wapinzani wa Tanzania ni wajinga Sana ni kakikundi ka wajinga fulani tu waliojikusanya baada ya kutoka kwenye msoto wa Maisha wanaojiita wapinzani ving'ang'anizi hawana elimu wala plan B yoyote Msigwa hana Elimu ameamua kukimbizana na Chadema, Mbowe hana elimu hawezi hata kupewa uwaziri, sugu ni mtepesho na Lema ni mwizi wa Magari wote ni hopeless
..Makengeza alipata zero form 6.
..Maza alipata zero form 4.
..yupi kamzidi mwenzake kielimu?