saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,683
- 7,222
Nilisikitika kusikia walimfuata mamako wa watu anapikia wateja wake akiwa amejifungia ndani. Zanzibar haina tofauti na Korea Kaskazini. Kaanchi kadogo kakipumbavu.Holiness should be through iman not stomach, why complain to people who eat publicly if your iman is stronger than tumboo π π
UmeloaaPost post usichoke endelea kupost kitu unachokipenda
Usiachee we endelea
Wewe Pumbavu kwani umelazimishwa kuja ZanzibarWaislamu ni wanafki sana, hiyo dini yenyewe walilazimishiwa kwa jambia na mwarabu. Hakuna miafrika mipumbavu km wazanzibari kwenye dini, uislamu ni utamaduni wa waarabu. Shida wazanzibari elimu iko chini sana. Mfungo wao ndio muda wa kula zaidi. Mfungo gani watu wanamaliza wameongeza kilo?
We endelea kuna tuzo ya matusiUmeloaa
Kazana kuna tuzo ya kutukana matusiWewe Pumbavu kwani umelazimishwa kuja Zanzibar
Na kwenye elimu mmesoma upupu gani, mbona nchi yenyewe ni mpaka leo inajengewa vyoo vya msaada na masikini wanakufa kwa kukosa matibabu, hiyo elimu mnajiona mnakariri imesaidia nini
Na huo ugalatia unaoufata si ndio wameamua sasa mfira..ne kufuata utamaduni wao, mbona mnashtuka tukiwakumbusha kubarikiwa
Wewe endelea kula vumbi huko huko bongo na hiyo akili yako iliyojaa kamasiWe endelea kuna tuzo ya matusi
Alafu mimi siwezi kukutukana sababu nikikutukana ntakua kundi moja na wewe la wajinga
Wakristo Halisi hawafungi kwa msimu kama WaislamMasaa 24 yakiisha huwa hauli pia ila unakula neno la Mungu alafu unafunga siku 9 bila kula siyo?
Hakuna watu wanaokula mtaani kama wakristo katika kipindi hiki cha kwaresma au ndo huwa wanaigiza kama wanakula ila wakifika nyumbani wanajitapisha ili tusijue kama wamefunga kwakua wanafunga kisiri?
Kuhusu kula Waislam ni walafi sana kipindi hiki na siku ya IddMasaa 24 yakiisha huwa hauli pia ila unakula neno la Mungu alafu unafunga siku 9 bila kula siyo?
Hakuna watu wanaokula mtaani kama wakristo katika kipindi hiki cha kwaresma au ndo huwa wanaigiza kama wanakula ila wakifika nyumbani wanajitapisha ili tusijue kama wamefunga kwakua wanafunga kisiri?
Ungekua na akili usingejikita kwenye kuporomosha matusi we ni mjinga tuWewe endelea kula vumbi huko huko bongo na hiyo akili yako iliyojaa kamasi
Wakristo wanafunga kwa iman na sio sheria kama ilivyo kwa waislamuWakristo Halisi hawafungi kwa msimu kama Waislam
Wakristo haswa wanafinga siku yoyote pale mioyo yao inapokuwa na uhitaji wa msaada wa Mungu, naweza amua kufunga hata masaa 12 tu kwa siku 3 nikiwa na jambo la kuombea
Suala la kufunga kwa msimu na kuzuga kuacha dhambi halafu baada ya mfungo ukaendelea na dhambi zako ni UNAFIQ
Wakristo tuna mifungo yetu maalum ya kuanzia wiki, siku 30 ama siku 40. Huwa hatufungi kwa kujionesha mbele za watu kabisa.99% ya wakristo hawafungi funga yao ni kula ila usishibe
Aliye anzisha kwaresma ndiye aliye anzisha Ramadan, ndiye aliye anzisha uislam. Najua hujui kuwa uislam ni kitengo kilichozinduliwa huko Vatican kwa maslahi ya Vatican.ndio maana hata hiyo kwaresma haieshimiwi duniani kote kwasababu hawafungi
Freedom of SpeechTuache kila mtu afanye kile anaona ni sahihi kulingana na mafundisho ya Dini yake,si afya kuanza kujadili imani isiyokuhusu ni fujo tu
Turuhusu Freedom of speechMbona unapenda sana udini mzee?
Kwani kwa kutumia upeo wako wa kawaida unashindwa kung'amua aina fulani za mada nikianzisha zitaleta kurushiana maneno watu wa imani tofauti?!
Yaani mada zako za kidini dini sijui una matatizo gani?!
Kufunga sio kushinda bila kula.tujadiliane sio conclusive statement, Well kwangu navyoona and i am open to be criticised / kuelimishwa ni kwamba :
Huwa nashangaa sana nikiona baadhi (sio wote) waliofunga ramadan wakilalamika swaumu imetaiti (njaa), nina uhakika hawa wanaolalamika (baadhi) hawawezi kutoboa mfungo wa kikristo.
Funga ya mkristo akila saa moja jioni ni mpaka kesho tena saa moja jioni hakuna kunywa maji wala kula, na hata mle hadharani wala hapagawi au kulalamika mnamuingiza tamaa.
Upande wa pili ukila saa moja jioni unaweza kutupia tena mida ya saa nne flani hivi kabla hujalala, hapo bado tena kuna daku la saa kumi alfajiri, ni kama vile ratiba ya lunch inahamia alfajiri na ratiba ya chai kabla ya kulala, cha kushangaza baadhi yao hata wakipiga daku lakini bado wakiona mtu anakula hadharani tayari kuna roho ya kutamani inaingia utasikia wakilalamika "huoni aibu kula hadharani", Zanzibar wameenda mbali zaidi ukikutwa unashushiwa kipigo.
Freedom of speechMada zingine ni mapuuza. Wangelazimishwa kufunga kwa saa 24 zingeibuka hoja kwamba imani yao ni katili. Tuheshimu imani za watu mradi hazidhuru shughuli zetu.
Wao kufunga kwa masaa hayo ni imani yao kwanini ikukere na kuanzishia uzi wenye mrengo wa dhihaka ndani yake?