Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maswali ni mengi aiseekifaa cha kusukuma kabati ya tani kumi kilipita je mpaka kwenye basement maana yaonekana njia ya kufika huko ilikuwa nyembamba?
Samahani mkuu, kule kwenye story yako ya KUNGURU WEUSI umedirect kuwa episodes flani kuanzia ya tisa zinapatikana kwenye posti za namba fulani. Sasa mimi ni mgeni kidogo na sifahamu namna ya kuzitrace namba za hizo posi, naomba msaada wakoNa mkate [emoji120]
Hahaa unaenda kuwashikawatanikoma na hii maake bado hawajui napataga wap story ka hizi
Wabongo bhaana,yaan kila mtu anahitaji tag..! Hii tag list nayo si itakuwa thread nzima? Yaan hata hawakuhurumii muda unaotumia kuandika,bado kila mtu anataka um-tag. Nchi ngumu sana hii....Mkuu kumbukumbu zangu zinanambia tayari upo kwenye taglist... Anyways nimekuongeza tena kwenye taglist
[emoji2] [emoji2] [emoji2]Wabongo bhaana,yaan kila mtu anahitaji tag..! Hii tag list nayo si itakuwa thread nzima? Yaan hata hawakuhurumii muda unaotumia kuandika,bado kila mtu anataka um-tag. Nchi ngumu sana hii....
yeah nmepata cha kuwashika aseeHahaa unaenda kuwashika