Tukivujishiwa video za wale waliokuwa wanaokotwa kwenye mifuko ya Sandarusi baharini hali itakuwaje?

Tukivujishiwa video za wale waliokuwa wanaokotwa kwenye mifuko ya Sandarusi baharini hali itakuwaje?

Po

Pole mkuu,ila najua kwamba unajua ukweli.kama wewe ni mcha Mungu[emoji848][emoji848]
Hakika nafsi inakusuta mkuu.
Si kwa ubaya,hata Kama mtu humpendi au humpendi kule anachokiamini haikupi mamlaka ya kutumia mamlaka ukiliyonayo kumwadhibu.
Mkuu,haya ni maisha tu.
Je ingekuwa Kuna kuishi milele je,wenye mamlaka si ndio wangejipa kipaumbele.
Daaaah.nasikitika tu mkuu Kama kweli unaamini kuwa mh Mbowe na T Lisu wanaweza kufanya hayo unayoyaandika hapa Kaka mkubwa.
Siasa sio chuki,Bali ni njia ambayo huwa inakuonyesha wenzako Wana maono au mawazo gani juu ya Jambo flani ambalo wewe unaamini vile unavyoamini.
Hivyo ni Kama mashindano.
Vp Fifa wangekuwa wanaruhusu wachezaji na na timu nzima kuingia uwanjani na silaha Kama virungu,mapanga,fimbo,CHUPA n.k.
Vp uwanjani pangekarika kweli!.
Umeeleza vizuri sana. Watu wengi wakiwa upande wa raha hukosa hata fikra za kusadikika kuwawazia wahanga. Hiyo ni sifa moja ya kukosa ustaarabu. Ila katika historia mambo hugeuka na wakati mwingine yakakugeukia wewe mwenyewe au ndugu yako. Ndiyo maana Mwalimu Nyerere aliwahi kusema kwa hasira kuwa kuna dhambi ukitenda hukumu unaipata hapa hapa duniani. Hukumu haikungoji uende ahera! Usifanye mzaha kwenye damu ya mtu ye yote yule!
 
wapinzani wa Tanzania ni wajinga Sana ni kakikundi ka wajinga fulani tu waliojikusanya baada ya kutoka kwenye msoto wa Maisha wanaojiita wapinzani ving'ang'anizi hawana elimu wala plan B yoyote Msigwa hana Elimu ameamua kukimbizana na Chadema, Mbowe hana elimu hawezi hata kupewa uwaziri, sugu ni mtepesho na Lema ni mwizi wa Magari wote ni hopeless
Mbona ccm ndiko wezi wa elim kwa vyeti vya kughushi wamejazana, achana mafisadi na wezi wa mali za uma
 
Kuna watu wanafiki haswa na ni jadi kabisa ya unafiki
Askari anapiga risasi na kuuwa mnaaminishwa risasi ilikata kona mnaccheka na kufanya mzaha yanaisha
Unaona kijana mdogo anakimbizwa auwawe anapokamatwa na kuchomwa moto unashangilia
Wazee wanaotuhumiwa kwa uchawi mnawauwa ambapo huo uchawi hata mama yako hajawahi kurogwa ila ni myths tu

Mnafurahia yote hayo sasa leo mnajifanya mna huruma sana
Unafiki mbaya sana ndio maana kutwa mnasema hivi nani katulaani

Dereva anatoa hongo kwa traffic na kwenda kuuwa huko mbele mnaambiwa eti imekata breki mnaamini
 
1702909533142.png
 
Mkuu
Ni hivi nikuambie hawa jamaa hawana plan yoyote ile katika maisha yao zaidi ya kuboboja tu walionja Vihela vya ubunge kwa miaka 5 na wengine 10 wamenogewa Sana na kwa sababu wametokea maisha ya umasikini uliopitiliza kwa mfano Msigwa alikuwa baba lishe amekondeana kama mgonjwa wa utapiamlo alipopata ubunge ndio akawa kijana na kwa sababu kuwa hana elimu angeteuliwa hata ukuu wa wilaya amengangana Lema naye alikuwa mwizi wa magari pale Arusha Hana elimu yoyote ubunge kwake ulikuw kuokota dhahabu hana plan B yaani Chadema wajanja woote wenye elimu woote wameondoka zimebaki kondoo na mburula mburula tu
Mbona nasnza kuwa na wasiwasi nawe.
Hayo unayoyataja una ushahidi nayo kweli🤔.
Polisi WA CCM wanwache mwizi WA magari😲.
Basi tuishie hapo mkuu
 
Kwa Uzi huu haina maana kwamba naunga Mkono Hamas, bali najaribu kuoanisha reaction ya Watanzania juu ya kutekwa na kuuawa kwa Mtanzania huko Israel na mamia ya watanzania waliookotwa Baharini na kusingiziwa kuwa Wahamiaji haramu.

Sipati picha ikiwa video za Wahanga wale tangu walipodakwa, kuteswa na kuuliwa na kisha kusokomezwa kwenye viroba na kutoswa baharini zikiachiwa hali itakuwaje.

Mungu apishe mbali.
Yaani nimeshangazwa na Watanzania wenzangu kwamba mauaji yaliyofanywa na yanayoendelea kufanywa na serikali dhalimu kwao hawaoni ni janga bali zile vita za wasio na akili ndo wanazifanyia bettings kabisaa.

Kuna unafiki mwingi sana kwa hizi ngozi nyeusi
 
Kwa Uzi huu haina maana kwamba naunga Mkono Hamas, bali najaribu kuoanisha reaction ya Watanzania juu ya kutekwa na kuuawa kwa Mtanzania huko Israel na mamia ya watanzania waliookotwa Baharini na kusingiziwa kuwa Wahamiaji haramu.

Sipati picha ikiwa video za Wahanga wale tangu walipodakwa, kuteswa na kuuliwa na kisha kusokomezwa kwenye viroba na kutoswa baharini zikiachiwa hali itakuwaje.

Mungu apishe mbali.
Acha ao walikufa! Ikivujishwa ya Gekul vip ya kutosa mtoto wa watu chupa makalioni?
 
Kwa Uzi huu haina maana kwamba naunga Mkono Hamas, bali najaribu kuoanisha reaction ya Watanzania juu ya kutekwa na kuuawa kwa Mtanzania huko Israel na mamia ya watanzania waliookotwa Baharini na kusingiziwa kuwa Wahamiaji haramu.

Sipati picha ikiwa video za Wahanga wale tangu walipodakwa, kuteswa na kuuliwa na kisha kusokomezwa kwenye viroba na kutoswa baharini zikiachiwa hali itakuwaje.

Mungu apishe mbali.
Uwongo unajulikana hata ukiulazimisha kwa vyovyote vile.

Nimeona clip ya Video ya watu wakihojiwa na wakitoa maelezo(ukitizama na kusikiliza kwa umakini utaona wamelishwa maneno)ya jinsi walivyokuwa wakiona viroba vya maiti vikielea na kuokotwa baharini, cha kushangaza na ukizingatia teknolojia iliyokuwepo yaani simu janja n.k hakuna hata mmoja aliyepiga picha wala kuleta video!

Itoshe, Video ya Mollel(R.I.P)nayo ukiidaavua vizuri utaona pia ni ya mchongo tu....Ni deep fake tena ya low standard.

Kwahivyo, inaniwia vigumu kuamini viroba viliokotwa au kitu kama hicho kilishwahi kutokea Tanzania au hata uwepo wa Video.... Amini usiamini hii ni propaganda tu ya Wana CHADEMA uchwara wa mtandaoni kama ilivyo ya wale Waisrael uchwara wa Tanzania na mihemeko yao.

Anyways hali haitabadilika Magulification will go on. There is No Coulda Shoulda Woulda that can change it.
 
Yaani nimeshangazwa na Watanzania wenzangu kwamba mauaji yaliyofanywa na yanayoendelea kufanywa na serikali dhalimu kwao hawaoni ni janga bali zile vita za wasio na akili ndo wanazifanyia bettings kabisaa.

Kuna unafiki mwingi sana kwa hizi ngozi nyeusi
Huo unafiki mnaulazimisha tu.

... kwa sababu hapakuwa na maujai au huo udhalimu mnolazimisha ulitokea.

...nadhani itakuwa sahihi kusema Watanzania wanashangazwa na uwongo na upotoshaji huu unaotaka kuaminisha umma ulitokea.
 
siku video ya Mbowe akimtwanga risasi Chacha wangwe ikivujishwa itakuwaje siku Watu waliotumwa na Mbowe kumtwanga goroli Tundu Lisu ikivujishwa hadharan itakuwaje
Tutajua Ugaidi upo hapa hapa.

Huu uchu wa madaraka unawafanya hawa punguani kuleta za "ingekuwa". Ndio maana wanataka kujificha kwenye chaka la "Maridhiano" waje wasamehewe na ndio maana Lissu hakubaliani na chaka la Maridhiano.
 
Tutajua Ugaidi upo hapa hapa.

Huu uchu wa madaraka unawafanya hawa punguani kuleta za "ingekuwa". Ndio maana wanataka kujificha kwenye chaka la "Maridhiano" waje wasamehewe na ndio maana Lissu hakubaliani na chaka la Maridhiano.
Nje mno ya mada
 
Nje mno ya mada

Huu uchu wa madaraka unawafanya hawa punguani kuleta za "ingekuwa". Ndio maana wanataka kujificha kwenye chaka la "Maridhiano" waje wasamehewe na ndio maana Lissu hakubaliani na chaka la Maridhiano.
 
Kwa Uzi huu haina maana kwamba naunga Mkono Hamas, bali najaribu kuoanisha reaction ya Watanzania juu ya kutekwa na kuuawa kwa Mtanzania huko Israel na mamia ya watanzania waliookotwa Baharini na kusingiziwa kuwa Wahamiaji haramu.

Sipati picha ikiwa video za Wahanga wale tangu walipodakwa, kuteswa na kuuliwa na kisha kusokomezwa kwenye viroba na kutoswa baharini zikiachiwa hali itakuwaje.

Mungu apishe mbali.
Sasa kama zipo kwanini zisivujishwe? Yani chadrma muwe na clip hizo mkae nazo tuu kwa kuionea huruma serikali? Hivi navyo nivichekesho😂😂😂
 
Sasa kama zipo kwanini zisivujishwe? Yani chadrma muwe na clip hizo mkae nazo tuu kwa kuionea huruma serikali? Hivi navyo nivichekesho😂😂😂
Umeelewa mada ?
 
Wewe ni chokwo
Umevimba nini sasa. Sema kama mwanaume sio unaumumuna mumuna.

Mlifikiri nyie pekee ndio mnaojua?

Hatahivyo hebu nenda ukanywe petroli halafu uje na more creative insult. Duh. You so outdated.
 
Sasa kama zipo kwanini zisivujishwe? Yani chadrma muwe na clip hizo mkae nazo tuu kwa kuionea huruma serikali? Hivi navyo nivichekesho😂😂😂
Ukiwaelewa vizuri wanasema na wao wakatengeneza hayo maclip labda watapata kuungwa mkono. Lakini kitu ambacho hawakielewi CHADEMA ni wao kubakia kwenye mzozo na Mfu. Yaani wanakimbizana na kaburi la Hayat Rais.

Huo ni ule "Uwendawazimi" aliouita Mbowe. Ni "Propaganda za Kitoto"

Sasa ona huyo galgano alivyojivimbisha shingo hapo juu kwa sababu nimejibu hoja na hoja, wameleta picha ya Polisi wakiwa wanazika wahanga wa Uviko 19 kana kwamba ndio ushahidi wa hii picha(taswira) wanayotaka kutengeneza na mie niweweka ya Gaidi wanataka kulia faulo 😛 😛 😂😂😌

Risasi kwa Risasi konyo zao
 
Back
Top Bottom