TUKANA UONE
JF-Expert Member
- Jan 3, 2018
- 2,345
- 6,970
Nimecheka sana aseee 🤣🤣🤣🤣🤣. Hesabu umekosea hapoUkihitaji salamu subiri kwanza nilipwe Milioni 1 yangu,Tofauti na hapo utaula wa chuya!
Watanzania tuko milioni 60,kwanini serikali isilitulipe kila mtanzania milioni 1 kila mwezi?,Mbona ni hela ndogo tu hiyo!.
Watu milioni 60 × 1 milioni kila mwezi = Milioni 60.
Nadhani hii iwekwe kwenye katiba
Boya kweli weweUkihitaji salamu subiri kwanza nilipwe Milioni 1 yangu,Tofauti na hapo utaula wa chuya!
Watanzania tuko milioni 60,kwanini serikali isilitulipe kila mtanzania milioni 1 kila mwezi?,Mbona ni hela ndogo tu hiyo!.
Watu milioni 60 × 1 milioni kila mwezi = Milioni 60.
Nadhani hii iwekwe kwenye katiba
Labda angesema hata laki lakiNimecheka sana aseee 🤣🤣🤣🤣🤣. Hesabu umekosea hapo
1,000,000 * 60,000,000 = 60,000,000,000,000 hiyo ni 60 Trillion nchi itatoa wapi hiyo hela.
Ni sawa na 24 billion dollars
labda kila mtanzania shilingi 1Ukihitaji salamu subiri kwanza nilipwe Milioni 1 yangu,Tofauti na hapo utaula wa chuya!
Watanzania tuko milioni 60,kwanini serikali isilitulipe kila mtanzania milioni 1 kila mwezi?,Mbona ni hela ndogo tu hiyo!.
Watu milioni 60 × 1 milioni kila mwezi = Milioni 60.
Nadhani hii iwekwe kwenye katiba
TUKANA UONE naomba mods msifute huu uziUkihitaji salamu subiri kwanza nilipwe Milioni 1 yangu,Tofauti na hapo utaula wa chuya!
Watanzania tuko milioni 60,kwanini serikali isilitulipe kila mtanzania milioni 1 kila mwezi?,Mbona ni hela ndogo tu hiyo!.
Watu milioni 60 × 1 milioni kila mwezi = Milioni 60.
Nadhani hii iwekwe kwenye katiba
Hata kama ni laki laki ita cost nchi 6 trillion kwa mwezi. Sawa na 72 trillion kwa mwaka hiyo hela itaitoa wapi na bado tupo uchumi wa chini?.Labda angesema hata laki laki