Tukipika kuku nyumbani, mimi nalishwa vipapatio, vitoto vyangu vya umri wa miaka 5 na 8 ndio vinalishwa mapaja. Je, hii ni sahihi wakuu?

Tukipika kuku nyumbani, mimi nalishwa vipapatio, vitoto vyangu vya umri wa miaka 5 na 8 ndio vinalishwa mapaja. Je, hii ni sahihi wakuu?

Mambo ya kushindana na watoto na mapaja ya kuku ni utoto! Waache wale
Halafu mwanaume unakujaje nyumbani haujapitia mahali ukala kitu yako maana wewe ndio jembe la kazi
Unakuja uko NUSU tumbo ukija home unagusagusa tu kilichobaki unawajazia
 
Wakuu Bwana Yesu asifiwe!

Ebana kuna issue inanitatiza halafu nimeshindwa kuizungumza kwa mhusika ambae ni wife nikaona nitafute kwanza mawazo humu.

Issue nzima iko hivi, ninavyojua kwa mila na ustaarabu wa kiafrika endapo itatokea familia ikachinja kuku basi baba ndiye mwenye kustahili kula mapaja ya kuku.

Sasa hapa kwangu sielewi wife ananichukuliaje,yani kila kuku akichinjwa basi mimi father house ntalichwa vipapatio na vitoto vyangu viwili vya kiume vyenyewe ndio vinawekewa mapaja.hii kitu wakuu inanishangaza kidogo as iko kinyume na mila na desturi za kiafrica.

Wife yeye kwao walikua ni mambo safi hivyo nadhani hawakua watu wa kujali vitu hivyo vidogo vidogo ndio maana anaona ni sawa tu mimi Baba kula vipapatio.

Wakuu,nitumie mbinu gani kumfikishia ujumbe kuwa siridhishwi na kulishwa vipapatio?
Kyagata umeshinda kwenye ajira saiv mapenzi tena mkuu
 
Suala la mgawanyo wa ulaji wa kuku kwa familia yenye baba itifaki lazima izingatiwe mdau yupo sahihi

Kwa mfano sisi baba yetu anapewa hayo mapaja lakin yeye hashobokei sana mamisosi anatuita anatugea lakini mama haachi kumpa hiyo mipaja na firigisi kwani ndio kawaida

Hata mm nimeoa napewa hvohvo ila nagusa tu nawapa madg kwa sababu sio mpenzi sana wa minyama
 
Wakuu Bwana Yesu asifiwe!

Ebana kuna issue inanitatiza halafu nimeshindwa kuizungumza kwa mhusika ambae ni wife nikaona nitafute kwanza mawazo humu.

Issue nzima iko hivi, ninavyojua kwa mila na ustaarabu wa kiafrika endapo itatokea familia ikachinja kuku basi baba ndiye mwenye kustahili kula mapaja ya kuku.

Sasa hapa kwangu sielewi wife ananichukuliaje,yani kila kuku akichinjwa basi mimi father house ntalichwa vipapatio na vitoto vyangu viwili vya kiume vyenyewe ndio vinawekewa mapaja.hii kitu wakuu inanishangaza kidogo as iko kinyume na mila na desturi za kiafrica.

Wife yeye kwao walikua ni mambo safi hivyo nadhani hawakua watu wa kujali vitu hivyo vidogo vidogo ndio maana anaona ni sawa tu mimi Baba kula vipapatio.

Wakuu,nitumie mbinu gani kumfikishia ujumbe kuwa siridhishwi na kulishwa vipapatio?
Nikiwa na mwanangu toka alipoanza kujua kula mpaka leo ana miaka 17 mimi namuachiaga ale mapaja ya kuku tena Yale yanaitwa robo kuku
 
Back
Top Bottom