Tukisema mfungo wa Ramadhan ni mwepesi na ni kubadili ratiba ya kula tunakosea?

Tukisema mfungo wa Ramadhan ni mwepesi na ni kubadili ratiba ya kula tunakosea?

Holiness should be through iman not stomach, why complain to people who eat publicly if your iman is stronger than tumboo 😂 😂
Nilisikitika kusikia walimfuata mamako wa watu anapikia wateja wake akiwa amejifungia ndani. Zanzibar haina tofauti na Korea Kaskazini. Kaanchi kadogo kakipumbavu.
 
Waislamu ni wanafki sana, hiyo dini yenyewe walilazimishiwa kwa jambia na mwarabu. Hakuna miafrika mipumbavu km wazanzibari kwenye dini, uislamu ni utamaduni wa waarabu. Shida wazanzibari elimu iko chini sana. Mfungo wao ndio muda wa kula zaidi. Mfungo gani watu wanamaliza wameongeza kilo?
Wewe Pumbavu kwani umelazimishwa kuja Zanzibar
Na kwenye elimu mmesoma upupu gani, mbona nchi yenyewe ni mpaka leo inajengewa vyoo vya msaada na masikini wanakufa kwa kukosa matibabu, hiyo elimu mnajiona mnakariri imesaidia nini
Na huo ugalatia unaoufata si ndio wameamua sasa mfira..ne kufuata utamaduni wao, mbona mnashtuka tukiwakumbusha kubarikiwa
 
Wewe Pumbavu kwani umelazimishwa kuja Zanzibar
Na kwenye elimu mmesoma upupu gani, mbona nchi yenyewe ni mpaka leo inajengewa vyoo vya msaada na masikini wanakufa kwa kukosa matibabu, hiyo elimu mnajiona mnakariri imesaidia nini
Na huo ugalatia unaoufata si ndio wameamua sasa mfira..ne kufuata utamaduni wao, mbona mnashtuka tukiwakumbusha kubarikiwa
Kazana kuna tuzo ya kutukana matusi
 
Masaa 24 yakiisha huwa hauli pia ila unakula neno la Mungu alafu unafunga siku 9 bila kula siyo?
Hakuna watu wanaokula mtaani kama wakristo katika kipindi hiki cha kwaresma au ndo huwa wanaigiza kama wanakula ila wakifika nyumbani wanajitapisha ili tusijue kama wamefunga kwakua wanafunga kisiri?
Wakristo Halisi hawafungi kwa msimu kama Waislam

Wakristo haswa wanafunga siku yoyote pale mioyo yao inapokuwa na uhitaji wa msaada wa Mungu, naweza amua kufunga hata masaa 12 tu kwa siku 3 nikiwa na jambo la kuombea

Suala la kufunga kwa msimu na kuzuga kuacha dhambi halafu baada ya mfungo ukaendelea na dhambi zako ni UNAFIQ
 
Masaa 24 yakiisha huwa hauli pia ila unakula neno la Mungu alafu unafunga siku 9 bila kula siyo?
Hakuna watu wanaokula mtaani kama wakristo katika kipindi hiki cha kwaresma au ndo huwa wanaigiza kama wanakula ila wakifika nyumbani wanajitapisha ili tusijue kama wamefunga kwakua wanafunga kisiri?
Kuhusu kula Waislam ni walafi sana kipindi hiki na siku ya Idd

Mwaka jana kuna Waislam waliokuwa wanaswali sana siku ya Idd walipiga misosi na kutualika na mpaka K-VANT walinunulia watu

Mbona mpaka Mdudu wanakula😂
 
Wakristo Halisi hawafungi kwa msimu kama Waislam

Wakristo haswa wanafinga siku yoyote pale mioyo yao inapokuwa na uhitaji wa msaada wa Mungu, naweza amua kufunga hata masaa 12 tu kwa siku 3 nikiwa na jambo la kuombea

Suala la kufunga kwa msimu na kuzuga kuacha dhambi halafu baada ya mfungo ukaendelea na dhambi zako ni UNAFIQ
Wakristo wanafunga kwa iman na sio sheria kama ilivyo kwa waislamu
 
99% ya wakristo hawafungi funga yao ni kula ila usishibe
Wakristo tuna mifungo yetu maalum ya kuanzia wiki, siku 30 ama siku 40. Huwa hatufungi kwa kujionesha mbele za watu kabisa.
ndio maana hata hiyo kwaresma haieshimiwi duniani kote kwasababu hawafungi
Aliye anzisha kwaresma ndiye aliye anzisha Ramadan, ndiye aliye anzisha uislam. Najua hujui kuwa uislam ni kitengo kilichozinduliwa huko Vatican kwa maslahi ya Vatican.

Hakuna mwezi mwezi wala mfungo wa kwaresma katika ukristo, hivyo unapoongelea kwaresma usitaje ukristo. Yesu Kristo hakuasisi kwaresma,na kwaresma sio ukristo.
 
Kiafya kufunga ni kuzuri unachoma mafuta na kuflash uchafu wote mwilini,ikiwemo negative energy mfano nguvu za giza ambazo utegemea chakula ili ziwe active automatic zinakufa
 
Mbona unapenda sana udini mzee?

Kwani kwa kutumia upeo wako wa kawaida unashindwa kung'amua aina fulani za mada nikianzisha zitaleta kurushiana maneno watu wa imani tofauti?!

Yaani mada zako za kidini dini sijui una matatizo gani?!
Turuhusu Freedom of speech
 
tujadiliane sio conclusive statement, Well kwangu navyoona and i am open to be criticised / kuelimishwa ni kwamba :

Huwa nashangaa sana nikiona baadhi (sio wote) waliofunga ramadan wakilalamika swaumu imetaiti (njaa), nina uhakika hawa wanaolalamika (baadhi) hawawezi kutoboa mfungo wa kikristo.

Funga ya mkristo akila saa moja jioni ni mpaka kesho tena saa moja jioni hakuna kunywa maji wala kula, na hata mle hadharani wala hapagawi au kulalamika mnamuingiza tamaa.

Upande wa pili ukila saa moja jioni unaweza kutupia tena mida ya saa nne flani hivi kabla hujalala, hapo bado tena kuna daku la saa kumi alfajiri, ni kama vile ratiba ya lunch inahamia alfajiri na ratiba ya chai kabla ya kulala, cha kushangaza baadhi yao hata wakipiga daku lakini bado wakiona mtu anakula hadharani tayari kuna roho ya kutamani inaingia utasikia wakilalamika "huoni aibu kula hadharani", Zanzibar wameenda mbali zaidi ukikutwa unashushiwa kipigo.
Kufunga sio kushinda bila kula.
 
Hii nchi wakristo wengi sana, lakn kulalamika sasa & kuwasema waislamu humu JF kumezidi. Yaan kuna post ukiisoma unaona kabisa huyu kaandika kwa hasira kali au huku analia.
Bora uandike emotionally kuhusu UMEME. Over😎
 
Mada zingine ni mapuuza. Wangelazimishwa kufunga kwa saa 24 zingeibuka hoja kwamba imani yao ni katili. Tuheshimu imani za watu mradi hazidhuru shughuli zetu.

Wao kufunga kwa masaa hayo ni imani yao kwanini ikukere na kuanzishia uzi wenye mrengo wa dhihaka ndani yake?
Freedom of speech
 
Back
Top Bottom