machiaveli
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 2,225
- 5,055
Mambo ya kushindana na watoto na mapaja ya kuku ni utoto! Waache wale
Halafu mwanaume unakujaje nyumbani haujapitia mahali ukala kitu yako maana wewe ndio jembe la kazi
Unakuja uko NUSU tumbo ukija home unagusagusa tu kilichobaki unawajazia
Halafu mwanaume unakujaje nyumbani haujapitia mahali ukala kitu yako maana wewe ndio jembe la kazi
Unakuja uko NUSU tumbo ukija home unagusagusa tu kilichobaki unawajazia