Tukivujishiwa video za wale waliokuwa wanaokotwa kwenye mifuko ya Sandarusi baharini hali itakuwaje?

Tukivujishiwa video za wale waliokuwa wanaokotwa kwenye mifuko ya Sandarusi baharini hali itakuwaje?

Wale walitiwa kwenye mifuko wakiwa hai halafu wakatupwa majini daah...

Bora hata risasi inakuua fasta hebu fikiria unatiwa kwenye gunia ukiwa hai huku ukisimangwa kwa kuwa mpinzani wa CCM halafu linafungwa au linashonwa kisha linatupwa Ruvu.
Daah kama ni kweli waliofanya hivyo wao na vizazi vyao vilaaniwe.
 
Mda mwingine uongozi ule🤔🤔
Najilazimisha kutabasamu angalau kujipa moyo kuwa labda ulikuwa na maono mazuri juu ya dira ya Kanchi ketu ka Michigani,lakini naambulia tabasamu kizunguzungu😴😴.
Mtu umeingia kwa kupigwa kura Tena baada ya kuzunguka Nchi nzima kunadi sera.
Baada ya kutwaa Senia,unaanza kukataza sinia kuuzwa madukani imladi tu sinia ubaki nalo mwenyewe tu🙄🙄.
Wapinzani wanachelewesha maendeleo🤓🤓,wakati mpinzani hajawahi kuongoza Michigani🤣🤣.

Bado sijapataga jibu,haswaa!.

Mungu mkubwa lakini,maana sipati picha Hali ya Sasa wangekuwaje waleeeeeeeeeee wa upande ule😲😲😲.Jina la bwana lihimidiwe kwa chawa wote.
Usimwamini mwanadamu hakika,kundi lile!.
Yuko wapi Ally Happy jamani
 
Mda mwingine uongozi ule🤔🤔
Najilazimisha kutabasamu angalau kujipa moyo kuwa labda ulikuwa na maono mazuri juu ya dira ya Kanchi ketu ka Michigani,lakini naambulia tabasamu kizunguzungu😴😴.
Mtu umeingia kwa kupigwa kura Tena baada ya kuzunguka Nchi nzima kunadi sera.
Baada ya kutwaa Senia,unaanza kukataza sinia kuuzwa madukani imladi tu sinia ubaki nalo mwenyewe tu🙄🙄.
Wapinzani wanachelewesha maendeleo🤓🤓,wakati mpinzani hajawahi kuongoza Michigani🤣🤣.

Bado sijapataga jibu,haswaa!.

Mungu mkubwa lakini,maana sipati picha Hali ya Sasa wangekuwaje waleeeeeeeeeee wa upande ule😲😲😲.Jina la bwana lihimidiwe kwa chawa wote.
Usimwamini mwanadamu hakika,kundi lile!.
Yuko wapi Ally Happy jamani
Picha hutakaa uipate. Wanaipata wao tu🤣🤣
 
Mda mwingine uongozi ule🤔🤔
Najilazimisha kutabasamu angalau kujipa moyo kuwa labda ulikuwa na maono mazuri juu ya dira ya Kanchi ketu ka Michigani,lakini naambulia tabasamu kizunguzungu😴😴.
Mtu umeingia kwa kupigwa kura Tena baada ya kuzunguka Nchi nzima kunadi sera.
Baada ya kutwaa Senia,unaanza kukataza sinia kuuzwa madukani imladi tu sinia ubaki nalo mwenyewe tu🙄🙄.
Wapinzani wanachelewesha maendeleo🤓🤓,wakati mpinzani hajawahi kuongoza Michigani🤣🤣.

Bado sijapataga jibu,haswaa!.

Mungu mkubwa lakini,maana sipati picha Hali ya Sasa wangekuwaje waleeeeeeeeeee wa upande ule😲😲😲.Jina la bwana lihimidiwe kwa chawa wote.
Usimwamini mwanadamu hakika,kundi lile!.
Yuko wapi Ally Happy jamani
Upinzani wanacheleweaha Nchi......Mtu mwenye akili unajiuliza How?
🤣🤣🤣
 
Kwa Uzi huu haina maana kwamba naunga Mkono Hamas, bali najaribu kuoanisha reaction ya Watanzania juu ya kutekwa na kuuawa kwa Mtanzania huko Israel na mamia ya watanzania waliookotwa Baharini na kusingiziwa kuwa Wahamiaji haramu.

Sipati picha ikiwa video za Wahanga wale tangu walipodakwa, kuteswa na kuuliwa na kisha kusokomezwa kwenye viroba na kutoswa baharini zikiachiwa hali itakuwaje.

Mungu apishe mbali.
Ni kweli matukio hayo pia yanafanana sana na hilo la kuuawa kwa hawa wa-Tanzania huko Israel, yanafanana sana.
Ndio maana unaona kwamba kulikuwa kuna chuki kubwa sana kwa wananchi dhidi ya watawala kipindi hicho. Utakubaliana na Mimi kwamba Hasira kali zaidi zilielekezwa moja kwa moja kwa rais wa wakati huo, Bw. Mwendazake.
 
Po
siku video ya Mbowe akimtwanga risasi Chacha wangwe ikivujishwa itakuwaje siku Watu waliotumwa na Mbowe kumtwanga goroli Tundu Lisu ikivujishwa hadharan itakuwaje
Pole mkuu,ila najua kwamba unajua ukweli.kama wewe ni mcha Mungu🤔🤔
Hakika nafsi inakusuta mkuu.
Si kwa ubaya,hata Kama mtu humpendi au humpendi kule anachokiamini haikupi mamlaka ya kutumia mamlaka ukiliyonayo kumwadhibu.
Mkuu,haya ni maisha tu.
Je ingekuwa Kuna kuishi milele je,wenye mamlaka si ndio wangejipa kipaumbele.
Daaaah.nasikitika tu mkuu Kama kweli unaamini kuwa mh Mbowe na T Lisu wanaweza kufanya hayo unayoyaandika hapa Kaka mkubwa.
Siasa sio chuki,Bali ni njia ambayo huwa inakuonyesha wenzako Wana maono au mawazo gani juu ya Jambo flani ambalo wewe unaamini vile unavyoamini.
Hivyo ni Kama mashindano.
Vp Fifa wangekuwa wanaruhusu wachezaji na na timu nzima kuingia uwanjani na silaha Kama virungu,mapanga,fimbo,CHUPA n.k.
Vp uwanjani pangekarika kweli!.
 
Mda mwingine uongozi ule🤔🤔
Najilazimisha kutabasamu angalau kujipa moyo kuwa labda ulikuwa na maono mazuri juu ya dira ya Kanchi ketu ka Michigani,lakini naambulia tabasamu kizunguzungu😴😴.
Mtu umeingia kwa kupigwa kura Tena baada ya kuzunguka Nchi nzima kunadi sera.
Baada ya kutwaa Senia,unaanza kukataza sinia kuuzwa madukani imladi tu sinia ubaki nalo mwenyewe tu🙄🙄.
Wapinzani wanachelewesha maendeleo🤓🤓,wakati mpinzani hajawahi kuongoza Michigani🤣🤣.

Bado sijapataga jibu,haswaa!.

Mungu mkubwa lakini,maana sipati picha Hali ya Sasa wangekuwaje waleeeeeeeeeee wa upande ule😲😲😲.Jina la bwana lihimidiwe kwa chawa wote.
Usimwamini mwanadamu hakika,kundi lile!.
Yuko wapi Ally Happy jamani
wapinzani wa Tanzania ni wajinga Sana ni kakikundi ka wajinga fulani tu waliojikusanya baada ya kutoka kwenye msoto wa Maisha wanaojiita wapinzani ving'ang'anizi hawana elimu wala plan B yoyote Msigwa hana Elimu ameamua kukimbizana na Chadema, Mbowe hana elimu hawezi hata kupewa uwaziri, sugu ni mtepesho na Lema ni mwizi wa Magari wote ni hopeless
 
Kwa Uzi huu haina maana kwamba naunga Mkono Hamas, bali najaribu kuoanisha reaction ya Watanzania juu ya kutekwa na kuuawa kwa Mtanzania huko Israel na mamia ya watanzania waliookotwa Baharini na kusingiziwa kuwa Wahamiaji haramu.

Sipati picha ikiwa video za Wahanga wale tangu walipodakwa, kuteswa na kuuliwa na kisha kusokomezwa kwenye viroba na kutoswa baharini zikiachiwa hali itakuwaje.

Mungu apishe mbali.

Vujisha tu lakin anza kwanza na magaidi wa kibiti
 
wapinzani wa Tanzania ni wajinga Sana ni kakikundi ka wajinga fulani tu waliojikusanya baada ya kutoka kwenye msoto wa Maisha wanaojiita wapinzani ving'ang'anizi hawana elimu wala plan B yoyote Msigwa hana Elimu ameamua kukimbizana na Chadema, Mbowe hana elimu hawezi hata kupewa uwaziri, sugu ni mtepesho na Lema ni mwizi wa Magari wote ni hopeless
Umepigaje hapo!
 
wapinzani wa Tanzania ni wajinga Sana ni kakikundi ka wajinga fulani tu waliojikusanya baada ya kutoka kwenye msoto wa Maisha wanaojiita wapinzani ving'ang'anizi hawana elimu wala plan B yoyote Msigwa hana Elimu ameamua kukimbizana na Chadema, Mbowe hana elimu hawezi hata kupewa uwaziri, sugu ni mtepesho na Lema ni mwizi wa Magari wote ni hopeless
Mkuu sidhani Kama usemayo YANA ukweli ndani yake.

Kina nappe wanapewa uwaziri irihali Hana elimu inayohusiana na Mambo hayo.
Nchi yetu ndo Nchi ambayo inaongozwa na makada wa vyama na sio wasomi.
Na ndo maana tunasema CCM ni janga la Taifa kwa katiba tuliyonayo.
Hautaweza kunielewa na huhitaji kunielewa Kama kweli una amini katika mawazo hayo ya chuki mkuu
 
Mkuu sidhani Kama usemayo YANA ukweli ndani yake.

Kina nappe wanapewa uwaziri irihali Hana elimu inayohusiana na Mambo hayo.
Nchi yetu ndo Nchi ambayo inaongozwa na makada wa vyama na sio wasomi.
Na ndo maana tunasema CCM ni janga la Taifa kwa katiba tuliyonayo.
Hautaweza kunielewa na huhitaji kunielewa Kama kweli una amini katika mawazo hayo ya chuki mkuu
Ni hivi nikuambie hawa jamaa hawana plan yoyote ile katika maisha yao zaidi ya kuboboja tu walionja Vihela vya ubunge kwa miaka 5 na wengine 10 wamenogewa Sana na kwa sababu wametokea maisha ya umasikini uliopitiliza kwa mfano Msigwa alikuwa baba lishe amekondeana kama mgonjwa wa utapiamlo alipopata ubunge ndio akawa kijana na kwa sababu kuwa hana elimu angeteuliwa hata ukuu wa wilaya amengangana Lema naye alikuwa mwizi wa magari pale Arusha Hana elimu yoyote ubunge kwake ulikuw kuokota dhahabu hana plan B yaani Chadema wajanja woote wenye elimu woote wameondoka zimebaki kondoo na mburula mburula tu
 
Back
Top Bottom