tu.
Nakumbuka aliniambia anifunulie nione ya dunia kwa muda lakini alinipa sharti la kutokuogopa wala kushituka, kusikia hizo habari za masharti nikamwambia acha tu nibaki kujua hayahaya nayoona hayo mengine yasiyoonekana kwa macho ya nyama tuachane nayo.
Mkuu, tutashukuru sana ukituwekea hayo mambo ya ajabu aliyokwambia kuhusu uso wa dunia ili tujifunze kama story za wengine
 
Naunga mkono hoja zako kuwa ni kweli wapo majini wazuri wacha Mungu na wengine wabaya. Nilishapiga stori na mmoja akiwa ndani ya mwili mwa mtu aliyepandisha majini. Alikua mpole japo wenzake wawili ndio walikua waleta fujo.
Wana uwezo mkubwa sana hawa viumbe. Aliniambia mambo mengi ya ajabu kuhusu uso wa hii dunia, sisi tunaona juujuu tu.
Nakumbuka aliniambia anifunulie nione ya dunia kwa muda lakini alinipa sharti la kutokuogopa wala kushituka, kusikia hizo habari za masharti nikamwambia acha tu nibaki kujua hayahaya nayoona hayo mengine yasiyoonekana kwa macho ya nyama tuachane nayo.
Huyo jini Angekuwa mzuri angemuacha huyo mtu huru. Aende Yeye kwa majini wenzake. Kitendo cha kumkalia huyo mtu ni uvamizi na uharamia
 
Huyo jini Angekuwa mzuri angemuacha huyo mtu huru. Aende Yeye kwa majini wenzake. Kitendo cha kumkalia huyo mtu ni uvamizi na uharamia
Hilo usemalo ni kweli na nilimuuliza huyo jini na alisema yeye pia hapend kukaa kwa mtu huyo sababu anaumia lakini analazimishwa kukaa kwake sababu akikataa wale wanaomtuma wanampiga, kumtesa na kumpa adhabu kali. Kwa hiyo anaona ponapona yake ili asiuawe ni yeye kukaa humo.
 
Jamaa kanifurahisha pale walipoingia dukani wakamukuta jamaa kafa na dhahabu aliyoificha ktk kifungashio cha shingoni. Wakamalizia kusomba Dragon wakati pombe ni haramu huko matandani.
Dragonj sio pombe ni energy drink sawa na Azam energy
 
Basi alivyotoka hapo aliingia upande wa kushoto wa hilo korongo akapitiwa na usingizi kidogo kuja kushtuka tayari kumeshakucha,akiwa anatafakari nini cha kufanya akaiona boti zile za wavuvi ikabidi aombe msaada,wakamleta mpk eneo 1 linaitwa timbuktu lkn kumbuka alikua ameficha hizo dhahabu kiuoni lkn ile amefika tu akashangaa kukuta zimegeuka kua shanga/chachandu.

Itaendelea maana kuna maporomoko yametokea hapa shimoni tuko tunaokoa watu.
[emoji38][emoji38]
 
Basi alivyotoka hapo aliingia upande wa kushoto wa hilo korongo akapitiwa na usingizi kidogo kuja kushtuka tayari kumeshakucha,akiwa anatafakari nini cha kufanya akaiona boti zile za wavuvi ikabidi aombe msaada,wakamleta mpk eneo 1 linaitwa timbuktu lkn kumbuka alikua ameficha hizo dhahabu kiuoni lkn ile amefika tu akashangaa kukuta zimegeuka kua shanga/chachandu.

Itaendelea maana kuna maporomoko yametokea hapa shimoni tuko tunaokoa watu.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndio maana nimeshangaa kuona utofauti mkubwa sana na story zilivyokuwa kuwahusu ndio nikagundua ni ngumu kujua jamii zao zote sikuwahi jua kuwa kuna wasio ogopa au kuchukia kitimoto, kuingia kanisani nk na mchungaji Muongo watakwambia pale pale huyu muongo ukifatilia ni kweli nazani alieumba ndie anaelewa vizuri uumbaji wake...Hao walokole ambao sio feki washafika na feki pia dunia ni pana ni jibu nililobaki nalo.Wanapoishi ni kwenye ngome yao sijajua mazingira gani sababu siwezi fika huko ila najua wanakula matunda na vyakula vya kawaida
Mkuu nimekufuatilia masimulizi yako kuhusu majini unayoshirikiana nayo napata maswali mengi sana,

1.Faida ya kushirikiana nayo wewe ni ipi?wewe unapata faida gani na wao wanapata faida gani?
2.Wanamzunguziaje Yesu?je wanamfaham?
3.Umesema unasali na unapata maono kupitia Mungu,Je ulipomuuliza kuhusu hao viumbe alikujibu nini?
4.Hizo sauti unazikia wewe tu? je sio kwamba wewe ndio upo 'Possesed' na majini

Asante
 
Beautiful...
Dah story yako ni ya kwel. Mm naish Cabo del gado. Baada ya kumaliza chuo SAUT 2015 coz ya education nilipitia maisha magum sana kulingana na background yang so nkajiingiza kwenye biashara ndogo ndogo hatimae 2019 mwez wa 6 nkafika mozambique. Hapo nikiwa na ml 5 sawa na MT 160000 ya huku. Nkaanza kununua gold kwa wachimbaji nauza Jimbo la nampula ambako soko nizur, sometimes Pemba, Tz pia. Now na mshukuru Mung sana maake pamoja na degree yang hata ningepata ajira nisingekua na mtaji mkubwa huu nilio nao kwa sasa. Nauwezo wakuchagua niishi wapi na ni furahie vp na nmekua msaada kwa ndg hata na marafk zang. Ml 100 huku usipokua mlevi na mvivu ni suara la mwaka tu mambo yakikunyokea ukianza na mtaji tajwa hapo juu. So kwa story hii nikwel coz eneo hlo now watu wanaliita MOCHWARI coz mifupa ya watu kitu cha kawaida eneo hlo n hakuna anaejar. Mtu anajar kilichofikisha huku sio anachokutana nacho mtu mwingne. Mtoa maada ntakutafta tuonane. MAPAMBANO YA NAENDELEA
 
Nimesoma tangu mwanzo wa uzi na comment zake zote 1,500+,Uzi unasisimua sana.

Niwashukuru wadau wote humu nikianza na Kitoabu ,Mbwichichi na fyddell kwa simulizi zao,hakika zina mafunzo mengi na niwape pole pia kwa waliyoyapitia katika harakati za kutafuta maisha

Pia niwashukuru wachangiaji wote kwa namna moja au nyingine waliendelea kuchangamsha Uzi kwa kuuliza maswali au kujibu hoja mbalimbali wakati wasimuliaji wakuu wakiwa wameenda kuoga na majukumu mengine[emoji3]
Hapa nitawaja Kazakh destroyer,Angel Nylon na nicksonmoses na wachangiaji wote kwa ujumla wenu.

Bila kusahau wale waliokuwa wakiamsha amsha wasimuliaji kuleta muendelezo bila kuchelewa wakiongozwa na Jimena na hata wale waliojitolea kuzama PM kuwatisha au kuwabembeleza[emoji3]kwa namna yeyote ile,juhudi zao zimezaa matunda,naomba wakaze kidogo bado fyddell tunamdai episode za mwisho.

Ahsanteni[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Mkuu nimekufuatilia masimulizi yako kuhusu majini unayoshirikiana nayo napata maswali mengi sana,

1.Faida ya kushirikiana nayo wewe ni ipi?wewe unapata faida gani na wao wanapata faida gani?
2.Wanamzunguziaje Yesu?je wanamfaham?
3.Umesema unasali na unapata maono kupitia Mungu,Je ulipomuuliza kuhusu hao viumbe alikujibu nini?
4.Hizo sauti unazikia wewe tu? je sio kwamba wewe ndio upo 'Possesed' na majini

Asante
1)Faida ni kama kubadilishana mawazo,ufahamu,kusaidiana kwenye matatizo na furaha.

2)Yesu wanamfahamu,wanamzungumzia kama nabii anaefuatwa na watu walioamua kumfuata ikiwemo sisi na wanatambua makanisa kama nyumba za ibada, hawana ufahamu mkubwa sababu ya imani yao ni islamic.

3)Mara zote nilizomshirikisha Mungu hakunionesha hatari katika hilo,ndio maana mara zote naamini katika mipango yake maana ukomo wetu wa kufikiri uwezo wake huanzia hapo kujiinua.

4)Sauti hata wewe unaweza kuisikia maana hutumia kinywa cha mke wangu kuzungumza na sio nasikia peke yangu.

Sent from my Infinix X573S using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom