Tukio moja la mwisho: Vikongwe majambazi waliotikisa dunia ya uhalifu

Tukio moja la mwisho: Vikongwe majambazi waliotikisa dunia ya uhalifu

kifaa cha kusukuma kabati ya tani kumi kilipita je mpaka kwenye basement maana yaonekana njia ya kufika huko ilikuwa nyembamba?
 
wakiwepo wawili kaam hawa Tz sijui itakuwaje?
 
Naomba uwe unani'tag mkuu, The bold.
Upo vizuri mnooo
 
Na mkate [emoji120]
Samahani mkuu, kule kwenye story yako ya KUNGURU WEUSI umedirect kuwa episodes flani kuanzia ya tisa zinapatikana kwenye posti za namba fulani. Sasa mimi ni mgeni kidogo na sifahamu namna ya kuzitrace namba za hizo posi, naomba msaada wako
 
Safi Sana Mkuu The Bold
Makala Nzuri Imetulia Sana
Kazi Imeandaliwa Vema Mpangilia Uko Sawa Haichoshi Kuisoma Pia Inavutia Kujua Mstari Wa Pili Kuna Nini Kizuri Zaidi
 
hahahaaa kumbe tukikua juzi tukio lenyewe limetokeajuzi kati tu mie nlikua nshazaliwa

ila uyo mkorofi Basil simpatii picha nina wasiwasi ana miaka 87 si unajua utu uzima dawa 🙂🙂😀
 
Aisee Hatari sana...hivi hizi mambo bongo haziwezekani
 
Mkuu kumbukumbu zangu zinanambia tayari upo kwenye taglist... Anyways nimekuongeza tena kwenye taglist
Wabongo bhaana,yaan kila mtu anahitaji tag..! Hii tag list nayo si itakuwa thread nzima? Yaan hata hawakuhurumii muda unaotumia kuandika,bado kila mtu anataka um-tag. Nchi ngumu sana hii....
 
Wabongo bhaana,yaan kila mtu anahitaji tag..! Hii tag list nayo si itakuwa thread nzima? Yaan hata hawakuhurumii muda unaotumia kuandika,bado kila mtu anataka um-tag. Nchi ngumu sana hii....
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Mali iliyoibiwa haijapatikana vipi tena? Kwahyo Kenny alikua radhi kuwachoma wenzie na wote kwa pamoja wakagoma kuzungumzia hilo
 
Back
Top Bottom