Tukishinda tutamshukuru Mwenyezi Mungu, ila 98% ni Sare ya aina yoyote au tunafungwa Kuanzia Goli 2

Tukishinda tutamshukuru Mwenyezi Mungu, ila 98% ni Sare ya aina yoyote au tunafungwa Kuanzia Goli 2

Kwa hiyo Simba imesajili wachezaji wazuri na wenye ubora kuliko Al Ahly? Wakati mwingine mapenzi muyaweke pembeni mseme ukweli.Muda utasema mjiandae kuleta visababu sababu visivyokuwa na msingi Mara tatizo fulani au fulani hamtaeleweka kwa tambo zenu hizi
mara Simba haiwawezi Ptateau, Simba ikashinda...
mara mtapigwa na Ptatinum, Simba ikashinda..
mara kwa As vita hii mjiandae kupigwa zile 5, Simba ikashinda...
baada ya kuona vile vipimo vyenu vya kuipimia Simba hapo juu kushindwa leo hii mko tena kwa Al ahyl...!!
sishangai hata Simba akimfunga al ahyl sababu hazitaisha kwa team nyingine zitakazofuatia.
ACHA ROHO MBAYA KIJANA, UKIZEEKA UTAKUWA MCHAWI
 
Sijakulazimisha na Sikulazimishi ukubaliane na nilichokiandika hapa ila sijawahi kuja na Utabiri wangu na usiwe sahihi kama nilivyousema.

Tukishinda hata Mimi nitafurahi mno na Kumshukuru sana Mwenyezi Mungu ila tusidanganyane Al Ahly ni zaidi ya Simba SC ndani na nje ya Uwanja huku zaidi ikiwa ni katika Ufundi.

Nina uhakika wa Matokeo ya Suluhu (Sare bila ya Magoli) au Sare Pacha (ya Magoli) au Simba SC Kufungwa na Al Ahly goli Kuanzia 2 (Mbili)

Wale mtakaochukia na huu Uzi mnisamehe, tuvumiliane na muupokee tu kwani ndiyo Utabiri wangu kama ambavyo nimekuwa nikiutoa kwa Matokeo mengine mbalimbali yaihusuyo Simba SC yangu (yetu)

Kumfunga Al Ahly Kesho Kiutamaduni (Kiuchawi) Simba SC inatakiwa ifanye Kafara kubwa la Kiongozi wake Mmoja wa Juu Afe ghafla (tena kwa Ajali) na Damu yake itumike. Pia Kucheza huo Mchezo Saa 10 Jioni tumekosea mno kwani Jini la Ushindi la Simba SC huwa linaanza Kufanya Kazi kuanzia Saa 1 Usiku hadi Saa 6 Usiku tu.

Na Safari hii Al Ahly nao wamejidhatiti sana Kindumba (Kiuchawi) japo Wao wanatumia zaidi Kitabu na kuna Jambo wamelifanya Leo na Kesho Saa 5 Asubuhi watalifanya tena. Wamejiandaa mno kwa Fitna za nje ya Uwanja.
Acha uoga.
 
Sijakulazimisha na Sikulazimishi ukubaliane na nilichokiandika hapa ila sijawahi kuja na Utabiri wangu na usiwe sahihi kama nilivyousema.

Tukishinda hata Mimi nitafurahi mno na Kumshukuru sana Mwenyezi Mungu ila tusidanganyane Al Ahly ni zaidi ya Simba SC ndani na nje ya Uwanja huku zaidi ikiwa ni katika Ufundi.

Nina uhakika wa Matokeo ya Suluhu (Sare bila ya Magoli) au Sare Pacha (ya Magoli) au Simba SC Kufungwa na Al Ahly goli Kuanzia 2 (Mbili)

Wale mtakaochukia na huu Uzi mnisamehe, tuvumiliane na muupokee tu kwani ndiyo Utabiri wangu kama ambavyo nimekuwa nikiutoa kwa Matokeo mengine mbalimbali yaihusuyo Simba SC yangu (yetu)

Kumfunga Al Ahly Kesho Kiutamaduni (Kiuchawi) Simba SC inatakiwa ifanye Kafara kubwa la Kiongozi wake Mmoja wa Juu Afe ghafla (tena kwa Ajali) na Damu yake itumike. Pia Kucheza huo Mchezo Saa 10 Jioni tumekosea mno kwani Jini la Ushindi la Simba SC huwa linaanza Kufanya Kazi kuanzia Saa 1 Usiku hadi Saa 6 Usiku tu.

Na Safari hii Al Ahly nao wamejidhatiti sana Kindumba (Kiuchawi) japo Wao wanatumia zaidi Kitabu na kuna Jambo wamelifanya Leo na Kesho Saa 5 Asubuhi watalifanya tena. Wamejiandaa mno kwa Fitna za nje ya Uwanja.
Acha ushirikina mkuu
 
haya simba imeshinda niambie kafara ya kiongozi mkubwa iliyotolewa ni nani?

ulisema wachezaji wa 4 wa al ahly ni kikosi kizima cha simba, niambie thamani yao imewasaidia nini?

Ulisema wanaroga sana kwa kutumia kitabu, imekuwaje wakafungwa?

nilikuambia kuhusu sevilla alivyo pata shida kwa mkapa kwa kiwango cha al ahly hawezi kuchomoka ukanibishia

BWEGE we si naongea na wewe

unabahati mwanzoni ulisema we ni msimbazi. Acha niishie hapo
 
Ya Nini ujipe tabu[emoji1]
IMG_20210223_175129.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna timu ya Egypt ambayo imewahi kuishinda Simba uwanja wa Uhuru au kwa Mkapa mwenye record nzuri pekee ni Pyramids waliotoka sare ya 2-2 2018.

Ismaily alipigwa.
Zamalek alipigwa.
Al Ahly alipigwa
Petrojet alipigwa.
Harass El Hoodoud alipigwa.
Asante kwa histor mujaarabu hili uto watabisha Kama kawaida yao
 
Simba imeshinda kiongozi gani aliekufa kwajili ya kafara ya ushindi?
 
Ut
Sawa tusubiri tuone.Kumbuka Timu ya Taifa ya Brazili iliandaa kombe la dunia na kupigwa goli 7 bila nyumbani kwao mbele ya Viongozi wao wakuu wa serikali na wananchi wao.
Utopolo tumeona zero na bingwa wa nchi kafanya kweli
 
haya simba imeshinda niambie kafara ya kiongozi mkubwa iliyotolewa ni nani?

ulisema wachezaji wa 4 wa al ahly ni kikosi kizima cha simba, niambie thamani yao imewasaidia nini?

Ulisema wanaroga sana kwa kutumia kitabu, imekuwaje wakafungwa?

nilikuambia kuhusu sevilla alivyo pata shida kwa mkapa kwa kiwango cha al ahly hawezi kuchomoka ukanibishia

BWEGE we si naongea na wewe

unabahati mwanzoni ulisema we ni msimbazi. Acha niishie hapo
Kichwa changu cha Habari kinasemaje / kimesemaje? Pumbavu!!
 
Back
Top Bottom