Tukiweka pembeni ufia Dini kwanini makanisani kuna walinzi na viongozi wa dini wana walinzi lakini sisi waumini tunaambiwa malaika watatulinda?

Tukiweka pembeni ufia Dini kwanini makanisani kuna walinzi na viongozi wa dini wana walinzi lakini sisi waumini tunaambiwa malaika watatulinda?

Kama viongozi wa dini wangekua na mtindo wa maisha kama huyu padre hata nusu tu au robo tusingekuwa tunaongea hivi.
Huyu padre mission alizo zianzisha na anazo simamia lugha rahisi ya kumuita ni tajiri, ila ana uishi ufukara kwa unyenyekevu mkubwa.
View attachment 3240298
Ndo nani na yupo nchi gani na anafanya nini?
 
Makanisani yote makubwa ya mjini yana walinzi na mageti ukienda kwa watumishi (manabii,Mitume)
wana bodyguard zaidi ya 4 na wanawalipa kabisa.Imefikia wakati hata akiwa anahubiri huko madhabahuni ana walinzi.Angalia ibada za Geodav na kiboko ya wachawi.

Zaidi ya yote ukifika kwenye familia zao licha ya kuwa na Cctiv camera,walinz,i mbwa wa kali wa kizungu bado anakuwa na fensi ya umeme!!

Huku sisi hata mbwa koko hatuna tuna amini tunalindwa na Mungu na malaika zake kwanini hawa watumishi wasilindwe na malaika vilevile kama sisi?

Pale MADINA(makka) wanaponenda kuhiji waislamu panalindwa na bunduki ulinzi ni mkali masaa24 ni zaidi ya ikulu wala hakuna ubishi.Ina maana mwenyezi Mungu hatoshi kupalinda pale hadi serikali iweke bajeti kubwa kwa ajiri ya kuparinda pale?

Ebu tujiulize wao hawapendi kulindwa na malaika?
Au malaika ni dhaifu sana kuliko mbwa na bodyguard?

Kwanini makanisani tusisali na kuomba kuwa haya makanisa yalindwe na malaika na kuepusha michango kwa ajiri ya kulipa walinzi?

Je kuna sababu zozote za msingi hasa kimaandiko zinazo weza kutetea hili?


View: https://www.facebook.com/permalink.php?id=1034459669967235&story_fbid=3860610510685456

Usichanganye Ukristo na wafanyabiashara wa Ukristo.

Ni hakika wote wajiitao manabii sijui mitume wote ni wafanyabiashara ndio maana wana ukwasi na hofu nyingi kiasi cha kulindwa
 
Makanisani yote makubwa ya mjini yana walinzi na mageti ukienda kwa watumishi (manabii,Mitume)
wana bodyguard zaidi ya 4 na wanawalipa kabisa.Imefikia wakati hata akiwa anahubiri huko madhabahuni ana walinzi.Angalia ibada za Geodav na kiboko ya wachawi.

Zaidi ya yote ukifika kwenye familia zao licha ya kuwa na Cctiv camera,walinz,i mbwa wa kali wa kizungu bado anakuwa na fensi ya umeme!!

Huku sisi hata mbwa koko hatuna tuna amini tunalindwa na Mungu na malaika zake kwanini hawa watumishi wasilindwe na malaika vilevile kama sisi?

Pale MADINA(makka) wanaponenda kuhiji waislamu panalindwa na bunduki ulinzi ni mkali masaa24 ni zaidi ya ikulu wala hakuna ubishi.Ina maana mwenyezi Mungu hatoshi kupalinda pale hadi serikali iweke bajeti kubwa kwa ajiri ya kuparinda pale?

Ebu tujiulize wao hawapendi kulindwa na malaika?
Au malaika ni dhaifu sana kuliko mbwa na bodyguard?

Kwanini makanisani tusisali na kuomba kuwa haya makanisa yalindwe na malaika na kuepusha michango kwa ajiri ya kulipa walinzi?

Je kuna sababu zozote za msingi hasa kimaandiko zinazo weza kutetea hili?


View: https://www.facebook.com/permalink.php?id=1034459669967235&story_fbid=3860610510685456

Basi na wewe acha milango wazi Wala usifunge na kofoli wala kitasa ili ulindwe
 
Makanisani yote makubwa ya mjini yana walinzi na mageti ukienda kwa watumishi (manabii,Mitume)
wana bodyguard zaidi ya 4 na wanawalipa kabisa.Imefikia wakati hata akiwa anahubiri huko madhabahuni ana walinzi.Angalia ibada za Geodav na kiboko ya wachawi.

Zaidi ya yote ukifika kwenye familia zao licha ya kuwa na Cctiv camera,walinz,i mbwa wa kali wa kizungu bado anakuwa na fensi ya umeme!!

Huku sisi hata mbwa koko hatuna tuna amini tunalindwa na Mungu na malaika zake kwanini hawa watumishi wasilindwe na malaika vilevile kama sisi?

Pale MADINA(makka) wanaponenda kuhiji waislamu panalindwa na bunduki ulinzi ni mkali masaa24 ni zaidi ya ikulu wala hakuna ubishi.Ina maana mwenyezi Mungu hatoshi kupalinda pale hadi serikali iweke bajeti kubwa kwa ajiri ya kuparinda pale?

Ebu tujiulize wao hawapendi kulindwa na malaika?
Au malaika ni dhaifu sana kuliko mbwa na bodyguard?

Kwanini makanisani tusisali na kuomba kuwa haya makanisa yalindwe na malaika na kuepusha michango kwa ajiri ya kulipa walinzi?

Je kuna sababu zozote za msingi hasa kimaandiko zinazo weza kutetea hili?


View: https://www.facebook.com/permalink.php?id=1034459669967235&story_fbid=3860610510685456

maana wanamwabudu mungu tumbo
 
Ni mfumo tu wa Mungu, hata huko Mbinguni kwa Mungu Mkuu kuna walinzi wanaomlinda Muumba wa vyote, ila hao walinzi wenyewe hawana ulinzi wa moja kwa moja.
Si kweli Mkuu .Biblia inasema hakuna kiumbe kinachoweza kumfikia Mungu maana amezungukwa na Nuru pande zote.
 
  • Thanks
Reactions: K11
Duh watu mna akili za ajabu sana, ivi mnataka mkisikia kanisa yaan kuwe na maajabu maajabu tu. Kwa mfano kanisa lilindwe na damu ya yesu yaan hata vitu vilivyomo ndani mlivyonunua kwa pesa zenu msiweke walinzi.

Unasema watumishi wanalindwa na bodyguards kwani wew umezuiwa kuwa na bodyguards?

Suala la kulindwa na malaika ni kiroho ndugu mwandishi siyo kwamba uanzishe bifu huko baada ya kulewa ulanzi nikuchome na kisu eti usiumie malaika wazuie

Anyway, umejumuisha sana, huku maparokiani na makanisa madogomadogo sijawahi ona mtumishi ana bodyguards
 
Suala la kulindwa na malaika ni kiroho ndugu mwandishi siyo kwamba uanzishe bifu huko baada ya kulewa ulanzi nikuchome na kisu eti usiumie malaika wazuie
2Wafalme6:15Mtumishi wa Elisha alipoamka mapema kesho yake na kutoka nje, akaona jeshi pamoja na farasi na magari ya kukokotwa limeuzingira mji. Akarudi ndani akasema, “Ole wetu, ee, Bwana wangu! Sasa tutafanya nini?”
16Elisha akamjibu, “Usiogope kwa sababu walio pamoja nasi ni wengi kuliko walio pamoja nao.” 17Kisha Elisha akaomba, “Ee Mwenyezi-Mungu, umfumbue macho ili apate kuona!” Basi, Mwenyezi-Mungu akamfumbua macho huyo kijana, akaona farasi na magari ya moto yakiwa kila mahali katika mlima wote, kumzunguka Elisha.

Je huu ulikuwa ulinzi wa kiroho? pia u naweza endelea na kisa chote hadi elisha anawafaata na kuwaambia mmepotea njia.
Anyway, umejumuisha sana, huku maparokiani na makanisa madogomadogo sijawahi ona mtumishi ana bodyguards
Niwapi nimesema makanisa ya kijijni au parokia za vijijini wanalinda walinzi?Soma comment no15
 
Back
Top Bottom