Tukisema Simba sc ni timu kubwa Africa huwa mnabisha haya jioneeni wenyewe hapa

Tukisema Simba sc ni timu kubwa Africa huwa mnabisha haya jioneeni wenyewe hapa

kwavile swali lako umeuliza kuwa kuna timu yoyote kutoka shirikisho inaweza gusa timu zilizopo klabu bingwa kiuwezo, ngoja nikupe jibu.
fact 1
Far Rabat yupo shirikisho ila alimfunga Wydad goli tatu kwenye mechi ya ligi kuu Morocco, na juzi juzi tu Far Rabat alikuwa ugenini kafungwa goli moja tu na Raja wakati kuna timu ipo klabu bingwa imefungwa goli tatu nyumbani kwao
2) Wydad bingwa wa CAF champions league alifungwa na bingwa wa CAF confederation cup katika CAF super cup.
3)Simba kwa Yanga sina haja kuongelea ni mechi inayokuwa nyepesi kwa Yanga.

Hitimisho

Kwenye klabu bingwa na shirikisho kuna timu zilizo ngumu na pia kuna timu zilizo nyepesi vile vile inategemea unampambanisha dhidi ya yupi. Hawa waliopo shirikisho sio timu dhaifu kuna timu zinaongoza ligi kwenye nchi zao pia.
Aliyeko Shirikisho ndiye anaongoza ligi Morocco
 
Umasikini wa AKILI na PESA ni mbaya sana
Cheti timu zilizoingia robo fainal caf champions kisha lingalisha na hizo zilizoingia shirikisho.

Simba baba lao, hakuna kunguni yeyote aliyepo shirikisho anaweza kugusa hapo.


View attachment 2566457


View attachment 2566458
yanga watakujibu hili kwa kuleta kombe hapa na sio nyenye nyenyenyenye,hapo safari yako inaishia robo tu,wana jangwani tunaleta kombe la shirikisho mwakani tunacheza fainali klabu bingwa hapo ndo utajua hujui kwamba KUTANGULIA SIO KUFIKA...shwain nyie
 
yanga watakujibu hili kwa kuleta kombe hapa na sio nyenye nyenyenyenye,hapo safari yako inaishia robo tu,wana jangwani tunaleta kombe la shirikisho mwakani tunacheza fainali klabu bingwa hapo ndo utajua hujui kwamba KUTANGULIA SIO KUFIKA...shwain nyie
Mna timu ya kucheza champions league nyie? Huko timu kubwa pekee ndio hazi yao siyo nyie felia, kila mkiingiza pua huko huwa mnachezea kichapo na kuangukia shirikisho.
 
Kwahiyo umeona hiyo ndio unachoweza kukijibu?
Nimeongea vitu vitatu.
Rabat kamfunga Wydad goli tatu. Mbona hilo haulitolei majibu?
Bingwa wa CAF confederation cup kamfunga bingwa wa CAF champions league mbona hilo ulijibu?

Jamaa kauliza swali ni timu gani inaweza kuifunga timu zilizopo kwenye champions league akimaanisha ni swala la uwezo na sio swala la hadhi ya mashindano. Kama Rabat kaweza kumfunga Wydad goli tatu maanake uwezo wa Rabat upo juu kuliko Wydad.

Halafu kitendo cha bingwa wa CAF champions league kumfungwa na bingwa na bingwa wa CAF confederation cup, inamaanisha hata kwenye CAF confederation cup kuna timu zilizobora kuliko zilizopo champions league
Akili mgando
 
Wewe ungeonesha kuwa una akili mseleleko kwa kuonesha ni wapi ambapo hapako sawa. Kuishia kusema akili mgando tu ni wazi hauna point.
Nmeona una kichwa kigumu kuelewa kutokana na watu wengine ku comment point za msingi lakn bado umekomalia Far Rabat kumfunga Waydad
 
Simba kushirikishwa kwenye Caf Super League mwaka huu ni ushahidi tosha kuwa Simba ni klabu kubwa pekee nchini Tanzania!! Hao wengine ambao sitaki hata kutaja jina lao maana wanajijua na kwa sasa wanashiriki kombe la losers huko caf
 
Umesoma pasipo kuelewa nilichomaanisha.
Mimi sijapiga hesabu ya nani kumfunga nani ni sawa sawa na akicheza na nani. Mleta mada kauliza swali ni timu gani iliyopo shirikisho yenye uwezo wa kupambana na timu zilizopo klabu bingwa, kwa akili yake na nyie mashabiki wa kimahaba ya timu mnaona ni sahihi. Lakini sio kweli timu zilizopo shirikisho zinauwezo wa kuifunga timu iliyopo klabu bingwa au hata wakatoa sare. Mfano mzuri ni mechi iliyochezwa kati ya Wydad dhidi ya Rabat. Wydad kafungwa na Wydad goli tatu.

Mfano wa pili ni bingwa wa CAF confederation cup kumfunga bingwa wa CAF champions league kwenye CAF super cup
Kwahiyo wewe kwa akili yako Yanga anaweza kupambana na Simba kwenye CAF champions League ??
 
Kwahiyo umeona hiyo ndio unachoweza kukijibu?
Nimeongea vitu vitatu.
Rabat kamfunga Wydad goli tatu. Mbona hilo haulitolei majibu?
Bingwa wa CAF confederation cup kamfunga bingwa wa CAF champions league mbona hilo ulijibu?

Jamaa kauliza swali ni timu gani inaweza kuifunga timu zilizopo kwenye champions league akimaanisha ni swala la uwezo na sio swala la hadhi ya mashindano. Kama Rabat kaweza kumfunga Wydad goli tatu maanake uwezo wa Rabat upo juu kuliko Wydad.

Halafu kitendo cha bingwa wa CAF champions league kumfungwa na bingwa na bingwa wa CAF confederation cup, inamaanisha hata kwenye CAF confederation cup kuna timu zilizobora kuliko zilizopo champions league
Timu A kuifunga B haimaanishi kuwa timu A ni bora kuliko B, Timu hata iwe bora kiasi gani lazima kuna muda itafungwa tu na timu dhaifu, hili lina mifano mingi,

Timu zilizofuzu Champions league hazikufuzu kwa bahati kama unavyotaka kuliweka, bali kuna utaratibu maalum wa kuzichuja, unaoitwa seeding, huu unahakikisha timu bora ndio hufuzu, ndio hutumika kwenye mashindano yote makubwa
 
Mnaenda mbali sana, apanyumbani Simba anakandwa Kila siku na Yanga na anazidiwa point 8 kwenye msimamo.
Ukubwa haulazimishwi, wewe twaa Mataji utaheshimika tu.
Yanga apa nyumbani ni mkubwa saaana lakini hawajitutumui kwakua timu zote kwenye ligi zinajua Yanga mkubwa, Mataji yanaongea.
Ww babu pumzika utapata stroke kwa heart attack...
 
Simba ni chuo kikuu cha mpira wa Tanzania - Bernard Morrison akiwa kwenye Simba Day, Benjamin Mkapa Stadium
 
Ligi ni mbio za Marathon, yoyote anamfunga yoyote
Ujerumani Bayern Muninch anafungwa na vitimu vidogo lakini UEFA ndio anaonyesha kwa nini yeye ni timu kubwa
Man City, Madrid nazo zinafungwa kwenye ligi na timu ndogo, lakini unyama wake utauona kwenye Champions League
Poor, huko kwenye UEFA huwa hawafungwi??
 
Mnaenda mbali sana, apanyumbani Simba anakandwa Kila siku na Yanga na anazidiwa point 8 kwenye msimamo.
Ukubwa haulazimishwi, wewe twaa Mataji utaheshimika tu.
Yanga apa nyumbani ni mkubwa saaana lakini hawajitutumui kwakua timu zote kwenye ligi zinajua Yanga mkubwa, Mataji yanaongea.
Yanga mara ya mwisho kumfunga Simba ligi kuu bara ilikuwa mwaka gani?
 
hizo timu za champions league ni level zingine mkuu....
kuhusu ligi hata madrid alipigwa na timu ya 19 kwenye msimamo!
bayern pale ujerumani huwa hafui dafu kwa borussia monchenglenbag? ambao ni middle table,

tunapoongelea level za kimataifa huwa tunaweka kando ushabiki, pia hatutazami ligi za ndani kama kigezo,......
Kigezo ni kipi?? Mbona bingwa wa club bingwa alipigwa na bingwa wa shirikisho kwenye game ya super cup? Kuwa champions League hakukifanyi kuwa wewe ni Bora kuliko wengine..hv haujui kwamba huko CAF ili uende lazima ufanye vizuri games za Ligi za nyumbani??
 
Back
Top Bottom