machiaveli
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 2,225
- 5,055
Kwani ukila mapaja unakua harakaWatoto wanayahitaji hayo mapaja ya kuku kuliko wewe, si wanakua?
Wewe si utakula tu huko mtaani...
Wala hata sio jambo la uanaume wala nini, ni utu tu
Si umeona mkeo japokuwa hajakutengea kawapa watoto na sio kula yeye? Unadhani kawaza nini?
Legeza bwana😅
watoto wanahitaji protein ili wakue vizuriKwani ukila mapaja unakua haraka
Protini wataikuta kwenye kipapatio,watoto wanahitaji protein ili wakue vizuri
mrisho mpoto alisemaga😅
Kyagata umeshinda kwenye ajira saiv mapenzi tena mkuuWakuu Bwana Yesu asifiwe!
Ebana kuna issue inanitatiza halafu nimeshindwa kuizungumza kwa mhusika ambae ni wife nikaona nitafute kwanza mawazo humu.
Issue nzima iko hivi, ninavyojua kwa mila na ustaarabu wa kiafrika endapo itatokea familia ikachinja kuku basi baba ndiye mwenye kustahili kula mapaja ya kuku.
Sasa hapa kwangu sielewi wife ananichukuliaje,yani kila kuku akichinjwa basi mimi father house ntalichwa vipapatio na vitoto vyangu viwili vya kiume vyenyewe ndio vinawekewa mapaja.hii kitu wakuu inanishangaza kidogo as iko kinyume na mila na desturi za kiafrica.
Wife yeye kwao walikua ni mambo safi hivyo nadhani hawakua watu wa kujali vitu hivyo vidogo vidogo ndio maana anaona ni sawa tu mimi Baba kula vipapatio.
Wakuu,nitumie mbinu gani kumfikishia ujumbe kuwa siridhishwi na kulishwa vipapatio?
Nikiwa na mwanangu toka alipoanza kujua kula mpaka leo ana miaka 17 mimi namuachiaga ale mapaja ya kuku tena Yale yanaitwa robo kukuWakuu Bwana Yesu asifiwe!
Ebana kuna issue inanitatiza halafu nimeshindwa kuizungumza kwa mhusika ambae ni wife nikaona nitafute kwanza mawazo humu.
Issue nzima iko hivi, ninavyojua kwa mila na ustaarabu wa kiafrika endapo itatokea familia ikachinja kuku basi baba ndiye mwenye kustahili kula mapaja ya kuku.
Sasa hapa kwangu sielewi wife ananichukuliaje,yani kila kuku akichinjwa basi mimi father house ntalichwa vipapatio na vitoto vyangu viwili vya kiume vyenyewe ndio vinawekewa mapaja.hii kitu wakuu inanishangaza kidogo as iko kinyume na mila na desturi za kiafrica.
Wife yeye kwao walikua ni mambo safi hivyo nadhani hawakua watu wa kujali vitu hivyo vidogo vidogo ndio maana anaona ni sawa tu mimi Baba kula vipapatio.
Wakuu,nitumie mbinu gani kumfikishia ujumbe kuwa siridhishwi na kulishwa vipapatio?
Kuku ni kuku tu jogoo jina.Ajengewe mnara wife wako 🤣🤣kuku ni kuku tu
Hakika umaskini ni mbaya sana, ktk kukua kwangu japo sijazaliwa familia bora, sikuwai sikia mzee analalamikia msosi, tena utaratibu ulikuwa watoto kwanza ndo wanapakuliwa msosi watu wazima wanakuwa wa mwisho,Umasikini mmbaya sana