Tukisema Simba sc ni timu kubwa Africa huwa mnabisha haya jioneeni wenyewe hapa

Tukisema Simba sc ni timu kubwa Africa huwa mnabisha haya jioneeni wenyewe hapa

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Cheti timu zilizoingia robo fainal caf champions kisha lingalisha na hizo zilizoingia shirikisho.

Simba baba lao, hakuna kunguni yeyote aliyepo shirikisho anaweza kugusa hapo.


BECB4DF2-DEEE-4C11-AFA7-2FCBB2DEBA30.jpeg



B9839A6C-474A-4163-B6BD-59FA5C713BA8.jpeg
 
Cheti timu zilizoingia robo fainal caf champions kisha lingalisha na hizo zilizoingia shirikisho.

Simba baba lao, hakuna kunguni yeyote aliyepo shirikisho anaweza kugusa hapo.


View attachment 2566457


View attachment 2566458
kwavile swali lako umeuliza kuwa kuna timu yoyote kutoka shirikisho inaweza gusa timu zilizopo klabu bingwa kiuwezo, ngoja nikupe jibu.
fact 1
Far Rabat yupo shirikisho ila alimfunga Wydad goli tatu kwenye mechi ya ligi kuu Morocco, na juzi juzi tu Far Rabat alikuwa ugenini kafungwa goli moja tu na Raja wakati kuna timu ipo klabu bingwa imefungwa goli tatu nyumbani kwao
2) Wydad bingwa wa CAF champions league alifungwa na bingwa wa CAF confederation cup katika CAF super cup.
3)Simba kwa Yanga sina haja kuongelea ni mechi inayokuwa nyepesi kwa Yanga.

Hitimisho

Kwenye klabu bingwa na shirikisho kuna timu zilizo ngumu na pia kuna timu zilizo nyepesi vile vile inategemea unampambanisha dhidi ya yupi. Hawa waliopo shirikisho sio timu dhaifu kuna timu zinaongoza ligi kwenye nchi zao pia.
 
kwavile swali lako umeuliza kuwa kuna timu yoyote kutoka shirikisho inaweza gusa timu zilizopo klabu bingwa kiuwezo, ngoja nikupe jibu.
fact 1
Far Rabat yupo shirikisho ila alimfunga Wydad goli tatu kwenye mechi ya ligi kuu Morocco, na juzi juzi tu alikuwa ugenini kafungwa goli moja tu na Raja wakati kuna timu ipo klabu bingwa imefungwa goli tatu nyumbani kwao
2) Wydad bingwa wa CAF champions league alifungwa na bingwa wa CAF confederation cup katika CAF super cup.
3)Simba kwa Yanga sina haja kuongelea ni mechi inayokuwa nyepesi kwa Yanga.

Hitimisho

Kwenye klabu bingwa na shirikisho kuna timu zilizo ngumu na pia kuna timu zilizo nyepesi vile vile inategemea unampambanisha dhidi ya yupi. Hawa waliopo shirikisho sio timu dhaifu kuna timu zinaongoza ligi kwenye nchi zao pia.
Ligi ni mbio za Marathon, yoyote anamfunga yoyote
Ujerumani Bayern Muninch anafungwa na vitimu vidogo lakini UEFA ndio anaonyesha kwa nini yeye ni timu kubwa
Man City, Madrid nazo zinafungwa kwenye ligi na timu ndogo, lakini unyama wake utauona kwenye Champions League
 
kwavile swali lako umeuliza kuwa kuna timu yoyote kutoka shirikisho inaweza gusa timu zilizopo klabu bingwa kiuwezo, ngoja nikupe jibu.
fact 1
Far Rabat yupo shirikisho ila alimfunga Wydad goli tatu kwenye mechi ya ligi kuu Morocco, na juzi juzi tu alikuwa ugenini kafungwa goli moja tu na Raja wakati kuna timu ipo klabu bingwa imefungwa goli tatu nyumbani kwao
2) Wydad bingwa wa CAF champions league alifungwa na bingwa wa CAF confederation cup katika CAF super cup.
3)Simba kwa Yanga sina haja kuongelea ni mechi inayokuwa nyepesi kwa Yanga.

Hitimisho

Kwenye klabu bingwa na shirikisho kuna timu zilizo ngumu na pia kuna timu zilizo nyepesi vile vile inategemea unampambanisha dhidi ya yupi. Hawa waliopo shirikisho sio timu dhaifu kuna timu zinaongoza ligi kwenye nchi zao pia.
Yanga alifungwa na Ihefu na Simba alifungwa na Azam unataka kusema Ihefu ni timu strong kuliko Yanga ?
 
kwavile swali lako umeuliza kuwa kuna timu yoyote kutoka shirikisho inaweza gusa timu zilizopo klabu bingwa kiuwezo, ngoja nikupe jibu.
fact 1
Far Rabat yupo shirikisho ila alimfunga Wydad goli tatu kwenye mechi ya ligi kuu Morocco, na juzi juzi tu alikuwa ugenini kafungwa goli moja tu na Raja wakati kuna timu ipo klabu bingwa imefungwa goli tatu nyumbani kwao
2) Wydad bingwa wa CAF champions league alifungwa na bingwa wa CAF confederation cup katika CAF super cup.
3)Simba kwa Yanga sina haja kuongelea ni mechi inayokuwa nyepesi kwa Yanga.

Hitimisho

Kwenye klabu bingwa na shirikisho kuna timu zilizo ngumu na pia kuna timu zilizo nyepesi vile vile inategemea unampambanisha dhidi ya yupi. Hawa waliopo shirikisho sio timu dhaifu kuna timu zinaongoza ligi kwenye nchi zao pia.
hizo timu za champions league ni level zingine mkuu....
kuhusu ligi hata madrid alipigwa na timu ya 19 kwenye msimamo!
bayern pale ujerumani huwa hafui dafu kwa borussia monchenglenbag? ambao ni middle table,

tunapoongelea level za kimataifa huwa tunaweka kando ushabiki, pia hatutazami ligi za ndani kama kigezo,......
 
Sioni mozambique, malawi, kongo, rwanda, urundi, baganda, kenya wala shirazi vipi Tanzania kuna nini team mbili zote?
 
Ligi ni mbio za Marathon, yoyote anamfunga yoyote
Ujerumani Bayern Muninch anafungwa na vitimu vidogo lakini UEFA ndio anaonyesha kwa nini yeye ni timu kubwa
Man City, Madrid nazo zinafungwa kwenye ligi na timu ndogo, lakini unyama wake utauona kwenye Champions League
Kwahiyo umeona hiyo ndio unachoweza kukijibu?
Nimeongea vitu vitatu.
Rabat kamfunga Wydad goli tatu. Mbona hilo haulitolei majibu?
Bingwa wa CAF confederation cup kamfunga bingwa wa CAF champions league mbona hilo ulijibu?

Jamaa kauliza swali ni timu gani inaweza kuifunga timu zilizopo kwenye champions league akimaanisha ni swala la uwezo na sio swala la hadhi ya mashindano. Kama Rabat kaweza kumfunga Wydad goli tatu maanake uwezo wa Rabat upo juu kuliko Wydad.

Halafu kitendo cha bingwa wa CAF champions league kumfungwa na bingwa na bingwa wa CAF confederation cup, inamaanisha hata kwenye CAF confederation cup kuna timu zilizobora kuliko zilizopo champions league
 
Yanga alifungwa na Ihefu na Simba alifungwa na Azam unataka kusema Ihefu ni timu strong kuliko Yanga ?
Umesoma pasipo kuelewa nilichomaanisha.
Mimi sijapiga hesabu ya nani kumfunga nani ni sawa sawa na akicheza na nani. Mleta mada kauliza swali ni timu gani iliyopo shirikisho yenye uwezo wa kupambana na timu zilizopo klabu bingwa, kwa akili yake na nyie mashabiki wa kimahaba ya timu mnaona ni sahihi. Lakini sio kweli timu zilizopo shirikisho zinauwezo wa kuifunga timu iliyopo klabu bingwa au hata wakatoa sare. Mfano mzuri ni mechi iliyochezwa kati ya Wydad dhidi ya Rabat. Wydad kafungwa na Wydad goli tatu.

Mfano wa pili ni bingwa wa CAF confederation cup kumfunga bingwa wa CAF champions league kwenye CAF super cup
 
Usisahau pia kutukumbusha, ya kwamba hapo ndiyo mwisho wa safari yenu. Hivyo ni jambo jema kujipongeza.
 
Mnaenda mbali sana, apanyumbani Simba anakandwa Kila siku na Yanga na anazidiwa point 8 kwenye msimamo.
Ukubwa haulazimishwi, wewe twaa Mataji utaheshimika tu.
Yanga apa nyumbani ni mkubwa saaana lakini hawajitutumui kwakua timu zote kwenye ligi zinajua Yanga mkubwa, Mataji yanaongea.
 
hizo timu za champions league ni level zingine mkuu....
kuhusu ligi hata madrid alipigwa na timu ya 19 kwenye msimamo!
bayern pale ujerumani huwa hafui dafu kwa borussia monchenglenbag? ambao ni middle table,

tunapoongelea level za kimataifa huwa tunaweka kando ushabiki, pia hatutazami ligi za ndani kama kigezo,......

Mbona unalinganisha mashindano vs uwezo wa timu? Unataka kuniambia kuwa Tz Prisons akicheza klabu bingwa hatofungwa na Yanga kwenye mchezo wa klabu bingwa kutokana tu na jina la mashindano lakini kwenye ligi kuu ndio atafungwa?

Uwezo wa timu unabaki pale pale haijalishi yupo katika mashindano ya aina gani, tunaipima timu A vs timu kwa uwezo. Na hakuna kipimo cha timu kufungwa kutokana na mashindano.
 
Kuna chance kubwa ya yanga kuvuka robo fainali kuliko simba kuvuka robo fainali
 
Tofauti yako na ng'ombe ni ndogo sana
Kwahiyo umeona hiyo ndio unachoweza kukijibu?
Nimeongea vitu vitatu.
Rabat kamfunga Wydad goli tatu. Mbona hilo haulitolei majibu?
Bingwa wa CAF confederation cup kamfunga bingwa wa CAF champions league mbona hilo ulijibu?

Jamaa kauliza swali ni timu gani inaweza kuifunga timu zilizopo kwenye champions league akimaanisha ni swala la uwezo na sio swala la hadhi ya mashindano. Kama Rabat kaweza kumfunga Wydad goli tatu maanake uwezo wa Rabat upo juu kuliko Wydad.

Halafu kitendo cha bingwa wa CAF champions league kumfungwa na bingwa na bingwa wa CAF confederation cup, inamaanisha hata kwenye CAF confederation cup kuna timu zilizobora kuliko zilizopo champions league
 
Tofauti yako na ng'ombe ni ndogo sana
Badala ya kunitukana ungejibu kwa hoja. Sasa nani anaonekana ng'ombe kati ya anayejibu vitu kwa hoja au anayeleta mipasho kwenye jukwaa la michezo. Tusi lako nimelipokea mkuu sina tabia ya kurushiana matusi na mtu. Endelea na matusi zaidi
 
Back
Top Bottom