Tukisema Simba sc ni timu kubwa Africa huwa mnabisha haya jioneeni wenyewe hapa

Tukisema Simba sc ni timu kubwa Africa huwa mnabisha haya jioneeni wenyewe hapa

Timu A kuifunga B haimaanishi kuwa timu A ni bora kuliko B, Timu hata iwe bora kiasi gani lazima kuna muda itafungwa tu na timu dhaifu, hili lina mifano mingi,

Timu zilizofuzu Champions league hazikufuzu kwa bahati kama unavyotaka kuliweka, bali kuna utaratibu maalum wa kuzichuja, unaoitwa seeding, huu unahakikisha timu bora ndio hufuzu, ndio hutumika kwenye mashindano yote makubwa

Je kwenye shirikisho hawafanyi hiyo seeding?
Na ndio maana kunakuwa na bingwa wa wote yaani kuna bingwa wa mashindano yote ya CAF interclub championship ambaye ndiye anakuwa ndio bingwa wa CAF super cup

Timu yeyote inaweza kuwa dhaifu kutegemea tu unampambanisha dhidi ya nani. Mfano Simba pamoja na kuwa katika mashindano ya champion league anaweza kufungwa na Rabat aliyepo confederation cup.
 
Kwahiyo wewe kwa akili yako Yanga anaweza kupambana na Simba kwenye CAF champions League ??
Mada sio kupambana. Bali alichokiongea mleta mada ni kuwa kwenye timu nane zilzopo shirikisho hakuna timu inayoweza kuisumbua timu yeyote kati ya timu nane zilizofuziu klabu bingwa. Kitu ambacho sio kweli, Yanga ana mmudu Simba vizuri kabisa na wakati huo pia tumeshaona Far Rabat akiwamudu Wydad kwa kumtandika goli tatu kwa sifuri
 
Umesoma pasipo kuelewa nilichomaanisha.
Mimi sijapiga hesabu ya nani kumfunga nani ni sawa sawa na akicheza na nani. Mleta mada kauliza swali ni timu gani iliyopo shirikisho yenye uwezo wa kupambana na timu zilizopo klabu bingwa, kwa akili yake na nyie mashabiki wa kimahaba ya timu mnaona ni sahihi. Lakini sio kweli timu zilizopo shirikisho zinauwezo wa kuifunga timu iliyopo klabu bingwa au hata wakatoa sare. Mfano mzuri ni mechi iliyochezwa kati ya Wydad dhidi ya Rabat. Wydad kafungwa na Wydad goli tatu.

Mfano wa pili ni bingwa wa CAF confederation cup kumfunga bingwa wa CAF champions league kwenye CAF super cup
Tukutane na Yanga kwenye Mashindano ya club bingwa alafu tuone kama mtamfunga simba.(nikitu ambacho hakiwezekanj labda Miaka 30 ijayo yanga ndo itangia Makundi club bingwa)

Simba anakua serious kulingana na Mashindano anayo shiriki .Ndomana ata kombe la mapinduzi alitoka Mapema akaenda zake Dubai .kifupi simba ni Timu ambayo inajua inachokifanya.
 
Tukutane na Yanga kwenye Mashindano ya club bingwa alafu tuone kama mtamfunga simba.(nikitu ambacho hakiwezekanj labda Miaka 30 ijayo yanga ndo itangia Makundi club bingwa)

Simba anakua serious kulingana na Mashindano anayo shiriki .Ndomana ata kombe la mapinduzi alitoka Mapema akaenda zake Dubai .kifupi simba ni Timu ambayo inajua inachokifanya.
Ligi kuu sio mashindano ambayo ni serious kwa Simba? Kombe la Azam Federation sio mashindano serious kwa Simba? Tuanzie hapa kwanza
 
Timu Bora tu Afrika ndio zimeingia robo fainali
Screenshot_20230327-065443.jpg
 
Tukutane na Yanga kwenye Mashindano ya club bingwa alafu tuone kama mtamfunga simba.(nikitu ambacho hakiwezekanj labda Miaka 30 ijayo yanga ndo itangia Makundi club bingwa)

Simba anakua serious kulingana na Mashindano anayo shiriki .Ndomana ata kombe la mapinduzi alitoka Mapema akaenda zake Dubai .kifupi simba ni Timu ambayo inajua inachokifanya.
Haya maneno usiongee mbele ya watu wazima kaongee na watoto,


Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Cheti timu zilizoingia robo fainal caf champions kisha lingalisha na hizo zilizoingia shirikisho.

Simba baba lao, hakuna kunguni yeyote aliyepo shirikisho anaweza kugusa hapo.


View attachment 2566457


View attachment 2566458
Hivi hayo mashindano ya shirikisho si ndo yale mliroga kwa kuwasha moto kule Saouth Africa, halafu leo unaliona siyo la maana..!! Hilo hilo liliwapigisha faini ya TAMBIKO LISILO SALAMA nyie wachawi FC
 
Tukutane na Yanga kwenye Mashindano ya club bingwa alafu tuone kama mtamfunga simba.(nikitu ambacho hakiwezekanj labda Miaka 30 ijayo yanga ndo itangia Makundi club bingwa)

Simba anakua serious kulingana na Mashindano anayo shiriki .Ndomana ata kombe la mapinduzi alitoka Mapema akaenda zake Dubai .kifupi simba ni Timu ambayo inajua inachokifanya.
Utoto raha sana..!!
 
Ligi kuu sio mashindano ambayo ni serious kwa Simba? Kombe la Azam Federation sio mashindano serious kwa Simba? Tuanzie hapa kwanza
Mashindano yote ni muhimu mpaka pale yanapolinganishwa na mashindano mengine. Kombe la ligi vs Mpainduzi n.k
 
Ligi kuu sio mashindano ambayo ni serious kwa Simba? Kombe la Azam Federation sio mashindano serious kwa Simba? Tuanzie hapa kwanza
Kwa standards simba alizo jiwekea hayo mashindano kwake sio issue sana.
Simba angetolewa atua ya makundi ingemuuma sana. Tofauti itavyo muuma kukosa kombe la ligi.so mpaka hapo ushajua target ya Simba ni ipi
 
kwavile swali lako umeuliza kuwa kuna timu yoyote kutoka shirikisho inaweza gusa timu zilizopo klabu bingwa kiuwezo, ngoja nikupe jibu.
fact 1
Far Rabat yupo shirikisho ila alimfunga Wydad goli tatu kwenye mechi ya ligi kuu Morocco, na juzi juzi tu Far Rabat alikuwa ugenini kafungwa goli moja tu na Raja wakati kuna timu ipo klabu bingwa imefungwa goli tatu nyumbani kwao
2) Wydad bingwa wa CAF champions league alifungwa na bingwa wa CAF confederation cup katika CAF super cup.
3)Simba kwa Yanga sina haja kuongelea ni mechi inayokuwa nyepesi kwa Yanga.

Hitimisho

Kwenye klabu bingwa na shirikisho kuna timu zilizo ngumu na pia kuna timu zilizo nyepesi vile vile inategemea unampambanisha dhidi ya yupi. Hawa waliopo shirikisho sio timu dhaifu kuna timu zinaongoza ligi kwenye nchi zao pia.
Mbona yanga ni dhaifu sana ndugu. Usiniulize swali lolote
 
Kwa standards simba alizo jiwekea hayo mashindano kwake sio issue sana.
Simba angetolewa atua ya makundi ingemuuma sana. Tofauti itavyo muuma kukosa kombe la ligi.so mpaka hapo ushajua target ya Simba ni ipi
Wewe unayoongea hayo ndiye unayeaanda malengo na mikakati ya timu?
Angalia kiongozi wenu amesema nini kuhusu malengo ya Simba msimu huu. Wewe ndio wale wa sizitaki mbichi hizi.
IMG_20230327_120248.jpg
 
Back
Top Bottom